Faidika na darsa la FaizaFoxyYani huyu ana threads zaidi ya 5000 lakini karibia zote ni za ukosoaji tu kumbe,...hebu uwe unatoa mada zenye misingi ili hata wingi wa threads zako uwe na maana.
Hazina majina hizo kampuniAmefungua kampuni mbili kubwa sana na ameajiri wafanyakazi saba hivi yani 7
Ushauri wako unatuhusu nini?= kafilisika.
Tafuta zako za mwenzako zinakuhusu nini?
Mimi nimeajir watu watatu madereva wawili ba house girl ila sijawah kuwa na milion 8Unajua maana ya "kampuni kubwa"?
Yani kuajiri watu 7 unaiita kampuni kubwa.
Get real basi
Kwaiyo kuajiri watu 7 ni kampuni kubwa sio?Mimi nimeajir watu watatu madereva wawili ba house girl ila sijawah kuwa na milion 8
Hiyo unasema umeweke watu unawaongoza kampuni kubwa inaanza na wafanyakazi 200 na mshahara wa chin kuwalipa 500,000 hiyo ndio kampun kubwaKwaiyo kuajiri watu 7 ni kampuni kubwa sio?
Are u sure?Idris amebaki yeye na yale matege yake. Basi...!!
Hata kibanda hajafanikiwa kuwa nacho...
Na hela zote zimeisha amebaki kuwa cartoonist.
Very hopeless.
Hii pointi sana. Jamaa anaonekana mbulula mbulula mshamba fulani hivi limbukeni...ndo mana wamempukutisha ela zote...Tatizo huko Big Brother wanapeleka watu kutoka mikoani ndio maana wakishinda wanapagawa na wanawake wa Dar.
Ila wangepeleka watoto wa Dar es Salaam huko hata ukishinda huwezi kufilisiwa na mademu wa Dar es salaam unawajua vzuri toka Ukiwa uja balehe
Sio maneno yangu... Kuna jamaa post #30 alisema eti amefungua "kampuni 2 kubwa na kaajiri watu 7"Hiyo unasema umeweke watu unawaongoza kampuni kubwa inaanza na wafanyakazi 200 na mshahara wa chin kuwalipa 500,000 hiyo ndio kampun kubwa
na yule mwingine Richard?[emoji101]Zile pesa ni kishetani maana washindi wote 3 waliopata hizo pesa hakuna ambaye alifanya cha maana zaidi ya kuzifuja.
1.Mwisho halizifuja na ray C mwisho kawa teja.
2.Nando naye alioa bibi wa kuzungu mwisho kawa teja.
3.Idris naye naye ametumbua na Wema Sepetu mungu amnusuru asiingie kwenye uteja kama wenzie.
sifa isiyo rasmi uwe tayari kugeged/w/a mubashara bila chenga ikibidikika.Wadau Naomba Kujua Sifa Na Utaratibu, Nataka Kushiriki BBA Mwaka Huu
Tangu lini nando alikuwa mshindi wa BBAZile pesa ni kishetani maana washindi wote 3 waliopata hizo pesa hakuna ambaye alifanya cha maana zaidi ya kuzifuja.
1.Mwisho halizifuja na ray C mwisho kawa teja.
2.Nando naye alioa bibi wa kuzungu mwisho kawa teja.
3.Idris naye naye ametumbua na Wema Sepetu mungu amnusuru asiingie kwenye uteja kama wenzie.
babu M; huo mstari tu wa the legendary lucky dube.....The Other SideThe grass is always greener on the other side!
Kwani hizo milioni 500 aliziokota?
Tafuta kwanza hizo milioni 500 hayo ya Kikwete na Magufuli baadae!
[emoji23]Dogo nilisafiri naye akawa anatoa tips kwa to Air hostres na tunavyojishebedua lazima tulimwendea hewani tu.Mademu wa bongo noma Wakiona hela wanaongelea puani na kupindisha miguu yao ionekane wanamatege ukiwaingia tu lazima wakupige.
Wakati huu wa maisha magumu na pesa imekuwa ngumu kupatikana,
Nikawaza zile millioni mia tano za yule aliyekuwa mshindi wa shindano la Big brother Afrika, bwana Idriss Sultan ni kwamba ametumbua zile pesa zote zimeisha na kubaki kapuku bila ya kuwa na uwekezaji wowote mpaka sasa kubaki mweupe na kushiwa kabisa?
Maana nusu billioni navyofikiria mimi kama ningeipata wakati huo nafikiri rafiki zangu wangekuwa Magufuli au Kikwete labda ningekuwa level hizo za maisha kwa mafanikio.
Sasa ni kweli huyu jamaaa kafirisika kabisa bila kuwa hata na uwekezaji?
mwisho kwakuwa ilikua ndio mara ya kwanza ile kuwa wa pili ni kama ilikua ushindi hadi li sirikali la waziri walienda kumpokea na maua pale zinapotua bombardeó"Huyo mwisho na nando walishinda mwaka gani? Tz tumeshinda mara mbili tu Richard na Idrisa Acha kupotosha
Nyie wenye mahesabu haya hamuwezi kupata helaNingekuwa mimi nimezipata hizo Mln.500, ningeweka fixed deposit angalau Mln.400 then hiyo moa mia ningeweka kamjengo ka kistaa, na kamkoko fulani kakali ka kijapan, then kila mwaka natengeneza Mln 20 kama faida kama rate ya profit ni 5% per annual, kama kwa mwezi ni Mln 1.6, sio haba huchoki.
Ila kwa kuwa ni pesa zisizo na jasho, wasanii hawa hudhani hawatafulia.
Hakuna shetani, bali pesa ya kumshtukiza mtu ambae hakuwa na malengo yeyote ndivyo ilivyo.Zile pesa ni kishetani maana washindi wote 3 waliopata hizo pesa hakuna ambaye alifanya cha maana zaidi ya kuzifuja.
1.Mwisho halizifuja na ray C mwisho kawa teja.
2.Nando naye alioa bibi wa kuzungu mwisho kawa teja.
3.Idris naye naye ametumbua na Wema Sepetu mungu amnusuru asiingie kwenye uteja kama wenzie.
Kampuni mbili kubwa sana halafu wafanyakazi sabaAmefungua kampuni mbili kubwa sana na ameajiri wafanyakazi saba hivi yani 7