Hizi dawa za kuongeza uanaume zinapatikana wapi hapa Tanzania?

Hizi dawa za kuongeza uanaume zinapatikana wapi hapa Tanzania?

Zingatia nachoandika hapa utakuja kunishukuru. Fanya mazoezi ya mwili ya kukimbia,kuruka kamba,kuogelea,kuendesha baiskeli,kupanda milima n.k...kula vyakula vinavyoongeza sexual drive matunda kama tikiti,nanasi,ndizi na tende,tumia chai yenye tangawizi na mdalasini..Tumia sea food aina ya pweza na ngisi. Ingiza hivyo vitu kwenye utaratibu wako wa maisha ya kila siku. Siku ukiwa na mechi tengeneza juisi yenye mchanganyiko wa matunda hayo na viungo nilivyotaja.
Mzee hayo mazoezi ni kumfanya awe mkakamavu ila hamna chakula kinaweza ongeza sexual drive. Sexual drive ni hormones. Sasa hizo hormones zinatengenezwa kwenye pumbu tuu hapo lazima atumie vidonge au sindano za hiyo hormones kama vile mtu ansvyochoma insulin akiwa na kisukari
 
“Kataa ndoa, ndoa ni utapeli, ndoa ni ufisadi, ndoa ni mradi wa wanawake”

“Hatutaki kuoa kwasababu wanawake ni mafeminist”

“ukioa utagongewa na bodaboda”

Hizi ni kauli za wanaume wengi jf kwanini msije kuomba msaada kama wenzenu tujue tunawasaidiaje kuliko kukashfu wanawake wakati matatizo yanajulikana.

Upate msaada haraka kaka
 
Waulize mbadala wake. Pole kwanza kwa kukosa mapumbu. Mapumbu ni muhimu sana. Ila pia usiache mazoezi ili usinenepe pumbu pia huchangia mwanaume kutonenepa. Ila unatakiwa uendelee kuchoma hizo sindano vinginevyo mboo itasinyaaa kabisa utaanza kukojoa kaa kuchuchumaa
Duuuh, kumbe ndiyo hivyo..!..

Samahani je unaweza kuwa na mtu ata mmoja anayepitia mateso kama yangu ?
Walau nimuulize kwa kina
 
“Kataa ndoa, ndoa ni utapeli, ndoa ni ufisadi, ndoa ni mradi wa wanawake”

“Hatutaki kuoa kwasababu wanawake ni mafeminist”

“ukioa utagongewa na bodaboda”

Hizi ni kauli za wanaume wengi jf kwanini msije kuomba msaada kama wenzenu tujue tunawasaidiaje kuliko kukashfu wanawake wakati matatizo yanajulikana.

Upate msaada haraka kaka
Msaada wako tafadhari
 
Sasa huyo hana pumbu.. Hata kudinda hawezi mpaka apewe hizo hormones. Pumbu ni muhimu kwenye kudinda kutoka misuli mwili na kuota ndevu yani pumbu ndio inafanya mwanaume au wanaume mboo ni kifaa cha kukojoa tuu
Afadhari, maana wewe umenielewa kwa ufasaha Asante sana kwa kuwaelezea vizuri
 
Sina ila mimi nilikua kwenye forum moja ndio mtu ulikua na cancer ya pumbu wakazitoa alitoa confession yake jinsi maisha yalivyobadilika
Samahani kama utaweza ikumbuka hiyo forum naomba unitag nimcheki jamaa yawezekana ana uzoefu zaidi
 
Mkuu ushauri wangu huu ufuate kama katiba.

Umekiri kuwa huna korodani, jambo la msingi ni kukubaliana tu na hali kuwa huwezi kufanya mapenzi ukamridhisha mwanamke. Ili uondokane na wasiwasi mi bora umueleze ukweli mkeo ili yeye mwenyewe aamue la kufanya kama ni kukuacha ili akafuate watakaomridhisha au akuvumilie mpaka kifo.

Najua unaumia kwa hali unayopitia ila hakuna namna achana na kuforce kumfurahisha mke. Hayo masuala mengine ya uchovu naamini yataondoka baada ya kuachana na ngono.
 
