#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Dokta uchwara huna hoja, umebaki na viroja,

Sayansi zako kanjanja, zimejaa janja janja,

Watu wote kwa pamoja, wamesusa zako hoja.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Du. Kweli awamu ya tano ilitutengenezea ''wataalam''.
 
Tulia wewe dokta uchwara uelimishwe!

Wengi wenu hata huo udokta mlipewa kimagumashi tu kwa kuvuliwa chupi na kuinamishwa maofisini.

Ndio maana hamuwezi kutengeneza japo kidonge cha panado, mmebaki kushadadia machanjo ya wazungu.
 
Wewe ni mpotoshaji na siku zote wapotoshaji wanachukua kipande cha taarifa ndiyo wanakitumia kuhadaa watu.

Mbona hujatumia takwimu za Ulaya na Marekani namna wanavyoanza kurudi kwenye maisha ya kawaida baada ya kuchanja 40% tu ya population zao?
 
Na hapa wanazitoa bure kwa sababu zipo kwenye majaribio na kimsingi wao ndo walitakiwa kuwalipa wanaoshiriki kwenye majaribio ya chanjo. Watakapopata ile final approval ya WHO hapo ndo biashara ya chanjo itakapoanza.......hakutakuwa na cha bure tena na kuchanja itakuwa kwa lazima, utake usitake ndo maana wengine wanaifananisha na namba ya mnyama iliyotajwa kwenye kitabu cha ufunuo.....
 

Nita summaries yote uliyoandika kwa nukuu hii hapa kutoka kwa Tim Harford;

"A lobby group seeking to deny the statistical evidence will always be able to point to some aspect of the current science that is not settled, note that the matter is terribly complicated, and call for more research. And these claims will sound scientific, even rather wise. Yet they give a false and dangerous impression: that nobody really knows anything."


Does this sound familiar ?
 
Umeandika hisia zako binafsi, ambapo si kila mmoja lazima afikie hitimisho ulilofikia.

Nyie pro - Magufuli mnaopinga chanjo mntapatapa tu.
Kwa akili yako ''kisoda'' kila anayejenga hoja ambazo ni kinyume na wanaotetea chanjo ni pro-Magufuli!

Kwa hiyo duniani kote wanajenga hoja ambazo ni kinyume na wanaotetea chanjo ni pro-Magufuli! Ama kweli ujinga wako ni kipaji cha kijinga!
 
Kwa akili yako ''kisoda'' kila anayejenga hoja ambazo ni kinyume na wanaotetea chanjo ni pro-Magufuli!

Kwa hiyo duniani kote wanajenga hoja ambazo ni kinyume na wanaotetea chanjo ni pro-Magufuli! Ama kweli ujinga wako ni kipaji cha kijinga!
Wewe ndio akili 'kisoda' unaandika maelezo usiyoweza kuthibitisha kisayansi zaidi ya porojo tu.

Hakuna hoja uliyojenga hapo, endelea na siasa za majitaka maana ndio ulipobobea.
 
Bado unamuamini jiwe kwamba waliochanjwa ndio wanasambaza corona kali sana??
 
Unamaanisha herd immunity iligonga mwamba kwa hawa?

 
Tulia wewe dokta uchwara uelimishwe!

Wengi wenu hata huo udokta mlipewa kimagumashi tu kwa kuvuliwa chupi na kuinamishwa maofisini.

Ndio maana hamuwezi kutengeneza japo kidonge cha panado, mmebaki kushadadia machanjo ya wazungu.
Yaani unaandika utumbo mpana mtupu na unatujazia samadi tu hapa! Nakuuliza tena, chanjo zako za utotoni walikuchanja babu zako za kienyeji au hizo hizo za Kizungu?!
Kwahiyo na wewe my friend ni mmoja wao ambao Wazungu wamekaa wakaumiza vichwa kwa gharama kubwa ili waje wawaue?!
 
Mara baada ya kusoma na kuona hujui Maana ya Herd Immunity nikaacha kusoma uharo wako
 
Kwa akili yako ''kisoda'' kila anayejenga hoja ambazo ni kinyume na wanaotetea chanjo ni pro-Magufuli!

Kwa hiyo duniani kote wanajenga hoja ambazo ni kinyume na wanaotetea chanjo ni pro-Magufuli! Ama kweli ujinga wako ni kipaji cha kijinga!
Nyie ndiyo mlimdanganya dikteta Magufuli kuwa papai lina corona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…