Hizi dawa za kuongeza uanaume zinapatikana wapi hapa Tanzania?

Hizi dawa za kuongeza uanaume zinapatikana wapi hapa Tanzania?

"Sahil" ni kidonge kimoja kinauzwa buku tano. Waarabu hawakosei, nilimega ka nusu tu nikqmeza, nilipiga show ya mwana ukome wiki nzima. Katafute pharmacy mi niliijua baada ya kuagizwa na mzee mmoja mwenye miaka 70+ ndo nikaona niitest aiseee..... maajabu yamo
Hiyo ndio tiba sahihi ya huyu jamaa tofauti na hapo anatafuta kuliwa pesa tu
 
Tiba ya kwanza- kuimarisha misuli ya uume na nguvu za kiume.
👉Mahitaji👉 tikiti kipande 1, karoti 1
👉 parachichi 1,ndizi mbili
👉mfano day 1 Utaanza kula tikiti,👉karoti, parachichi Kisha ndizi(Kumbuka kuwa unabadilisha tunda la kuanzia) day 2 parachichi, tikiti, uwe una badilisha.

👉ndani ya siku 14, hakikisha haufanyi mapenzi ndani ya muda wa dawa. Acha kutazama x, usipige nyeto. Nihilist
Shukrani nitajaribu huwenda mwili wangu utaanza kujisikia kama binadamu, maana nimechoka muda wote wa maisha yangu
 
nenda aliexpress agiza dawa utanipa matokeo .
Screenshot_20230315-183518_AliExpress.jpg
 
"Sahil" ni kidonge kimoja kinauzwa buku tano. Waarabu hawakosei, nilimega ka nusu tu nikqmeza, nilipiga show ya mwana ukome wiki nzima. Katafute pharmacy mi niliijua baada ya kuagizwa na mzee mmoja mwenye miaka 70+ ndo nikaona niitest aiseee..... maajabu yamo
Na baada ya show, vpi mwili unapata nguvu, je nitaacha kuwa na fatigue ya muda wote
 
Tiba ya nguvu za kiume 2, Mahitaji 👉 tangawizi 1,
👉Kitunguu swaumu punje 8
👉Utatwanga tangawizi na Kitunguu swaumu kwa pamoja.
👉Weka katika sufuria, Kisha ongeza maji glass 2, hakikisha tangawizi ni Kali.
👉Utakuwa una kunywa asubui na jioni, ndani ya muda wa week 2.
👉 Kunywa maji Lita 5 kwa siku. Nihilist
 
Ila nadhani kuna kagape kadogo sana wanaume wanafeli ....mmekaririshwa vibaya sana hadi mnakera! Alowaambia wanawakr wanataka mkeshe vifuani ni nani lakini? Ptu
Sasa huyo hana pumbu.. Hata kudinda hawezi mpaka apewe hizo hormones. Pumbu ni muhimu kwenye kudinda kutoka misuli mwili na kuota ndevu yani pumbu ndio inafanya mwanaume au wanaume mboo ni kifaa cha kukojoa tuu
 
Sasa huyo hana pumbu.. Hata kudinda hawezi mpaka apewe hizo hormones. Pumbu ni muhimu kwenye kudinda kutoka misuli mwili na kuota ndevu yani pumbu ndio inafanya mwanaume au wanaume mboo ni kifaa cha kukojoa tuu
Ohoo...Mungu amponye
 
Tiba ya nguvu za kiume 2, Mahitaji [emoji117] tangawizi 1,
[emoji117]Kitunguu swaumu punje 8
[emoji117]Utatwanga tangawizi na Kitunguu swaumu kwa pamoja.
[emoji117]Weka katika sufuria, Kisha ongeza maji glass 2, hakikisha tangawizi ni Kali.
[emoji117]Utakuwa una kunywa asubui na jioni, ndani ya muda wa week 2.
[emoji117] Kunywa maji Lita 5 kwa siku. Nihilist
Mtu huyo. Amesema hana pumbu hamna chakula kitampa nguvu za kiume zaidi ya dawa za mzungu za hormones ya kiume. Hivyo vyakula husaidia mtu mwenye pumbu tiyari
 
Na baada ya show, vpi mwili unapata nguvu, je nitaacha kuwa na fatigue ya muda wote
Haina hangover, kwa mara ya kwanza usile kidonge chote, kula ka nusu tu mashine inasimama mpaka inauma ni kupeleka moto tu....
 
Sina korodani na hilo tatizo linafahamika hospitalini na wao ndiyo wa kwanza kunipatia dawa ya kuchoma (injection) ila inachosha eti
Waulize mbadala wake. Pole kwanza kwa kukosa mapumbu. Mapumbu ni muhimu sana. Ila pia usiache mazoezi ili usinenepe pumbu pia huchangia mwanaume kutonenepa. Ila unatakiwa uendelee kuchoma hizo sindano vinginevyo mboo itasinyaaa kabisa utaanza kukojoa kaa kuchuchumaa
 
Back
Top Bottom