Mtu huyo. Amesema hana pumbu hamna chakula kitampa nguvu za kiume zaidi ya dawa za mzungu za hormones ya kiume. Hivyo vyakula husaidia mtu mwenye pumbu tiyari
Dah!...huyu jamaa aende tu hospital.
 
Videos za X zifungiwe maradufu la sivyo kitapatikana kizazi cha mazombi TZ.

1. WANAWAKE:

  • Ke wanajiduu kwa dildos
  • Ke wanajikadiria hadi nchi 16 kujiduu
  • Ke wanatengeneza makalio makubwa, hipsi, matiti, tumbo, ngozi, kucha, nywele hata vipochi manyoya bandia kuwaridhisha Me ambao hawatabiriki kimahusiano.
  • Ke wanaweka shabu ili vipochi manyoya view mnato.
  • Ke wanavaa taiti bandia zenye masponchi ya hipsi.
  • Ke wanajichua kwa ndizi na M.B.O bandia na chupa nyeti zote mbili.
  • Ke wanasagana na kufanywa mapenzi kinyume na maumbile.


2. WANAUME:

  • Me wanakuza M.B.O bandia kuridhisha Ke kiumbe kilichokataa uhalisia wake kiuumbwaji na kujiwekea vitu vingi bandia mwilini.
  • Me anang'ang'ana na vumbi la Kongo, viagra akishindana na alipotokea kumbe ndiyo anajiua kwa michubuko hadi kupata UKIMWI.
  • Me anahadaika kuiga visivyoigika hadi kuzama chumvini hatimaye kupata kansa za koo na midomo kuungua kama makalio ya nyani.
  • Me anajiua kushindana na kujijengea mwili 6 parks lakini anaishia kupigwa chini maana Ke hajawahi kujua anachokitaka kimahusiano.
  • Me anahonga Michepuko zaidi ya uwezo hatimaye Wazazi kufa njaa kwa kutowakumbuka.
  • Me kuongeza idadi ya single mothers sababu ya kuhadaika kuoa Ke ili wasaidiane kiuchumi kumbe kajipalia bomu linalolipuka muda wowote sababu pesa za Ke zimefungiwa sabufa.

VIDEO ZA X ZIFUNGIWE MARADUFU.



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tatizo langu na video za x vinahusianaje?
 
Mkuu ushauri wangu huu ufuate kama katiba.

Umekiri kuwa huna korodani, jambo la msingi ni kukubaliana tu na hali kuwa huwezi kufanya mapenzi ukamridhisha mwanamke. Ili uondokane na wasiwasi mi bora umueleze ukweli mkeo ili yeye mwenyewe aamue la kufanya kama ni kukuacha ili akafuate watakaomridhisha au akuvumilie mpaka kifo.

Najua unaumia kwa hali unayopitia ila hakuna namna achana na kuforce kumfurahisha mke. Hayo masuala mengine ya uchovu naamini yataondoka baada ya kuachana na ngono.
Ushauri mzuri ila...

Kachunguze kazi ya korodani mwilini mwako halafu uje tusaidiane kutafuta suruhu ya kudumu maana hili tatizo haliathiri utendaji kazi wangu kwenye sex tu bali mfumo wangu wote wa maisha asante
 
Hiyo ndio tiba sahihi ya huyu jamaa tofauti na hapo anatafuta kuliwa pesa tu
Samahani mimi natafuta tiba ya mwili mzima siyo mapenzi tu nataka kuishi kama wanaume wengine...

Samahani ukipata muda hebu tafuta sehemu usome faida za korodani ndipo utanielewa
 
Point ni kuwa hata kama hana hizo makitu asikariri lazima kwenda muda mreeefu ati atamridhisha ke....au basi material yangu ya kitambo
Bado hujafahamu umuhimu wa korodani kwa mwanaume unaongea tu..

Ukipata muda soma ata huko Google ili uielewe dhana ninayoizungumzia hapa
 
Back
Top Bottom