#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Ukikosa neema ya Mungu iliyo bure sijui tuseme nini sasa? Unashindwa kutumia akili ndogo tu. Chanjo inayotolewa baaada ya wewe kusaini hati ya kukubaliana na lolote liwawalo. Hutumii akili uliopewa na Mungu kujiulizi kulikoni wajameni? Hizo chanjo za awali zilikuwa hivyo? Mungu akakupa Neema na Rehema yake ya huu upenyo wa hii kauli ya "chanjo ni hiari ya mtu" Napo tena hujiulizi tu kulikoni maana hizo za zamani ni lazima isiyo fuatiliwa kwa uzembe au kwa kuona muitikio wa kukubalika jwazo ni mkubwa. Bado ukajipeleka khaa! Aliye andikiwa kupotea ni wakupotea tu. Ndio hayo ya kujifanyia tathimini baada ya siku kadhaa hamna mwenye akili ya kujiuliza long term consequences ni zipi?

Suala sio kuwa nacho! Umekuwa nacho kwa njia gani? Ndio tuje kwenye hii kauli ya kuwa unachukia wenye nacho. Na wenye nacho wengine wanajistukia kuwa wanachukiwa kumbe hamna kitu kama hicho ni mahangaiko ya nafsi zao wakikumbuka walivyo kipata hicho kinachoitwa kuwa nacho.
Kweli ujinga mzigo;
-Mbona unapoenda kufanyiwa operation ndugu/wewe husaini fomu ili kukubaliana na lolote litalotokea!IUnashangaa nini utaratibu huo kwenye chanjo?
Chanjo hii imekuja kwa dharura kutokana na dharura yenyewe,isingewezekana kusubiri miaka 30 ili kujiridhisha wakati watu wanateketea!So majaribio ya muda mfupi yameleta matokeo chanya,ndio maana unasaini ili kama itakuletea madhara basi asilaumiwe mtu!
Hili ni jambo LA kawaida sana,wala huhitaji kuwa alarmed!
-Hakuna chanjo yoyote huko nyuma ambayo imewahi kuwa lazima!Hakuna matibabu ambayo yamewahi kuwa lazima!Ulichanjwa kwa hiari yako au wazazi wako!
 
Ndio maana nikakuambia shetani katumia mfumo huo wa utambulisho kutambua walio wake. Wewe ndio wa kunifundisha bar code ni nini?
Aisee,kwahiyo kila atakayechanja basi ni mtu Wa shetani?Akili za wapi?Ndio maana mnaojifanya mnamjua Mungu sana mnaonekana vichaa!
Nini kimekufanya uhukumu watu kwa kutafuta kinga dhidi ya maradhi?
Hahahaaa,nami nikisema kwakuwa wewe umesajili laini yako kwa fingerprint,basi wewe ni mtu Wa shetani na huo ni mchakato wake Wa kuwatambua walio wake!!!!
Shame!
 
Hatuendagi kiholelaholela tunaagizwa na Roho Mtakatifu cha kufanya. Bwana Yesu akamwambia shetani mtu haishi kwa mkate tu bali kwa kila Neno litokalo kwa Mungu. Hatari ya kuwa stomachi woshipaz ni hiyo utanaswa na shetani na hatima yako ni jehanamu.
Siku hizi watu wanafunga aina za vyakula,wengine wanafunga mchana na jioni wanakula!
Wewe Nina uhakika hujawahi hata kufunga siku 2 bila kula!
Mungu hayuko complicated hivyo,jambo kuu kwa muumba ni Upendo!Upendo ndio kila kitu!
 
Kweli ujinga mzigo;
-Mbona unapoenda kufanyiwa operation ndugu/wewe husaini fomu ili kukubaliana na lolote litalotokea!IUnashangaa nini utaratibu huo kwenye chanjo?
Chanjo hii imekuja kwa dharura kutokana na dharura yenyewe,isingewezekana kusubiri miaka 30 ili kujiridhisha wakati watu wanateketea!So majaribio ya muda mfupi yameleta matokeo chanya,ndio maana unasaini ili kama itakuletea madhara basi asilaumiwe mtu!
Hili ni jambo LA kawaida sana,wala huhitaji kuwa alarmed!
-Hakuna chanjo yoyote huko nyuma ambayo imewahi kuwa lazima!Hakuna matibabu ambayo yamewahi kuwa lazima!Ulichanjwa kwa hiari yako au wazazi wako!

Mjinga wewe chanjo ya homa ya manjano sio lazima kwa wasafiri wa kimataifa.? Hujui yako majira na nyakati za kutimia kwa kila unabii wa Mungu. Nani kakuambia operations ziko kwenye kutimiza unabii wa mpinga Kristo? Mienendo yote ya chanjo za huko nyuma haifanani na hii ya chanjo ya corona bado tu hustuki.
 
