Hizi dawa za kuongeza uanaume zinapatikana wapi hapa Tanzania?

Hizi dawa za kuongeza uanaume zinapatikana wapi hapa Tanzania?

Nakushauri ila za kumbiwa changanya na zako.

Una miaka 40. Umebakisha miaka kama 15-20 uingie umri fulani wa kuitwa mzee, ukimtoa Samia hao ni maraisi wawili tu ndani ya katiba yetu. Usikimbizane na madawa ya nguvu za kiume.
 
Nakushauri ila za kumbiwa changanya na zako.

Una miaka 40. Umebakisha miaka kama 15-20 uingie umri fulani wa kuitwa mzee, ukimtoa Samia hao ni maraisi wawili tu ndani ya katiba yetu. Usikimbizane na madawa ya nguvu za kiume.
Nahitaji dawa za mwili mzima siyo nguvu za mapenzi tu..
Isitoshe maisha ndiyo yanaanza nahitaji nguvu ya kujipanga kuusubilia uzee, sasa sina nguvu za kutosha za utafutaji
 
Dawa ni za vidonge.kama afya yako iko vizuri hizo tadalafil/Cialis zinauwezo wa kukaa mwilini kwa wiki nzima
Naona hii inatibu nguvu za kiume tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230315-210706.png
    Screenshot_20230315-210706.png
    43.9 KB · Views: 36
Ila nadhani kuna kagape kadogo sana wanaume wanafeli ....mmekaririshwa vibaya sana hadi mnakera! Alowaambia wanawakr wanataka mkeshe vifuani ni nani lakini? Ptu
Kwa hiyo mnataka tuwe kimoja chali tena? Na nyie hamueleweki wake zetu tukiwa kimoja chali mnatundikia hadi nyuzi humu eti kuna wanaume wavivu. Tumechoka!
 
Dah ngoja nitulie tulie nifanye zoezi mimi Masterbation imenipotezea muda sana mpaka mboro ikisinyaa inakuwa kama ya mtoto but nikiwa na demu inakuwa big big napiga show vizuri japo kuunganisha inakuwa changamoto kidogo
 
Dah ngoja nitulie tulie nifanye zoezi mimi Masterbation imenipotezea muda sana mpaka mboro ikisinyaa inakuwa kama ya mtoto but nikiwa na demu inakuwa big big napiga show vizuri japo kuunganisha inakuwa changamoto kidogo
Shukuru sana maana kama unazo korodani hayo mambo ya nguvu yanatiba
 
Back
Top Bottom