#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Kwa hiyo tulivyomaliza maombi ndio tukaondolewa corona tukaletewa changamoto ya upumuaji ?
EvC4cpbWYAAjvcC.jpg
 
Mtaongea sana lakini ukweli kuwa Mungu ni mwenye Nguvu na Uweza Mkuu utabakia kuwa hivyo milele yote. Hakuwaahi kuwepo, hayupo na hatakuwepo wa kupindisha ukweli huo. Na kwa waumini wa kweli wa Mungu wa Mbinguni huta watoa hapo kwenye huu mtazamo. Haya mengine yote yatokanayo ni kazi ya shwetani na vikaragosi wake. Kazi yenu kila siku ni kuhangaika na JPM wakati mwenzeni mwendo/, kazi yake hapa duniani kamaliza na imani aliilinda. Mkae mkijua Wamachinga (hilo likiwa ni moja kati ya mengine mengi) wanawasubiria mje na suluhisho lao.
Well Misukule ya Jiwe mnaozurura ht msijua nani tena atakupeni unga wa ugali mbichi.

Mtuambie basi ni Mungu yupi aliiponya TZ.

Ni yule wa Waislam ALLAH?
Ni YESU?
Ni YEHOVA?
Ni Bikira Maria?
Au yule wa CHATTLE?
 
Well Misukule ya Jiwe mnaozurura ht msijua nani tena atakupeni unga wa ugali mbichi.

Mtuambie basi ni Mungu yupi aliiponya TZ.

Ni yule wa Waislam ALLAH?
Ni YESU?
Ni YEHOVA?
Ni Bikira Maria?
Au yule wa CHATTLE?

Mungu ambaye jina lake ni NIKO AMBAYE NIKO.
 
Kitendo cha kutaja Kanisa cha tosha.
Mnawaongopea watu wakati ukiugua chap unaenda hospitali kunywa madawa ya mabeberu!
Mnakuja humu JF kulalamikia huduma mbovu za Afya ili iweje wakati makanisa na misikiti ipo??
 
Mnawaongopea watu wakati ukiugua chap unaenda hospitali kunywa madawa ya mabeberu!
Mnakuja humu JF kulalamikia huduma mbovu za Afya ili iweje wakati makanisa na misikiti ipo??

Hata hizo dawa zinataratibu zake za kuzinywa. Haunywi tu kwasababu ya kunywa. Vinginevyo utajikuta kuishia kwenye ulaghai wa Shetwani. Ndio maana Naamani wa Biblia Kamanda Mkuu wa majeshi ya Siria japo kwa shingo upande alilazimika kupiga mbizi mara saba mto yoridani na akaponywa ukoma.
 
Well Misukule ya Jiwe mnaozurura ht msijua nani tena atakupeni unga wa ugali mbichi.

Mtuambie basi ni Mungu yupi aliiponya TZ.

Ni yule wa Waislam ALLAH?
Ni YESU?
Ni YEHOVA?
Ni Bikira Maria?
Au yule wa CHATTLE?
Labda wa Mirembe
 
Umerogwa wewe siyo bure
Wewe ndiye uliyerogwa! Uzima ulio nao ni Mungu amekupa, halafu unajisikia vibaya watu kushuhudia uponyaji wa Mungu!! Lazima uwe na pepo mchafu!! Hivi Tanzania wangekufa kwa maelfu kama huko ulaya wewe ungepona? Ni Mungu katuponya ukiwamo wewe pia umeponywa na Mungu!! Endelea kukataa na usishangae Mungu akiamua kukunyima pumzi uone kama hutazimika kama koroboi!!
 
Wewe ndiye jliyerogwa! Uzima jlio nao ni Mungu amekupa, halafu unajisikia vibaya watu kushuhudia uponyaji wa Mungu!! Lazima uwe na pepo mchafu!! Hivi Tanzania wangekufa kwa maelfu kama huko ulaya wewe ungepona? Ni Mungu katuponya ukiwamo wewe pia umeponywa na Mungu!! Endelea kukataa na usishangae Mungu akiamua kukunyima pumzi uone kama hutazimika kama koroboi!!
Yaani unamjua Mungu kuliko Hao waliokuletea biblia
 
Ujinga ni mzigo....
Upagani ni mzigo zaidi!! Unakufuru huku ukivuta pumzi ya Mungu!! Nakushauri utubu vinginevyo usishangae mwenye pumzi yake akaamua kukubania pumzi!! Mungu akichukua pumzi yake kutoka kwako ndjpo utakapojua kumbe jlikuwa umepagawa pepo, mwisho wa siku jehanamu inakuhusu!!
 
Back
Top Bottom