#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Nakuonya Corona Haipendi kabisa Dharau
Unaelewa Jinsi ilivyomalizana na Mzee Meko, Yule Mzee Mwendakuzimu
Hahaha, ila Corona ilikuwa ni mpango wa Mungu wanaomsema hawa jamaa, ikatuondolea kero ndani ya nchi! Ukitaka kujua jamaa alikuwa jinga ni vile kafa na gazeti lake la kutukana watu limekufa (Tanzanite), alikokuwa anaelekea huku mwishoni angeipeleka nchi kwenye vita, hakuwa mpenda amani hata kidogo
 
Mabeberu wanakereka sana kuona Tanzania hatukutumia wanazoziita "njia za kisayansi" kupambana na corona!! Badala yake Rais wetu wa wakati huo aliitisha maombi ya kufunga ya siku 3 Kitaifa. Mwitikio wa watanzania kwa maombi hayo ulikuwa mkubwa sana. Mabeberu wameshuhudia kuwa Tanzania tuko salama kuliko mataifa yote mengine yaliyojikita kwenye lockdown, chanjo, nk. Walitabiri tutaokota miili barabarani haikuwa hivyo!! Wametushuhudia tukijazana kwenye viwanja vya mpira bila barakoa, tulijazana kumuaga JPM bila barakoa!! Wamesubiri tuugue kwa wingi wamekata
Mungu hajaribiwi, fungeni hospitali zote mwende kwenye maombi ili muone matokeo yake. Ikiwa Moses Kulola bingwa wa maombi alifia hospitalini yatosha kusema ACHENI UZWAZWA.
 
Mabeberu wanakereka sana kuona Tanzania hatukutumia wanazoziita "njia za kisayansi" kupambana na corona!! Badala yake Rais wetu wa wakati huo aliitisha maombi ya kufunga ya siku 3 Kitaifa. Mwitikio wa watanzania kwa maombi hayo ulikuwa mkubwa sana. Mabeberu wameshuhudia kuwa Tanzania tuko salama kuliko mataifa yote mengine yaliyojikita kwenye lockdown, chanjo, nk. Walitabiri tutaokota miili barabarani haikuwa hivyo!! Wametushuhudia tukijazana kwenye viwanja vya mpira bila barakoa, tulijazana kumuaga JPM bila barakoa!! Wamesubiri tuugue kwa wingi wamekata tamaa!! Kinachotafutwa sasa ni kufuta rekodi sahihi kuwa ni Mungu aliyetuponya!! Viongozi wetu wanashinikizwa kutoa data za corona na kusema kweli wamelazimika hata kupika takwimu ili tu kuwafurahisha mabeberu ili waachie mkopo wa corona!! Mbaya zaidi mabeberu wanashinikiza watu wachanjwe!! Lengo ni kuwa mbele ya safari waje kusema kilichowaokoa ni chanjo na siyo Mungu!!
Lakini jibu liko wazi, kama chanjo hazikufanikiwa kuwaokoa wao zingetuokoaje sisi?? Mabeberu wamechanjana chanjo moja haikutosha, wakachanjana ya pili bado haikutosha wanaendelea kuambukizwa na kuambukiza na kuugua na kufa wengine. Hivi sasa wanapanga kuchanja ya 3!! Kisha wachanjane booster mara kwa mara!! Kila siku marekani wanakufa zaidi ya 1000 kwa corona!! Kwetu hata hiyo chanjo moja haiwezekani kuenea kwa watu wote, itatuokoaje? Hizo chanjo millioni 1 imeshindikana kuisha hadi data za kupika zinaelekea kutumika!!
Watanzania tusifanye kosa la kumpokonya Mungu utukufu kwa kushawishiwa na wapagani wa kizungu kuchanja!! Hatuchanji ng'o!! Mungu alishatuponya na REKODI itabaki hivyo!! Mwisho wa siku tutyaona ni Mungu yupi anaokoa! mungu chanjo au Mungu YEHOVA muumba wa mbingu na nchi.
Idadi ya waliokufa mpaka sasa ni 714. Kuna idadi ya wagonjwa wanaopata naafu pia. Kwa ujumla suala zima la corona lipo kitakwimu zaidi kuliko haya masuala ya ramli.
 
Kwani unatumia biblia ipi ? KjV, AV , NKJV,....au biblia nyengine kati ya mamia ya biblia ?

