Hizi dawa za kuongeza uanaume zinapatikana wapi hapa Tanzania?

Vyakula ulivyotaja hapo natumia asilimia kubwa mtoe pweza na mazoezi nafanya nipo kwenye timu ya mpira ya mtaa ila kila siku zisogeazo nazidi shuka kiutendaji nguvu naishiwa nimekuwa mpweke mno
 
Hauwezi kupata sexual drive ikiwa hauna korodani . utatumia kila haina ya dawa/supplements/Mazoezi hautoweza kupona.
Usione hayo mazaga yananing'inia tu kwenye chupi yana maana kubwa
 
Hauwezi kupata sexual drive ikiwa hauna korodani . utatumia kila haina ya dawa/supplements/Mazoezi hautoweza kupona.
Usione hayo mazaga yananing'inia tu kwenye chupi yana maana kubwa
Point ni kuwa hata kama hana hizo makitu asikariri lazima kwenda muda mreeefu ati atamridhisha ke....au basi material yangu ya kitambo
 
Videos za X zifungiwe maradufu la sivyo kitapatikana kizazi cha mazombi TZ.

1. WANAWAKE:

  • Ke wanajiduu kwa dildos
  • Ke wanajikadiria hadi nchi 16 kujiduu
  • Ke wanatengeneza makalio makubwa, hipsi, matiti, tumbo, ngozi, kucha, nywele hata vipochi manyoya bandia kuwaridhisha Me ambao hawatabiriki kimahusiano.
  • Ke wanaweka shabu ili vipochi manyoya view mnato.
  • Ke wanavaa taiti bandia zenye masponchi ya hipsi.
  • Ke wanajichua kwa ndizi na M.B.O bandia na chupa nyeti zote mbili.
  • Ke wanasagana na kufanywa mapenzi kinyume na maumbile.


2. WANAUME:

  • Me wanakuza M.B.O bandia kuridhisha Ke kiumbe kilichokataa uhalisia wake kiuumbwaji na kujiwekea vitu vingi bandia mwilini.
  • Me anang'ang'ana na vumbi la Kongo, viagra akishindana na alipotokea kumbe ndiyo anajiua kwa michubuko hadi kupata UKIMWI.
  • Me anahadaika kuiga visivyoigika hadi kuzama chumvini hatimaye kupata kansa za koo na midomo kuungua kama makalio ya nyani.
  • Me anajiua kushindana na kujijengea mwili 6 parks lakini anaishia kupigwa chini maana Ke hajawahi kujua anachokitaka kimahusiano.
  • Me anahonga Michepuko zaidi ya uwezo hatimaye Wazazi kufa njaa kwa kutowakumbuka.
  • Me kuongeza idadi ya single mothers sababu ya kuhadaika kuoa Ke ili wasaidiane kiuchumi kumbe kajipalia bomu linalolipuka muda wowote sababu pesa za Ke zimefungiwa sabufa.

VIDEO ZA X ZIFUNGIWE MARADUFU.



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
"Sahil" ni kidonge kimoja kinauzwa buku tano. Waarabu hawakosei, nilimega ka nusu tu nikqmeza, nilipiga show ya mwana ukome wiki nzima. Katafute pharmacy mi niliijua baada ya kuagizwa na mzee mmoja mwenye miaka 70+ ndo nikaona niitest aiseee..... maajabu yamo
 
Namm niko ddm ,tunaweza kuonana kuangakia jins ya kujijenga

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ila nadhani kuna kagape kadogo sana wanaume wanafeli ....mmekaririshwa vibaya sana hadi mnakera! Alowaambia wanawakr wanataka mkeshe vifuani ni nani lakini? Ptu
mke wangu anataka walau vitatu kwa wiki ila mimi ni kimoja
 
Tiba ya kwanza- kuimarisha misuli ya uume na nguvu za kiume.
๐Ÿ‘‰Mahitaji๐Ÿ‘‰ tikiti kipande 1, karoti 1
๐Ÿ‘‰ parachichi 1,ndizi mbili
๐Ÿ‘‰mfano day 1 Utaanza kula tikiti,๐Ÿ‘‰karoti, parachichi Kisha ndizi(Kumbuka kuwa unabadilisha tunda la kuanzia) day 2 parachichi, tikiti, uwe una badilisha.

๐Ÿ‘‰ndani ya siku 14, hakikisha haufanyi mapenzi ndani ya muda wa dawa. Acha kutazama x, usipige nyeto. Nihilist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