#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Ucha ujinga wewe huyo Mungu wako kama ananguvu alishindwaje kuzuia COVID isitokee duniani??
 
Unamatatizo ya kuelewa. Nimesema maandalizi ya kupigwa chapa ya mpinga Kristo. Sasa sina hakika labda huko kwenu kwamba kupigwa chapa ni matendo.
Kwahiyo tuliochanjwa ni wapinga kristo?
 
Siko hapa kuhubiri au kuhubiriwa,ninachoangalia hapa ni facts!Hata Yesu alisema,ya kaisari mpeni kaisari!Kwa mantiki hiyi,mambo ya kiafya yashughulikiwe kitaalamu!Kama utaona huwezi basi nenda kashughulikiwe kiroho!
Wewe ni nani umuhukumu aliyechanja kuwa ni mpinga kristo?Yawezekana aliyechanja ndiye amemkubali kristo kuliko wewe unayehangaika hapa kujifanya unamjua sana Huyo kristo!
 
Mjinga ni wewe usiyepata Neema ya Mungu ya kujua Matendo Makuu ya Mungu yanavyotendeka.
Kama Mungu wako anakwambia usichange basi huyo ni Mungu Wa uongo,huenda ni shetani anataka uondoke duniani kabla hujaijua kweli!
 

Facts maaaaweee!
 
Kama Mungu wako anakwambia usichange basi huyo ni Mungu Wa uongo,huenda ni shetani anataka uondoke duniani kabla hujaijua kweli!

Niijue kweli mara ngapi? Ninachokifanya ni kuicherish hiyo kweli tu. Maana Mungu alishasema shika sana ulicho nacho uangalie asije yule muovu akakunyanganya.
 
Jiwe katengeneza mandondocha wengi sana sasa mwenyewe kaondoka hiyo mifugo yake inasumbua.
Sasa nyie misukule ya gaidi mbona hamuendi kushambulia zile chanjo milioni 1 tu ziishe chap?
 
Nijue kweli mara ngapi? Ninachokifanya ni kuicherish hiyo kweli tu. Maana Mungu alishasema shika sana ulicho nacho uangalie asije yule muovu akakunyanganya.
Yawezekana shetani amekushika mpaka anakushawishi usipate kings ufe mapema kabla hujaona ukuu Wa Mungu!
Mungu ameonesha uwezo wake kupitia mwanadamu kwa kumpa akili ya kugundua chanjo!
Sasa Kwanini shetani asiwe kinyume na mpango Wa Mungu???
Wewe unaweza kuwa unatumika na shetani bila kujijua!
 
... inaonekana wewe ni muhudhuriaji mzuri UFUFUO NA UZIMA!
 
Hawa watu wengine bado wana hangover ya kuondokewa na mfadhili wao
Mbona nyie wafuasi wa gaidi hamuendi kushambulia zile chanjo milion 1 tu ziishe?

Ina maana hamzidi milion 1?
 
... tena inaelekea maombi yetu yameisaidia Africa yote ya wanyonge, kasoro South Africa kwa wabaguzi wabobezi!
 

Shetani na mawakala wake hawawezi kufanya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…