#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

#COVID19 Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

Nyie ndiyo mlimdanganya dikteta Magufuli kuwa papai lina corona!
Teh teh teh teh...🤣🤣🤣....we jamaa bhana...haaa haaa..😂😂😂
 
Sasa kwa vipi herd immunity inapungua hapo?......How Vaccine affect infectivity & fatality of infectious disease?
Unaliza swali ambalo majibu yake unayapata kama unajua vizuri herd immunity.
 
K
Kaka unashindwa hata kuelewa mantiki ndogo tu kwenye mada yangu!

Kama tunakubaliana mtu aliyechanjwa anaweza kupata tena korona na kuambukiza. Kama ndivyo, sijui hata unachotaka kujua zaidi ni nini wakati maelezo yako yanakubaliana na hoja yangu ya msingi!
Kaka samahani ni dhahiri kabisa, kile unacholeta hapa "chanjo" na "herd immunitY" hujaelewa bado misingi yake.

Kila chanjo (tangu mwanzo wa mfumo huo) inaharakisha jibu la mfumo wa kia mwilini. Haina uwezo wa kuubadilisha bali inaharakishi uwezo wake. Hali hiyo ni msingi wa chanjo zote, hata zile ulizopokea tayari ulipokuwa mtoto mdogo.
Je, tuko pamoja au la?

Kila chanjo si ya asilimia 100. Kila chanjo huwa na athiri mbaya kwa sehemu ndogo sana ya hao waliochanjwa. Hata chanjo zote ulizopokea tayari.
Je, tuko pamoja au la?

Kila chanjo, hata hizo ulizopokea, ina asilimia ndogo ambako haizuii ugonjwa husika. Lakini inapunguza SAANAAA idadi ya maambukizi. Bila matokeo hayo jinsi yalivyo watoto wengi zaidi hapa nchini yangekufa mapema.
Je, tuko pamoja au la?

Nimekuuliza maswali matatu. Ukijibu ndiyo, tafadhali ueleze wapi tofauti na chanjo ya COVID.
Usipokubali, tafadhali ujieleze kwa kutaja sababu za kitaalamu na marejeo.
 
COUNTERINTUITIVE!
1627591517641.png
 
mta
mtalaam huyu hapa.mie sijamwelewa kwa kweli


Huyu daktaru Swai ana maelezo mzuri na ushauri mzuri. Tumfuate.
Isipokuwa kuhusu chanjo elimu yake si ya kisasa.
Tekinolojia imebadilika sana.

1. ni kweli chanjo hizo za Covid hazikuchunguliwa jinsi ilivyo kuwa kawaida zamani.

2. Lakini nchi zilizothibitisha na kukubali chanjo hizo zilipima matokeo ziliona matokeo yanafaa ni nzuri yakipunguza maambukizi bila kuleta madhara (mbali na madhara ya kawaida kwa kila chanjo).

3. Chanjo za Covid zinaonekana kuokoa maisha kuliko kuharibu
 
Ninachosikitika ni kuwa hizi chanjo ambazo baadhi ya watu watazipa nchi zitaenda kuua herd immunity ambayo watanzania wengi kama sio wote nchini tulikuwa tumeipata kwa muda wa takribani miaka miwili.

Kwa wasiojua, herd immunity kwa lugha ya kawaida huitwa Kinga Kundi, hii ni aina ya kinga isiyo ya moja kwa moja (indirect immunity) dhidi ya ugonjwa inayotokea pale ambapo asilimia kubwa ya watu wana kinga dhidi ya ugonjwa husika iwe kwa njia ya maambukizo ya awali (kuugua kisha mwili ukatengeneza kinga).

Watanzania wengi sana kwa sasa korona kwao imekuwa ni kama ugonjwa wa mafua tu au uchovu kwa sababu miili yao imeishatengeneza kinga ya asili kutokana na kinga kundi(herd immunity). Wengi wanapoipata korona kwa sasa nchini wanapoteza uwezo wa kunusa na pia wanakosa hamu ya chakula na wanaharisha kidogo halafu baada ya siku kadhaa wanapona. Hii hali naamini inaenda kubadilika baada ya chanjo kuanza kutolewa nchini.

Kwa wasiojua ni kuwa kupata chanjo hakumzuii mtu aliyepata chanjo kupata korona lakini madhara yake ni kuwa, huyo aliyechanjwa halafu akapata korona, akimuambikiza mtu asiyechanjwa inakuwa ni korona hatari sana kwa aliyeambukizwa. Hii korona haikuchukui hata siku tatu unaondoka duniani kama hujawahi kupata matibabu haraka. Kibaya zaidi, hii korona inakula kidogo kidogo na inapofikia kwenye hatua za mwisho ndipo mtu unagundua pale unapokosa nguvu kwa ghafla.

Nchi nyingi za Afrika ambazo zilianza kutoa chanjo kwa wananchi wake zilijikuta ikiibuka korona nyingine kali iliyoshika kasi na watu kuanza kupoteza maisha ndio maana nchi hizo ziliamua kurudi tena kwenye lockdown.

Wachunguzi wanasema chimbuko la inayoitwa kwa kiingereza VARIANTS ni matokeo ya chanjo. Hata variants zinaibuka kutokana na aina ya chanjo zinazotolewa kwa watu wa eneo hilo. Mfano Saouth Afrika iliibuka variants inayoitwa BETA baada ya wananchi kuanza kupatiwa chanjo ya Johnson and Johnson vaccine. Mpaka leo Afrika Kusini wako katika hali tete.

Kuna watu ninajua watakuja na hoja wakisema, basi ni bora tupate chanjo wote ili variants isitokee. Watakaouliza maswali haya lazima wajue kuwa hizi chanjo zinazokuja kwa nchi zetu hizi za Afrika niza wanasiasa, maofisa waandamizi wa juu serikalini, wafanyakazi wa afya, matajiri na familia zao. Kama hauko kwenye kundi hili utasubiri kupata chanjo kwa muda mrefu sana wakati VARIANT ikifanya kazi zake nchini.

Kwa mfano, Kenya pamoja na kelele zao za kujikinga na korona toka waanze kutoa chanjo wametoa kwa asilimia 1.5 ya wananchi wake wote. Ukichunguza kundi lililopata hizo chanjo ndilo nililolitaja hapo juu!

Watanzania tuko karibia milioni 60 kwa sasa ambapo Sensa ya Watu na Makazi ilisema idadi ya watu nchini ambao wako katika kundi la kufanya kazi ni 53% na pia kundi la wazee ni 6%. Hii inatuambia kuwa watu wanaotakiwa kuchanjwa nchini ni kama 60% ya watanzania kwa sababu watoto hawachanjwi.

Kwa hesabu ya kawaida pale juu, idadi ya Watanzania wanapaswa kupata chanjo ni milioni 36. Batch ya kwanza ya Johnson and Johnson vaccine iliyoingia nchini ni dozi milioni 1 kwa watu milioni 1

Population ya Dar es Salaam pekee ni watu karibia milioni 6 ambapo asilimia 60 ya wanaohitaji chanjo ni watu milioni 3 na laki 6. Hapo hujagusa mikoa mingine!

Mtu yuko kijijini eti unamsikia anasema twende tukachanje, hiyo chanjo utaipata wapi? Mpaka ukifikie ni majaliwa zaidi zaidi kama una bahati mbaya utafikiwa na mtu aliyechanjwa na kupata tena korona ambaye anakuja kueneza korona kali zaidi.

Mungu ibariki Tanzania!
Jaribio la Herd Immunity lilifail, kwani wimbi la tatu limethibitisha hayo, baada ya jambo hilo kuonekana kugonga mwamba, chanjo haikwepeki.
 
Kaka unashindwa hata kuelewa mantiki ndogo tu kwenye mada yangu!

Kama tunakubaliana mtu aliyechanjwa anaweza kupata tena korona na kuambukiza. Kama ndivyo, sijui hata unachotaka kujua zaidi ni nini wakati maelezo yako yanakubaliana na hoja yangu ya msingi!
Sidhani kwamba tunakubaliana.
Ni kweli kwamba watu wachache waliopata chanjo wanaweza kuambukizwa na virusi (si korona pekee, ni kweli pia kwa magonjwa mengine).
LAKINI wengi wanalindwa.
Menginevyo uliandika pale juu
"Wachunguzi wanasema chimbuko la inayoitwa kwa kiingereza VARIANTS ni matokeo ya chanjo." -
Nilikuomba juu utuonyeshe ukweli wake.
Hebu tuambie: Mchunguzi gani?? Lini?? Wapi??? Taja chanzo!!!
(sidhani utaweza)
 
Ninachosikitika ni kuwa hizi chanjo ambazo baadhi ya watu watazipa nchi zitaenda kuua herd immunity ambayo watanzania wengi kama sio wote nchini tulikuwa tumeipata kwa muda wa takribani miaka miwili.

