#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Mtaongea sana lakini ukweli kuwa Mungu ni mwenye Nguvu na Uweza Mkuu utabakia kuwa hivyo milele yote. Hakuwaahi kuwepo, hayupo na hatakuwepo wa kupindisha ukweli huo. Na kwa waumini wa kweli wa Mungu wa Mbinguni huta watoa hapo kwenye huu mtazamo. Haya mengine yote yatokanayo ni kazi ya shwetani na vikaragosi wake. Kazi yenu kila siku ni kuhangaika na JPM wakati mwenzeni mwendo/, kazi yake hapa duniani kamaliza na imani aliilinda. Mkae mkijua Wamachinga (hilo likiwa ni moja kati ya mengine mengi) wanawasubiria mje na suluhisho lao.
Ucha ujinga wewe huyo Mungu wako kama ananguvu alishindwaje kuzuia COVID isitokee duniani??
 
Unamatatizo ya kuelewa. Nimesema maandalizi ya kupigwa chapa ya mpinga Kristo. Sasa sina hakika labda huko kwenu kwamba kupigwa chapa ni matendo.
Kwahiyo tuliochanjwa ni wapinga kristo?
 
Babu zangu hawafungwi na sharti hili la kuisikia Injili ya Yesu Kristo. Ndio maana utasikia Yesu Kristo Bwana wa Majeshi hatarudi kuchukua walio wake na kuuhukumu ulimwengu mpaka Injili yake iwe imehubiriwa ulimwenguni kote. Wala usishangae kuona baadhi ya Masheikh wakihangaika na Biblia ndio wanatimiza huo unabii maana ukijitetea kuwa sikusikia utambiwa mbona hata Sheikh wako alikufikishia kwa njia ya kupinga wewe kwa nini hukujiongeza uliposikia hii Habari Njema kwa Watu Wote ya Neno la Mungu.
Siko hapa kuhubiri au kuhubiriwa,ninachoangalia hapa ni facts!Hata Yesu alisema,ya kaisari mpeni kaisari!Kwa mantiki hiyi,mambo ya kiafya yashughulikiwe kitaalamu!Kama utaona huwezi basi nenda kashughulikiwe kiroho!
Wewe ni nani umuhukumu aliyechanja kuwa ni mpinga kristo?Yawezekana aliyechanja ndiye amemkubali kristo kuliko wewe unayehangaika hapa kujifanya unamjua sana Huyo kristo!
 
Mjinga ni wewe usiyepata Neema ya Mungu ya kujua Matendo Makuu ya Mungu yanavyotendeka.
Kama Mungu wako anakwambia usichange basi huyo ni Mungu Wa uongo,huenda ni shetani anataka uondoke duniani kabla hujaijua kweli!
 
Siko hapa kuhubiri au kuhubiriwa,ninachoangalia hapa ni facts!Hata Yesu alisema,ya kaisari mpeni kaisari!Kwa mantiki hiyi,mambo ya kiafya yashughulikiwe kitaalamu!Kama utaona huwezi basi nenda kashughulikiwe kiroho!
Wewe ni nani umuhukumu aliyechanja kuwa ni mpinga kristo?Yawezekana aliyechanja ndiye amemkubali kristo kuliko wewe unayehangaika hapa kujifanya unamjua sana Huyo kristo!

Facts maaaaweee!
 
Kama Mungu wako anakwambia usichange basi huyo ni Mungu Wa uongo,huenda ni shetani anataka uondoke duniani kabla hujaijua kweli!

Niijue kweli mara ngapi? Ninachokifanya ni kuicherish hiyo kweli tu. Maana Mungu alishasema shika sana ulicho nacho uangalie asije yule muovu akakunyanganya.
 
Jiwe katengeneza mandondocha wengi sana sasa mwenyewe kaondoka hiyo mifugo yake inasumbua.
Sasa nyie misukule ya gaidi mbona hamuendi kushambulia zile chanjo milioni 1 tu ziishe chap?
 
Nijue kweli mara ngapi? Ninachokifanya ni kuicherish hiyo kweli tu. Maana Mungu alishasema shika sana ulicho nacho uangalie asije yule muovu akakunyanganya.
Yawezekana shetani amekushika mpaka anakushawishi usipate kings ufe mapema kabla hujaona ukuu Wa Mungu!
Mungu ameonesha uwezo wake kupitia mwanadamu kwa kumpa akili ya kugundua chanjo!
Sasa Kwanini shetani asiwe kinyume na mpango Wa Mungu???
Wewe unaweza kuwa unatumika na shetani bila kujijua!
 
Hata hizo dawa zinataratibu zake za kuzinywa. Haunywi tu kwasababu ya kunywa. Vinginevyo utajikuta kuishia kwenye ulaghai wa Shetwani. Ndio maana Naamani wa Biblia Kamanda Mkuu wa majeshi ya Siria japo kwa shingo upande alilazimika kupiga mbizi mara saba mto yoridani na akaponywa ukoma.
... inaonekana wewe ni muhudhuriaji mzuri UFUFUO NA UZIMA!
1f605.png
 
Hawa watu wengine bado wana hangover ya kuondokewa na mfadhili wao
Mbona nyie wafuasi wa gaidi hamuendi kushambulia zile chanjo milion 1 tu ziishe?

Ina maana hamzidi milion 1?
 
Wewe ndiye uliyerogwa! Uzima ulio nao ni Mungu amekupa, halafu unajisikia vibaya watu kushuhudia uponyaji wa Mungu!! Lazima uwe na pepo mchafu!! Hivi Tanzania wangekufa kwa maelfu kama huko ulaya wewe ungepona? Ni Mungu katuponya ukiwamo wewe pia umeponywa na Mungu!! Endelea kukataa na usishangae Mungu akiamua kukunyima pumzi uone kama hutazimika kama koroboi!!
... tena inaelekea maombi yetu yameisaidia Africa yote ya wanyonge, kasoro South Africa kwa wabaguzi wabobezi!
1f605.png
 
Yawezekana shetani amekushika mpaka anakushawishi usipate kings ufe mapema kabla hujaona ukuu Wa Mungu!
Mungu ameonesha uwezo wake kupitia mwanadamu kwa kumpa akili ya kugundua chanjo!
Sasa Kwanini shetani asiwe kinyume na mpango Wa Mungu???
Wewe unaweza kuwa unatumika na shetani bila kujijua!

Shetani na mawakala wake hawawezi kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom