Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana Mkuu.Na kuyarudisha yakakaa sawa siyo kazi ndogo.Jiwe katengeneza mandondocha wengi sana sasa mwenyewe kaondoka hiyo mifugo yake inasumbua.
Well Misukule ya Jiwe mnaozurura ht msijua nani tena atakupeni unga wa ugali mbichi.Mtaongea sana lakini ukweli kuwa Mungu ni mwenye Nguvu na Uweza Mkuu utabakia kuwa hivyo milele yote. Hakuwaahi kuwepo, hayupo na hatakuwepo wa kupindisha ukweli huo. Na kwa waumini wa kweli wa Mungu wa Mbinguni huta watoa hapo kwenye huu mtazamo. Haya mengine yote yatokanayo ni kazi ya shwetani na vikaragosi wake. Kazi yenu kila siku ni kuhangaika na JPM wakati mwenzeni mwendo/, kazi yake hapa duniani kamaliza na imani aliilinda. Mkae mkijua Wamachinga (hilo likiwa ni moja kati ya mengine mengi) wanawasubiria mje na suluhisho lao.
Well Misukule ya Jiwe mnaozurura ht msijua nani tena atakupeni unga wa ugali mbichi.
Mtuambie basi ni Mungu yupi aliiponya TZ.
Ni yule wa Waislam ALLAH?
Ni YESU?
Ni YEHOVA?
Ni Bikira Maria?
Au yule wa CHATTLE?
Ukiugua unaenda kanisani au hospitali
Haya mwombeni basi aondoe Malaria, TB UKIMWI ....Mungu ambaye jina lake ni NIKO AMBAYE NIKO.
Mnawaongopea watu wakati ukiugua chap unaenda hospitali kunywa madawa ya mabeberu!Kitendo cha kutaja Kanisa cha tosha.
Haya mwombeni basi aondoe Malaria, TB UKIMWI ....
Jamani magonjwa mengine watu hawafi? sad.Acha ujinga boss. Watu korona iliua ndugu na jamaa zetu wengi tu.
Mnawaongopea watu wakati ukiugua chap unaenda hospitali kunywa madawa ya mabeberu!
Mnakuja humu JF kulalamikia huduma mbovu za Afya ili iweje wakati makanisa na misikiti ipo??
Labda wa MirembeWell Misukule ya Jiwe mnaozurura ht msijua nani tena atakupeni unga wa ugali mbichi.
Mtuambie basi ni Mungu yupi aliiponya TZ.
Ni yule wa Waislam ALLAH?
Ni YESU?
Ni YEHOVA?
Ni Bikira Maria?
Au yule wa CHATTLE?
Wewe ndiye uliyerogwa! Uzima ulio nao ni Mungu amekupa, halafu unajisikia vibaya watu kushuhudia uponyaji wa Mungu!! Lazima uwe na pepo mchafu!! Hivi Tanzania wangekufa kwa maelfu kama huko ulaya wewe ungepona? Ni Mungu katuponya ukiwamo wewe pia umeponywa na Mungu!! Endelea kukataa na usishangae Mungu akiamua kukunyima pumzi uone kama hutazimika kama koroboi!!Umerogwa wewe siyo bure
Yaani unamjua Mungu kuliko Hao waliokuletea bibliaWewe ndiye jliyerogwa! Uzima jlio nao ni Mungu amekupa, halafu unajisikia vibaya watu kushuhudia uponyaji wa Mungu!! Lazima uwe na pepo mchafu!! Hivi Tanzania wangekufa kwa maelfu kama huko ulaya wewe ungepona? Ni Mungu katuponya ukiwamo wewe pia umeponywa na Mungu!! Endelea kukataa na usishangae Mungu akiamua kukunyima pumzi uone kama hutazimika kama koroboi!!
Upagani ni mzigo zaidi!! Unakufuru huku ukivuta pumzi ya Mungu!! Nakushauri utubu vinginevyo usishangae mwenye pumzi yake akaamua kukubania pumzi!! Mungu akichukua pumzi yake kutoka kwako ndjpo utakapojua kumbe jlikuwa umepagawa pepo, mwisho wa siku jehanamu inakuhusu!!Ujinga ni mzigo....
Walishakengeuka!! Hujawasikia wakioana waume kwa waume?Yaani unamjua Mungu kuliko Hao waliokuletea biblia
Mungu yupi? Wa waislam? Wakristo? Machief? Bhudha? Wahindi? Wayahudi? Maana kila mtu anasema Mungu wake ni bora zaidi na bila huyo huendi peponiMungu hawezi nyang'anywa utukufu
Kwani unatumia biblia ipi ? KjV, AV , NKJV,....au biblia nyengine kati ya mamia ya biblia ?Hao
Walishakengeuka!! Hujawasikia wakioana waume kwa waume?
Kutoka kanisa lipi Na bibLia ipi ?Mithali sura ya kwanza aya saba inakuhusu wewe na wa aina yako.