Kwa wasiojua, herd immunity kwa lugha ya kawaida huitwa Kinga Kundi, hii ni aina ya kinga isiyo ya moja kwa moja (indirect immunity) dhidi ya ugonjwa inayotokea pale ambapo asilimia kubwa ya watu wana kinga dhidi ya ugonjwa husika iwe kwa njia ya maambukizo ya awali (kuugua kisha mwili ukatengeneza kinga).

Watanzania wengi sana kwa sasa korona kwao imekuwa ni kama ugonjwa wa mafua tu au uchovu kwa sababu miili yao imeishatengeneza kinga ya asili kutokana na kinga kundi(herd immunity). Wengi wanapoipata korona kwa sasa nchini wanapoteza uwezo wa kunusa na pia wanakosa hamu ya chakula na wanaharisha kidogo halafu baada ya siku kadhaa wanapona. Hii hali naamini inaenda kubadilika baada ya chanjo kuanza kutolewa nchini.

Kwa wasiojua ni kuwa kupata chanjo hakumzuii mtu aliyepata chanjo kupata korona lakini madhara yake ni kuwa, huyo aliyechanjwa halafu akapata korona, akimuambikiza mtu asiyechanjwa inakuwa ni korona hatari sana kwa aliyeambukizwa. Hii korona haikuchukui hata siku tatu unaondoka duniani kama hujawahi kupata matibabu haraka. Kibaya zaidi, hii korona inakula kidogo kidogo na inapofikia kwenye hatua za mwisho ndipo mtu unagundua pale unapokosa nguvu kwa ghafla.

Nchi nyingi za Afrika ambazo zilianza kutoa chanjo kwa wananchi wake zilijikuta ikiibuka korona nyingine kali iliyoshika kasi na watu kuanza kupoteza maisha ndio maana nchi hizo ziliamua kurudi tena kwenye lockdown.

Wachunguzi wanasema chimbuko la inayoitwa kwa kiingereza VARIANTS ni matokeo ya chanjo. Hata variants zinaibuka kutokana na aina ya chanjo zinazotolewa kwa watu wa eneo hilo. Mfano Saouth Afrika iliibuka variants inayoitwa BETA baada ya wananchi kuanza kupatiwa chanjo ya Johnson and Johnson vaccine. Mpaka leo Afrika Kusini wako katika hali tete.

Kuna watu ninajua watakuja na hoja wakisema, basi ni bora tupate chanjo wote ili variants isitokee. Watakaouliza maswali haya lazima wajue kuwa hizi chanjo zinazokuja kwa nchi zetu hizi za Afrika niza wanasiasa, maofisa waandamizi wa juu serikalini, wafanyakazi wa afya, matajiri na familia zao. Kama hauko kwenye kundi hili utasubiri kupata chanjo kwa muda mrefu sana wakati VARIANT ikifanya kazi zake nchini.

Kwa mfano, Kenya pamoja na kelele zao za kujikinga na korona toka waanze kutoa chanjo wametoa kwa asilimia 1.5 ya wananchi wake wote. Ukichunguza kundi lililopata hizo chanjo ndilo nililolitaja hapo juu!

Watanzania tuko karibia milioni 60 kwa sasa ambapo Sensa ya Watu na Makazi ilisema idadi ya watu nchini ambao wako katika kundi la kufanya kazi ni 53% na pia kundi la wazee ni 6%. Hii inatuambia kuwa watu wanaotakiwa kuchanjwa nchini ni kama 60% ya watanzania kwa sababu watoto hawachanjwi.