Siku hizi watu wanafunga aina za vyakula,wengine wanafunga mchana na jioni wanakula!
Wewe Nina uhakika hujawahi hata kufunga siku 2 bila kula!
Mungu hayuko complicated hivyo,jambo kuu kwa muumba ni Upendo!Upendo ndio kila kitu!

Upendo gani huo wa kumpa mtu chanjo ya shaa shaa?
 
Mjinga wewe chanjo ya homa ya manjano sio lazima kwa wasafiri wa kimataifa.? Hujui yako majira na nyakati za kutimia kwa kila unabii wa Mungu. Nani kakuambia operations ziko kwenye kutimiza unabii wa mpinga Kristo? Mienendo yote ya chanjo za huko nyuma haifanani na hii ya chanjo ya corona bado tu hustuki.
Brainwashed folk!
 
Mjinga wewe chanjo ya homa ya manjano sio lazima kwa wasafiri wa kimataifa.? Hujui yako majira na nyakati za kutimia kwa kila unabii wa Mungu. Nani kakuambia operations ziko kwenye kutimiza unabii wa mpinga Kristo? Mienendo yote ya chanjo za huko nyuma haifanani na hii ya chanjo ya corona bado tu hustuki.
Wewe ndio mpuuzi uliyepitiliza!
-Hujui kuwa chanjo ya Corona kwa sasa ni lazima kwa wanaosafiri kimataifa au unaishi wapi?
-Huo unabii wako peleka kwa wajinga wenzako,hapa tunaongea facts!Na facts ni kuwa chanjo imepunguza vifo na tumeona hilo!
 
Aisee,kwahiyo kila atakayechanja basi ni mtu Wa shetani?Akili za wapi?Ndio maana mnaojifanya mnamjua Mungu sana mnaonekana vichaa!
Nini kimekufanya uhukumu watu kwa kutafuta kinga dhidi ya maradhi?
Hahahaaa,nami nikisema kwakuwa wewe umesajili laini yako kwa fingerprint,basi wewe ni mtu Wa shetani na huo ni mchakato wake Wa kuwatambua walio wake!!!!
Shame!

Chanjo itatumika na shetani kwenye utambuzi wa walio wake na ukimkataa hutamkimbia kirahisi atakutrak ulipo ili ukutane na dhiki kuu ili kuona uso wa Mungu. Na haimanishi usipo chanja na kuendelea kutenda dhambi ndio hutaenda jehahamu. Viwango na masharti ya kuufikia uzima wa milele bado viko palepale.
Wewe ndio mpuuzi uliyepitiliza!
-Hujui kuwa chanjo ya Corona kwa sasa ni lazima kwa wanaosafiri kimataifa au unaishi wapi?
-Huo unabii wako peleka kwa wajinga wenzako,hapa tunaongea facts!Na facts ni kuwa chanjo imepunguza vifo na tumeona hilo!

Facts za wapi hizi, chajo ni lazima kwa wapi? Mchezaji wa Arsenal ya England na timu ya Taifa ya Uswiss Grant Xhaka haja chanja na anapuyanga na timu ya Taifa ya Uswiss na kaumwa corona. Jose Mourinho coach anaye madmire anambembeleza abadili msimamo achanjwe. Danganya wajinga wenzako eti chanjo ni lazima. Kilicho lazima ni corona free certificate.
 
Kabisa mkuu,hajitambui!Huyu unaweza kumwambia ashinde njaa siku 40 ili kutimiza unabii na akatenda kweli!

Unambiwa na nani zaidi ya Roho Mtakatifu ambaye ni Mungu aliye ndani yako? Kama unaye lakini. Mambo ya Mungu huanzishwa rohoni na Roho Mtakatifu ndio yaje kujidhihirsha katika mwili huu wa nyama.
 
Ngoja wakusikie wenyewe wanakwambai wamechanja asilimia 80 wakati chanjo zao ziko milioni moja tu na bado hazijaisha
 
Chanjo itatumika na shetani kwenye utambuzi wa walio wake na ukimkataa hutamkimbia kirahisi atakutrak ulipo ili ukutane na dhiki kuu ili kuona uso wa Mungu. Na haimanishi usipo chanja na kuendelea kutenda dhambi ndio hutaenda jehahamu. Viwango na masharti ya kuufikia uzima wa milele bado viko palepale.

