Jamani siyo nguvu za kiume tu ila mbadala wa korodani. je unafahamu kazi za korodani??Tiba ya kwanza- kuimarisha misuli ya uume na nguvu za kiume.
👉Mahitaji👉 tikiti kipande 1, karoti 1
👉 parachichi 1,ndizi mbili
👉mfano day 1 Utaanza kula tikiti,👉karoti, parachichi Kisha ndizi(Kumbuka kuwa unabadilisha tunda la kuanzia) day 2 parachichi, tikiti, uwe una badilisha.
👉ndani ya siku 14, hakikisha haufanyi mapenzi ndani ya muda wa dawa. Acha kutazama x, usipige nyeto. Nihilist
Shukrani nitajaribu huwenda mwili wangu utaanza kujisikia kama binadamu, maana nimechoka muda wote wa maisha yangu
"Sahil" ni kidonge kimoja kinauzwa buku tano. Waarabu hawakosei, nilimega ka nusu tu nikqmeza, nilipiga show ya mwana ukome wiki nzima. Katafute pharmacy mi niliijua baada ya kuagizwa na mzee mmoja mwenye miaka 70+ ndo nikaona niitest aiseee..... maajabu yamo
Sahiljina tunaomba la hicho kidonge.
Mkuu hebu funguka tu ulipo tunazihitajiDawa zipo tena za uhakika kabisa. Kwa wenye tatizo hili wanitafute
Hebu naomba maelezo kidogo kuhusu hiki kidonge nifanye kutumia wakati nasubilia vilainishi (gel).."Sahil" ni kidonge kimoja kinauzwa buku tano. Waarabu hawakosei, nilimega ka nusu tu nikqmeza, nilipiga show ya mwana ukome wiki nzima. Katafute pharmacy mi niliijua baada ya kuagizwa na mzee mmoja mwenye miaka 70+ ndo nikaona niitest aiseee..... maajabu yamo
Laiti ungesoma habari kuanzia mwanzo ungeelewa kwamba ata huko hospital nilipita ila nikapewa dawa ya kuchoma sindano.....sasa habari ya kuchoma sindano kila mwezi nimechoka na nipo mbali na hiyo hospital, huku nilipo hawaelewi tatizo hilo...Kwa Nini usiende hosp? Au hosp wamekuambia wameshindwa.kwa Nini mnakimbilia tu dawa? Wafanye tests nyingine.kwasababu hata prolactin ikizidi Kwa mwanaume anakua na symptoms kama ulizosema.Jamni msitumie tu madawa bila kujua dose gani inahitajika,mtakufaa
Kweli sikusoma vizuri,nisamehe.ulienda zaidi ya hosp moja kupata ushauri tofauti? Kwasababu mara nyingi dawa hizi za mtaani zinaweza mtibu huyu akapona na huyu asipone au akaibua tatizo jingine.Laiti ungesoma habari kuanzia mwanzo ungeelewa kwamba ata huko hospital nilipita ila nikapewa dawa ya kuchoma sindano.....sasa habari ya kuchoma sindano kila mwezi nimechoka na nipo mbali na hiyo hospital, huku nilipo hawaelewi tatizo hilo...
Tena kubwa za kanda siyo vi-dispensary. ....Kweli sikusoma vizuri,nisamehe.ulienda zaidi ya hosp moja kupata ushauri tofauti? Kwasababu mara nyingi dawa hizi za mtaani zinaweza mtibu huyu akapona na huyu asipone au akaibua tatizo jingine.
Asante kutufariji sisi wa dk 2 kimoko chali.Ila nadhani kuna kagape kadogo sana wanaume wanafeli ....mmekaririshwa vibaya sana hadi mnakera! Alowaambia wanawakr wanataka mkeshe vifuani ni nani lakini? Ptu
Unapiga makelele ujue😀..kaa kimya HUNA HOJA..HUNA UJUALO....shindwa na toka pepo mchafuAsante kutufariji sisi wa dk 2 kimoko chali.
😂😂pepo kanitoka mtumishi. Ila kusema ukweli nimefarijika...kuanzia sasa najiamini. Brush kwa wingi.Unapiga makelele ujue😀..kaa kimya HUNA HOJA..HUNA UJUALO....shindwa na toka pepo mchafu
Ngoja Katiba mpya ije tu .watu kama nyie wa dk 2 tutapendekeza muwe mnanyongwa kila mwisho wa mwezi! Mfie mbalii😖😂😂pepo kanitoka mtumishi. Ila kusema ukweli nimefarijika...kuanzia sasa najiamini. Brush kwa wingi.
Daah! Kama ni hivyo bora nirudi kwetu Ipilimo nikajifiche huko.Ngoja Katiba mpya ije tu .watu kama nyie wa dk 2 tutapendekeza muwe mnanyongwa kila mwisho wa mwezi! Mfie mbalii😖
Wapiga brush wapewe bonus kila mwezi 😀
😆😆😆 ipilimo tena😆😆...wakikunyonga niachie mashati yako nayaelewa kinoma....! Rip in advanceDaah! Kama ni hivyo bora nirudi kwetu Ipilimo nikajifiche huko.
Au laa sivyo nijifunze brush ili nipate bonus.