Kwa hesabu ya kawaida pale juu, idadi ya Watanzania wanapaswa kupata chanjo ni milioni 36. Batch ya kwanza ya Johnson and Johnson vaccine iliyoingia nchini ni dozi milioni 1 kwa watu milioni 1

Population ya Dar es Salaam pekee ni watu karibia milioni 6 ambapo asilimia 60 ya wanaohitaji chanjo ni watu milioni 3 na laki 6. Hapo hujagusa mikoa mingine!

Mtu yuko kijijini eti unamsikia anasema twende tukachanje, hiyo chanjo utaipata wapi? Mpaka ukifikie ni majaliwa zaidi zaidi kama una bahati mbaya utafikiwa na mtu aliyechanjwa na kupata tena korona ambaye anakuja kueneza korona kali zaidi.

Mungu ibariki Tanzania!
Pumba tupu
 
Una taaluma yoyote ya Afya au ndio ukishakuwa na bundle, smartphone na vidole, umeshajua kila kitu.

Umeshawahi kujiuliza kwanini daktari mahakamani anahojiwa na watu ambao hawajawahi kushika hata themomita?

Na kwa nini ushahidi wake unachukuliwa kama ushauri tu, sio neno la mwisho?

Tumia akili yako vizuri. Kama huna sema nikuazime.
 
Wewe ni mpotoshaji na siku zote wapotoshaji wanachukua kipande cha taarifa ndiyo wanakitumia kuhadaa watu.

Mbona hujatumia takwimu za Ulaya na Marekani namna wanavyoanza kurudi kwenye maisha ya kawaida baada ya kuchanja 40% tu ya population zao?
Hoja yako ni nini?

Kwanza huwezi kuchukua takwimu za Ulaya kwa sababu wako kwenye lockdown kwa muda mrefu na historia inaonyesha wanapoingia kwenye lockdown hata maambukizo hupungua sana lakini wakiondoka kwenye lockdown, maambukizi huanza kuongezeka.

Ulaya wamepata/wanapata chanjo wakati wako kwenye lockdown na kwa mantiki hii huwezi kutumia takwimu hizo kujua ukweli. Tusubiri mpaka mwezi wa kumi ndipo tutajua kama chanjo imefanya kazi kwa nchi za Ulaya baada ya kuanza kuondoa lockdown.
 
Ninachosikitika ni kuwa hizi chanjo ambazo baadhi ya watu watazipa nchi zitaenda kuua herd immunity ambayo watanzania wengi kama sio wote nchini tulikuwa tumeipata kwa muda wa takribani miaka miwili.
Unafahamu Herd Immunity ni nini?!

Na kama unafahamu, unaweza kueleza hiyo Herd Immunity mliipata kwa mazingira yapi?
 
Umeshawahi kujiuliza kwanini daktari mahakamani anahojiwa na watu ambao hawajawahi kushika hata themomita?

Na kwa nini ushahidi wake unachukuliwa kama ushauri tu, sio neno la mwisho?

Tumia akili yako vizuri. Kama huna sema nikuazime.
JUHA IN THE MAKING...

What a stupid argument....

Ulishawahi kusikia hao watu wasiowahi kushika thermometer waki-argue AGAINST taarifa za wataalamu?!

Ulishajaribu kujiuliza ni kwanini hata huko mahakamani ikionekana mtuhumiwa ana matatizo ya akili kwa mfano, hakimu ataamuru apelekwe hospitali akachunguzwe na watalaamu?!

Sasa majibu ya kitaalamu yakishatoka, unatarajia hakimu atapingana na hayo majibu?!
 
Yaani unaandika utumbo mpana mtupu na unatujazia samadi tu hapa!

Jibu hoja wewe mkemia uchwara!! Acha kuweweseka kama panya magawa!

Je, ukidungwa chanjo huwezi kuambukizwa corona? HAPANA, UNAWEZA KUAMBUKIZWA.

Je, ukidungwa chanjo huwezi kuambukiza wengine? HAPANA, UNAWEZA KUAMBUKIZA WENGINE!

Je, ukidungwa chanjo unaweza kuacha kuvaa mabarakoa? HAPANA, ENDELEA KUVAA MABARAKOA.

Mweeh [emoji23][emoji23][emoji23] sasa hiyo ni chanjo kweli au tunataniana tu!!
 
Back
Top Bottom