#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Shehullohi kuja hapa uone shetani alivyo mshenzi

Shetani ni mshenzi kwelikweli maana kakujaza ujinga kuwa viongozi tena wakubwa hawafi na hata wakifa hawafi kwa staili hii ya hawa ya jinsi umauti wao ulivyo wafikia. Na shetani ni mshenzi kweli kweli kakuvuruga na umekubali kuvurugikiwa haswa. Shetani kawatia hofu kuu na mmekuwa watu wa ndimi mbili mbili mbele ya kamera.
 
Hawa wakipewa nafasi nyingine wanachanja chap chap!
 
Tena kwa Jina la Yesu Kristo wa Nazareti toka shetani na hila yako hii ya typo.
Shetani ameshindwa,tunachanja kuutukuza ukuu Wa Mungu kupitia mwanadamu!
Mungu hataki watu wake waangamie kwa kukosa maarifa!
 
Hawa wakipewa nafasi nyingine wanachanja chap chap!

Ujinga ni kufikiria kuwa hapa duniani ni mwisho wa reli wa mambo yote. Duniani tunapita tu na tuwasafiri. Maisha baada ya haya ni ya umilele wote ndio maisha. Tuwekee na picha ya marehemu/hayati Mfugale. Bado wako wengi ulio wasahau.
 
Ujinga ni kufikiria kuwa hapa duniani ni mwisho wa reli wa mambo yote. Duniani tunapita tu na tuwasafiri. Maisha baada ya haya ni ya umilele wote ndio maisha. Tuwekee na picha ya marehemu/hayati Mfugale. Bado wako wengi ulio wasahau.
Aisee,waliokata tamaa ya maisha ndio huwa wanaongea hivyo!
Live your life mpaka pumzi yako ya mwisho!
 
Mbona unakatiza mautamu ndugu?

Jua kuwa mambo ya Mungu yanahitaji ukibebwa ujishikilie na ufike pahala usimame kwa miguu yako mwenyewe kwa usaidizi wa Roho Mtakatifu. Usipolijua hilo utaishia kubemendwa na huko mtaani wako wakubemenda wengine wakutosha tu.
 
Aisee,waliokata tamaa ya maisha ndio huwa wanaongea hivyo!
Live your life mpaka pumzi yako ya mwisho!

Kukata tamaa ya maisha, upotoshaji wa shetani huu wa wazi na watu wameukumbatia.
 
Kukata tamaa ya maisha, upotoshaji wa shetani huu wa wazi na watu wameukumbatia.
Haya, kula mtu ashike lake, wewe endelea kuamini chanjo ni mpango Wa shetani na wengine acha waamini chanjo ni mpango Wa Mungu! Mwisho Wa siku kuchanja au kutokuchanja sio tiketi yako ya kuiona pepo,matendo yako duniani ndiyo yatakayokufanya uione pepo!Nimemalizana na wewe!
 
... we have so many religions and what brings us together, as a nation, is the SCIENCE you hate so much!
 

Haya na iwe hivyo. Uwe na usiku/ siku njema yenye Ulinzi Mkuu wa Mungu wa Mbinguni na wala sio ulinzi wa hii chanjo ya corona.
 
Mungu kakupa akili ya kutumia na hekima ya kumwabudu.
Kufa kwa ujinga wako kwa kujitakia hakumtukuzi Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…