Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hiyo Dar yenu inapigwa bao siku si nyingi

Hawawezi Kupata kazi maana fursa hamna labda wafungue vilinge
KWa dsm ni sahihi Bora kufungua vilinge ila mikoan Kuna fursa mfano tu mkoa wa njombe vijana Wana Hela Sana fursa ni nyingi mno ishu watu hawatafuti fursa anangangania sehemu moja tu mfano huo ni uwekezaji wa parachichi njombe
FB_IMG_16766971456201279.jpg
FB_IMG_16740920809671472.jpg
 
KWa dsm ni sahihi Bora kufungua vilinge ila mikoan Kuna fursa mfano tu mkoa wa njombe vijana Wana Hela Sana fursa ni nyingi mno ishu watu hawatafuti fursa anangangania sehemu moja tu
Maisha ya DSM yapo vizuri huku tunaishi vizuri Huduma za kijamii zipo ,Sehemu nzuri zakutuliza Akili zipo MAZINGIRA Safi n.k Cha Muhimu muendelee kulima kwa bidii mkimaliza tutakuja kuwataftia masoko
 
Maisha ya DSM yapo vizuri huku tunaishi vizuri Huduma za kijamii zipo ,Sehemu nzuri zakutuliza Akili zipo MAZINGIRA Safi n.k Cha Muhimu muendelee kulima kwa bidii mkimaliza tutakuja kuwataftia masoko
Kama unafanya biashara ungejua kuwa upepo umechange ila kama unasikiliza story vijiwen huwezi jua now watu wamefunguka mno kibiashara mzee mikoa watu watu wanenda moja kwa moja china Dubai nk na bado nchi za east Africa wanaenda moja kwa moja maeneo ambako uzalishaji upo hii imefanya mikoa mingi kufunguka kutokana na miundombinu kuimarika tofauti na zamani
 
Kama unafanya biashara ungejua kuwa upepo umechange ila kama unasikiliza story vijiwen huwezi jua now watu wamefunguka mno kibiashara mzee mikoa watu watu wanenda moja kwa moja china Dubai nk na bado nchi za east Africa wanaenda moja kwa moja maeneo ambako uzalishaji upo hii imefanya mikoa mingi kufunguka kutokana na miundombinu kuimarika tofauti na zamani
Sawa tutakuja tujionee uko mkoa gani?
 
Unaongelea kuhusu miaka 100 inayokuja.
Hata mia haiwezekani

Dar labda bandari ihamishwe iende Dodoma

Viwanda vingi kuwa Dar ni sababu kubwa ni bandari

Pili waliohamia Dodoma kutoka Dar ni vibarua waliolioajiriwa srrikalini tena wachache tu wale waliokuwa wakifanya kazi wizarani

Ofisi za mabalozi wa nchi mbalimbali, taasisi za kimataifa nk wapo Dar na hawana mpango wa kuhamia Dodoma na hakuna awezaye walazimisha wahamie Dodoma

Mahoteli makubwa ya hadhi kubwa nyota tano Tanzania nzima yako Dar kwenye Fukwe za bahari

Dodoma hazipo na hata mtu akijenga hotel za hadhi ya nyota tano Dodoma sio rahisi kupata wateja

Dar hata baada ya Dodoma kuwepo inaongiza kitaifa kuwa na population kubwa kuliko mji wowote Tanzania na mzunguko wa pesa ni mkubwa
 
Sijasemea Dodoma itaipita dar Bali Dodoma itapunguza makali ya Dar hivyo inaweza pitwa na mikoa mingine ambayo inaifukuzia.
Tegemeo.kuu la mzunguko wa hela Dodoma unategemea zaidi wafanyakazi wa serikali tofauti na Dar

Dodoma watu mitaani hela hawana Dar watu mitaani pesa wanazo hivyo kufanya mzunguko wa pesa kuwa mkubwa
 
Sawa
DP WORLD YAFUATA FURSA ZA UWEKEZAJI MKOANI NJOMBE

Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya DP World ya Dubai Sultan Ahmed bin Sulayem mara baada ya kusaini Mkataba wa Uendeshaji wa Gati namba 4 mpaka 7 za Bandari ya Dar es Salaam Jana Oktoba 22,2023 alianza safari kwenda Mkoa wa Njombe kwa lengo la kutazama fursa mbalimbali za uwekezaji.