Facts za wapi hizi, chajo ni lazima kwa wapi? Mchezaji wa Arsenal na timu ya Taifa ya Uswiss Grant Xhaka haja chanja na anapuyanga na timu ya Taifa ya Uswiss na kaumwa corona. Jose Mourinho coach anaye madmire anambembeleza abadili msimamo achanjwe. Danganya wajinga wenzako eti chanjo ni lazima. Kilicho lazima ni corona free certificate.
Hahahhaaa,aisee kweli wewe ni boga!Usiniletee nadharia za kufikirika zisizo na ushahidi wowote!Nani kakuambia kupitia chanjo ndio namna shetani anavyowatrack watu wake?This is nonsense!Shetani kama aliweza kumtrack Yesu ili amjaribu,itakuwa wewe binadamu?Yaani shetani ahitaji uchanjwe ili akutambue???Haya mambo ya kufikirika tu ni nonsense!
Nimesema,kuna nchi huwezi kwenda kwa sasa kama hujachanja!Kuna kazi huwezi kupata kama hujachanja!Endelea kushupaza mshipa Wa shingo!Mpaka yakukute ndio utapata akili!
 
Hahahhaaa,aisee kweli wewe ni boga!Usiniletee nadharia za kufikirika zisizo na ushahidi wowote!Nani kakuambia kupitia chanjo ndio namna shetani anavyowatrack watu wake?This is nonsense!Shetani kama aliweza kumtrack Yesu ili amjaribu,itakuwa wewe binadamu?Yaani shetani ahitaji uchanjwe ili akutambue???Haya mambo ya kufikirika tu ni nonsense!
Nimesema,kuna nchi huwezi kwenda kwa sasa kama hujachanja!Kuna kazi huwezi kupata kama hujachanja!Endelea kushupaza mshipa Wa shingo!Mpaka yakukute ndio utapata akili!

Shetani atahitaji kwa sababu hana jinsi nyingine maana Mungu alishasema kupitia Nenoblake unabii huu wa kupigwa chapa ya mpinga Kristo na haya ndio maandalizi yake. Usicho kijua wewe shetani alitumia maneno ya Mungu jwa mfano kutoka Kumbumbu la Taurati na Zaburi 91 kumjaribu Bwana Yesu. Na Bwana Yesu akatumia Neno la Mungu kupangua majaribu hayo.

Hata huko nyuma kuna nchi ambazo Passport ya Tanzania ilikuwa haikuruhusu kwenda. South Afrika kwa mfano. Kwa nini uligeneralize? Na mjiulize ibada zinazo wekewa masharti ya chanjo pia.
 
Unambiwa na nani zaidi ya Roho Mtakatifu ambaye ni Mungu aliye ndani yako? Kama unaye lakini. Mambo ya Mungu huanzishwa rohoni na Roho Mtakatifu ndio yaje kujidhihirsha katika mwili huu wa nyama.
Wewe huenda ukaja kuwa kuni huko jehanam kuchomea wengine,Babu zako walijua mambo ya roho mtakatifu?
Ngoja wakusikie wenyewe wanakwambai wamechanja asilimia 80 wakati chanjo zao ziko milioni moja tu na bado hazijaisha
Huelewi,wamechanja asilimia 80 ya watu million 1 ambayo ndio idadi ya chanjo!Kuuliza sio ujinga!
 
Shetani atahitaji kwa sababu Mungu alishasema unabii huu wa kupigwa chapa ya mpinga Kristo na haya ndio maandalizi yake. Hata huko nyuma kuna nchi ambazo Passport ya Tanzania ilikuwa haikuruhusu kwenda. South Afrika kwa mfano. Kwa nini ulijeneralize? Na mjiulize ibada zinazo wekewa masharti ya chanjo pia.
Nikueleze tu,ugonjwa huu utapita na yatakuja magonjwa mengine ambayo pia yatahitaji chanjo na zitatengenezwa chanjo za wakati huo!
Sijawahi kuona mahali kama kumpinga kristo ni kupata kinga ya maradhi,kumpinga kristo ni matendo!
 
Wewe huenda ukaja kuwa kuni huko jehanam kuchomea wengine,Babu zako walijua mambo ya roho mtakatifu?!

Babu zangu hawafungwi na sharti hili la kuisikia Injili ya Yesu Kristo. Ndio maana utasikia Yesu Kristo Bwana wa Majeshi hatarudi kuchukua walio wake na kuuhukumu ulimwengu mpaka Injili yake iwe imehubiriwa ulimwenguni kote. Wala usishangae kuona baadhi ya Masheikh wakihangaika na Biblia ndio wanatimiza huo unabii maana ukijitetea kuwa sikusikia utambiwa mbona hata Sheikh wako alikufikishia kwa njia ya kupinga wewe kwa nini hukujiongeza uliposikia hii Habari Njema kwa Watu Wote ya Neno la Mungu.
 
Nikueleze tu,ugonjwa huu utapita na yatakuja magonjwa mengine ambayo pia yatahitaji chanjo na zitatengenezwa chanjo za wakati huo!
Sijawahi kuona mahali kama kumpinga kristo ni kupata kinga ya maradhi,kumpinga kristo ni matendo!

Unamatatizo ya kuelewa. Nimesema maandalizi ya kupigwa chapa ya mpinga Kristo. Sasa sina hakika labda huko kwenu kwamba kupigwa chapa ni matendo.
 
Back
Top Bottom