Mungu wa Biblia hajajifungia kwenye box. Ndio maana ametupa sisi watoto wake Roho Mtakatifu msaidizi anaye ishi ndani yetu ili awe wa kutuelewesha Neno la Mungu. Huyu ni tofauti sana na yule anaye abudiwa mpaka na majini. Huyu wa kwetu ameweka bayana kwamba majini na bwana wao shetani sehemu yao muafaka ni lile ziwa liwakalo moto milele yote kule kuzimu aka jehanamu aka hell.
 
Hata hizo dawa zinataratibu zake za kuzinywa. Haunywi tu kwasababu ya kunywa. Vinginevyo utajikuta kuishia kwenye ulaghai wa Shetwani. Ndio maana Naamani wa Biblia Kamanda Mkuu wa majeshi ya Siria japo kwa shingo upande alilazimika kupiga mbizi mara saba mto yoridani na akaponywa ukoma.
Chai za Biblia hizo zilizoandikwa na watu miaka zaidi ya 2500 iliyopita, hazina proof
 
Hata hizo dawa zinataratibu zake za kuzinywa. Haunywi tu kwasababu ya kunywa. Vinginevyo utajikuta kuishia kwenye ulaghai wa Shetwani. Ndio maana Naamani wa Biblia Kamanda Mkuu wa majeshi ya Siria japo kwa shingo upande alilazimika kupiga mbizi mara saba mto yoridani na akaponywa ukoma.
Kapige mbizi
 
Mungu hajaribiwi, fungeni hospitali zote mwende kwenye maombi ili muone matokeo yake. Ikiwa Moses Kulola bingwa wa maombi alifia hospitalini yatosha kusema ACHENI UZWAZWA.
Hayo ya kufunga hospitali unayasema wewe! Sisi tunasema tulimwomba Mungu mbele ya dunia yote na dunia yote imdshunudia Mungu akituponya!! Ukiangalia yaliyotokea na yanayoendelea kutokea duniani kote huwezi kukwepa kuuona mkono wa Mungu jliotuokoa!! Hata wanaokufuru bado nao Mungu aliwaokoa!! Ndiyo maana wako hai japo wanautumia uhai huo kumkufuru na kumkejeli Mungu. Lakini siku moja watakutana nays siku ya hukumu!!
 
Hayo ya kufunga hospitali unayasema wewe! Sisi tunasema tulimwomba Mungu mbele ya dunia yote na dunia yote imdshunudia Mungu akituponya!! Ukiangalia yaliyotokea na yanayoendelea kutokea duniani kote huwezi kukwepa kuuona mkono wa Mungu jliotuokoa!! Hata wanaokufuru bado nao Mungu aliwaokoa!! Ndiyo maana wako hai japo wanautumia uhai huo kumkufuru na kumkejeli Mungu. Lakini siku moja watakutana nays siku ya hukumu!!
Mungu amempa binadamu maarifa ya kupambana na changamoto katika maisha!
Kupata chanjo sio kumkana Mungu bali ni kuutukuza ukuu wake!Mungu anajionesha kwa namna nyingi!Huenda Chanjo ndiyo jawabu alilolitoa Mungu kupitia mwanadamu kuwakomboa viumbe wake na Uviko!
 
Utukufu wa Mungu Tanzania hakuna anayeweza kuutwaa kwa kutuokoa na Corona.
Walitaka kutuaminisha kuwa kuvaa barakoa na kuchanjwa kumetuokoa na wimbi la 6.

Mungu kaamua kuwafedhehesha watu hawavai barakoa na kuchanjwa wamegoma na hakuna mlipuko.
Wamebakia tu viongozi wakivalia mibarakoa huku nafsi zikiwasuta.

Mungu humurehemu atakaye kumurehemu na hakuna kibwengo wa kuzuia.
 
Huenda Chanjo ndiyo jawabu alilolitoa Mungu kupitia mwanadamu kuwakomboa viumbe wake na Uviko!
Sio kwa chanjo hizi za kihuni.

Hamtaki kutumia tiba asili mnabugia matakataka ya mabeberu eti mnaita chanjo!

Hahahaa chanjoo!!!!
 
Ni kweli kabisa mtoa mada, Mungu huwa hashindwi jambo.
Inashangaza sana pale Kiongozi mkubwa kabisa anapokuwa amepata cheo kabla ya kuanza kutumikia cheo hicho anaapa kwa kushika Kitabu kitakatifu, na anamalizia kiapo chake kwa kusema"MUNGU NISAIDIE" sasa unapofika wakati wa kumtumainia Mungu katika jambo fulani, unakuta kiongozi huyo huyo badala ya kumhusisha Mungu, unakuta anampa kisogo Mungu na kuambatana na kile kinachoitwa Sayansi. Ni aibu.
 
Back
Top Bottom