#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Ujinga ni mzigo....
 
Ngoja waje watoto wa lucifer, ujue rangi za makufuru!.
 
Sawa, unateseka ukiwa hapo kwa Shemeji yako au ndiyo tayari matokeo ya kuvimbirwa wali maharagwe?
Afadhali nikiyepata wali na maharage kuliko wewe unayeahindia kipande cha muhogo na maji ya kandoro
 
Wayunani walisema, "Mungu husaidia wanaojiisaidia'

Mohammad (S.A.W) "Muamini Mungu,lakini mfunge ngamia wako".

Kumbukumbu ya Torati 28:8 Bwana ataiamuru baraka ije juu yako katika ghala zako, na mambo yote utakayotia mkono wako;..

Wachina walisema, "Mbingu huzawadia wenye bidii"

N:b Mungu hakumuumba binadamu 'empty box' Alimuumba na akili ili aweze kujisaidia pale inapobidi.
 
Nakuonya Corona Haipendi kabisa Dharau
Unaelewa Jinsi ilivyomalizana na Mzee Meko, Yule Mzee Mwendakuzimu
 
Je Zile nchi ambazo hazina mtambui Mungu YEHOVA na zipo fresh je na wao wamefanya nini? ila muweni makini mtumie maharifa ujinga uwekeni pembeni mtafanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…