Leo Oktoba 23, 2023 amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi. Kissa Gwakisa na viongozi wengine wamekutana na kufanya mazungumzo katika Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Njombe.

Pamoja na Mambo mengine wamejadili kuja kufanya uwekezaji kwenye eneo la Utalii,Ujenzi wa Hotel kubwa yenye hadhi ya nyota 5, Kilimo cha chai na mazao ya Miti pamoja na Uwekezaji mkubwa kwenye eneo la Madini ya Chuma na Makaa ya Mawe.

"Ninamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dokta Samia Suluhu Hassan kwa kufungua fursa za kiuwekezaji nchini kwetu Tanzania, Leo hii muwekezaji mkubwa katika bandari yetu ya Tanzania amefika Mkoani Njombe akiongozana na mfanyabiashara mkubwa kwenye Mkoa wetu akitokea nchini kenya Bw. na ameahidi kuwa atafanya uwekezaji kwenye eneo la Ujenzi wa Hotel kubwa za Kitali, lakini pia tumetumia nafasi hii kama Mkoa kumkaribisha kwenye uwekezaji kwenye eneo la Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Njombe". Alisema Mhe. Mtaka
tujionee uko mkoa gani?
 
Shda ya watu wa Mikoani mnahasira sana,
Mtu anaringanisha Dar na dodoma/Njombe si hasira hizo!!?
Njooni tu jaman hamna VISA kuja dar
 
Acheni kufananisha abuja na Lagos mjue Nigeria Haina coastal city nyingine zaidi ya lagos
Screenshot_20231104-191426.jpg
 
Kama mtabisha na hizi dalili basi nitakubali kushindwa yaani bandari ya tanga na mtwara zipo bado mnajivunia bandari ikumbukwe Kenya inabandari ya meli kubwa moja ya mombasa na bado imepigwa bao na Nairobi.
Screenshot_20231104-202244.jpg
Screenshot_20231104-190024.jpg
 
CCM Haina mpango tena na dar haya imeendelea kujenga Hadi hospital ya kanda huko mtwara
images%20(5).jpg
images%20(6).jpg
 
Mkuu hali ipo wazi watu wanabisha bure tu. Dar ilikuzwa haikukua kama miji mingine, imagine shughuli zote za nchi zilikuwa Dar yaani mikoa mingine iliachwa yatima kabsaa. Kwa hii decentralization inayofanyika ni mtu asiye visionary ndo ataona Dar haitopungua influence

Imagine serikali iondoke fully, ina maanisha agencies zote zinazoitegemea serikali kwa tenders na vitu vingine zitahamia Dodoma

Wafanyakazi wooote watahamia dom

Msalato ikiisha huku embassies na mashirika ya kimataifa yahamie Dodoma ina maanisha hotel kubwa na real estates companies lazma ziione Dodoma kama sehemu ya kuwekeza

Hapo hujafikiria kama shughuli za kiuongozi na kiserikali zikihamia Dom, lazma ianzishwe media kubwa au zilizopo baadhi zihamie hapo ili kutoa taarifa nchi nzima

Haya kuna bandari kavu, SGR itapita, lazma biashara zitachanganya

Uzuri dom inakua kwa plan kwa hiyo sitegemei siku Dom iwe vagalanti kama Dar

Na uzuri serikali ikisema kitu kuhusu dom lazma kifanyike japo wasiwasi wangu tu ni kuwa dom inakuzwa na serikali, siku ikiacha kuiingizia hela ndo tutapata picha halisi kama itaweza kukua kwa kasi on its own. Japo kuwa kwenye top 3 ya majority kwa Tanzania haiepukiki
Kuzihamishia embassies dodoma sio jambo jepesi hivyo...
 
Back
Top Bottom