Vyakula ulivyotaja hapo natumia asilimia kubwa mtoe pweza na mazoezi nafanya nipo kwenye timu ya mpira ya mtaa ila kila siku zisogeazo nazidi shuka kiutendaji nguvu naishiwa nimekuwa mpweke mnoZingatia nachoandika hapa utakuja kunishukuru. Fanya mazoezi ya mwili ya kukimbia,kuruka kamba,kuogelea,kuendesha baiskeli,kupanda milima n.k...kula vyakula vinavyoongeza sexual drive matunda kama tikiti,nanasi,ndizi na tende,tumia chai yenye tangawizi na mdalasini..Tumia sea food aina ya pweza na ngisi. Ingiza hivyo vitu kwenye utaratibu wako wa maisha ya kila siku. Siku ukiwa na mechi tengeneza juisi yenye mchanganyiko wa matunda hayo na viungo nilivyotaja.
Sawa Mwalim, nipe dakika 3 ๐ ๐Tafuta na pen nyekundu, nyeusi za kubold vya muhimu!๐
Ninauza vidonge nichek pm nipo Dodoma
Fanya chap kabila materials hayajayeyuka kichwani...kama nchi tuna mengi ya kufanyaSawa Mwalim, nipe dakika 3 ๐ ๐
Hauwezi kupata sexual drive ikiwa hauna korodani . utatumia kila haina ya dawa/supplements/Mazoezi hautoweza kupona.Zingatia nachoandika hapa utakuja kunishukuru. Fanya mazoezi ya mwili ya kukimbia,kuruka kamba,kuogelea,kuendesha baiskeli,kupanda milima n.k...kula vyakula vinavyoongeza sexual drive matunda kama tikiti,nanasi,ndizi na tende,tumia chai yenye tangawizi na mdalasini..Tumia sea food aina ya pweza na ngisi. Ingiza hivyo vitu kwenye utaratibu wako wa maisha ya kila siku. Siku ukiwa na mechi tengeneza juisi yenye mchanganyiko wa matunda hayo na viungo nilivyotaja.
Tayari, nipo hapa na kila kitu. Twende Kazi ๐ ๐ ๐Fanya chap kabila materials hayajayeyuka kichwani...kama nchi tuna mengi ya kufanya
Point ni kuwa hata kama hana hizo makitu asikariri lazima kwenda muda mreeefu ati atamridhisha ke....au basi material yangu ya kitamboHauwezi kupata sexual drive ikiwa hauna korodani . utatumia kila haina ya dawa/supplements/Mazoezi hautoweza kupona.
Usione hayo mazaga yananing'inia tu kwenye chupi yana maana kubwa
Nakuja [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
OKOKA YESU ANAKUPENDA๐จ๐จ๐จ๐จ๐จTayari, nipo hapa na kila kitu. Twende Kazi ๐ ๐ ๐
Anatupenda wote ๐ ๐OKOKA YESU ANAKUPENDA๐จ๐จ๐จ๐จ๐จ
Anatupenda wote ๐ ๐
Namm niko ddm ,tunaweza kuonana kuangakia jins ya kujijengaWasalaam wana jamii forums,
Ni muda tena natokea hapa jukwaani jioni ya leo nikiwa na shauku la kupata mwanga kuhusu upatikanaji wa dawa hizi za kuongeza ukakamavu kama mwanaume, kwani bila dawa hizi naweza kupatwa na mapungufu haya..
-Kuchoka mara kwa mara atakama sijafanya kazi yeyote..(fatigue). ata kama ni asubuhi,
-kuwa na msongo wa mawazo bila kuwa na ukomo.
-Kushindwa kumfikisha shemeji yenu kileleni (Baada ya kimoja chali,(ananilalamikia nina muhurumia)
-Kuwa na hasira kali za bila kujizuia.
-Kukonda kupita kiasi na uzito upo chini ya mfuko mmoja wa cement na nina zaidi ya miaka 40.
Kwa kifupi nina upungufu wa "Testosterone" ,tatizo hili linakuja baada ya kukosa Testes (Both testacles)...
Matibabu ya muda wote nimesoma mitandaoni na nimeona yapo yaani (Testosterone Replacement Therapy (TRT) na yana namna tatu:-
-Gel (TRT). mafuta ya kujipaka
-Pills,oral (TRT)-Vidonge vya kumeza.
-Injection (TRT)-Sindano.
Swali katika pita pita zangu kwenye maduka ya madawa (pharmacy), nimekutana na dawa za sindano ila hizi zina kera kuchomwa sindano kila mwezi kwa kweli hainifurahishi, nimeulizia mafuta (gel) wamesema hawana,
Swali la msingi,
Ni duka gani naweza kupata hizi gel (TRT) mkoa wowote hapa Tanzania.?. mimi nipo Dodoma kikazi,
Natanguliza shukrani zenu wanajf asante.
Waooh umependeza ๐๐๐
asante twende pamojaNamm niko ddm ,tunaweza kuonana kuangakia jins ya kujijenga
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mayb inadepend na age๐จ๐จ๐๐...pia mtaftie kazi yoyote kama hana kazi๐จ๐mke wangu anataka walau vitatu kwa wiki ila mimi ni kimoja