Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Naona unatafuta bwana kwa nguvu sio?Na mashoga wenzio wangapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unatafuta bwana kwa nguvu sio?Na mashoga wenzio wangapi
Wanaoficha ukweli ni wale wanaowaweka waafrika kwenye giza hadi sasa,,,muafrika kafanyiwa ukatili mkubwa sana na hawa mbuzi wa magharibi hayo ya ukraine cha mtoto wamalizane tu hao nguruweView attachment 2182011
Jamaa zako wapo chali. Hawakutegemea Zelensky angekaza namna hii.[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2182012
Sisi tunangoja round 2.....kwa sasa uwanja wenu acha sie tule tende kwanza za mfungo......tukutane baada ya mfungo.........tunawatakia maandalizi mema kwenye media na uwanja wa mapambanoJamaa zako wapo chali. Hawakutegemea Zelensky angekaza namna hii.
😁😁😁 akaze anavyokaza, UKRAINE imeshagawanywa kwa 50% na bahari inachukuliwa,nchi inaenda kua landlocked na shujaa zelensky tutamualika kwny tuzo za Oscar na Grammy aje kuongea Kama kawaida yake kutokea huko mafichoni kwake na tuzo ya Nobel atapewa afu ndo imeisha hio 😁😁😁Jamaa zako wapo chali. Hawakutegemea Zelensky angekaza namna hii.
Hizo takwimu umezitoa wapi?kupoteza wanajeshi zaidi ya elfu 10 ndani ya mwezi mmoja ni aibu sana kwa the so called super power
Hakuna taifa lolote duniani ambalo huwa linatoa takwimu sawa vitani iwe Urusi, Marekani, Uingeleza ,hata Tz yaani ki ufupi hakuna taifa lolote duniani ambalo huwa linatoa takwimu sahihi juu vifo vya wanajeshi wake vitani.Warusi wamekufa kama kuku. Hapo kwenye askari 1300 ongeza 0 ndio idadi halisi.
Mataifa ya kikomunisti kama Russia wanatabia ya kuficha ukweli
Kwa takwimu zipi?Acha ulevi wewe, hakuna nchi duniani yenye vifaru 30,000. Russia wana vifaru 13,000 tu,
13000 Bado vingi Sana sema vya kizamaniAcha ulevi wewe, hakuna nchi duniani yenye vifaru 30,000. Russia wana vifaru 13,000 tu,
Hivi kujenga hayo magorofa ya ukraine yanayobomolewa kila siku ni dollar ngapi na uchumi uliopolomoka ukraine mwezi hamna kazi zinafanyika kweli sisi ukraine hatupotezi russia ndo anapoteza
Ngoja nikwambie Kitu. Wazungu wanapendana Sana Kuliko Race yoyote ile Duniani. Inawauma Sana Kuona jinsi Ukraine inavyosambaratishwa na Ndege za Kivita za Urusi,lakini wanashindwa kuingiza Majeshi yao kwasababu Urusi ina Makombora ya Nyuklia.Hivi kujenga hayo magorofa ya ukraine yanayobomolewa kila siku ni dollar ngapi na uchumi uliopolomoka ukraine mwezi hamna kazi zinafanyika kweli sisi ukraine hatupotezi russia ndo anapoteza
Ni mawenge ya kile kilichowapata Urusi kule Ukraine, hawaamini.Hata wewe mkongwe kiasi wa JF bado hutaki kuwa na mawazo kinzani,wageni wa JF naweza kuwaelewa but siyo mtu ana zaidi ya 5 yrs hapa JF
RT newsHizo takwimu umezitoa wapi?
Lete pia hasara aloipata ukrainDrones za Uturuki ni hatari sana, na ndio dunia inakoelekea, ujeda wa kukaa ofisini ukibonyeza bonyeza, sio ubabe wa kupasua matofali kwa kichwa.
_____________
Ukraine’s Armed Forces reported that Russia also lost 684 tanks, 1,861 armored personnel carriers, 1,324 vehicles, 332 artillery systems, 107 multiple launch rocket systems, 55 anti-aircraft defense systems, 135 helicopters, 150 aircraft, 76 fuel tanks, 96 UAVs and 7 boats.
View attachment 2182172
![]()
Ukraine's military: Russia has lost 18,600 soldiers as of April 6.
Ukraine’s Armed Forces reported that Russia also lost 684 tanks, 1,861 armored personnel carriers, 1,324 vehicles, 332 artillery systems, 107 multiple launch rocket systems, 55 anti-aircraft defense systems, 135 helicopters, 150 aircraft, 76 fuel tanks, 96 UAVs and 7 boats.kyivindependent.com
![]()
True, taarifa ile ipo one sided. Ukraine wamepoteza APC, tanks, planes, drones etc ingawa idadi haisemwiHivi kujenga hayo magorofa ya ukraine yanayobomolewa kila siku ni dollar ngapi na uchumi uliopolomoka ukraine mwezi hamna kazi zinafanyika kweli sisi ukraine hatupotezi russia ndo anapoteza
Unajua walipeleka ngapi vitani, vyote 13,000??Kwa takwimu zipi?
Hata kama ni hivyo 13000 sasa vifaru 600 si sawa na asilimia 3 tu.
... habari njema sana hii.
Nakubaliana na hizi facts, kwa sababu jana Putini amembadilisha kamanda mkuu wa vita na kumleta mwengine., Ni baada ya matokeo mabaya bila ya shakaDrones za Uturuki ni hatari sana, na ndio dunia inakoelekea, ujeda wa kukaa ofisini ukibonyeza bonyeza, sio ubabe wa kupasua matofali kwa kichwa.
_____________
Ukraine’s Armed Forces reported that Russia also lost 684 tanks, 1,861 armored personnel carriers, 1,324 vehicles, 332 artillery systems, 107 multiple launch rocket systems, 55 anti-aircraft defense systems, 135 helicopters, 150 aircraft, 76 fuel tanks, 96 UAVs and 7 boats.
View attachment 2182172
![]()
Ukraine's military: Russia has lost 18,600 soldiers as of April 6.
Ukraine’s Armed Forces reported that Russia also lost 684 tanks, 1,861 armored personnel carriers, 1,324 vehicles, 332 artillery systems, 107 multiple launch rocket systems, 55 anti-aircraft defense systems, 135 helicopters, 150 aircraft, 76 fuel tanks, 96 UAVs and 7 boats.kyivindependent.com
![]()
Influence gani ya dunia unayoiongelea wewe ukiwa hapo Tandale kwa Tumbo.Russia sio Zimbabwe.........hii vita kuisha ni kwamba dunia tayari itakua na wababe wengine hao wamagharibi hata wakilipwa miaka 1000 ila influence ya dunia itakua imeshatoka upande wao
Mkuu Ukraine hasara imeshatangazwa kuwa ni takriban $560 million mpaka kurejesha miji yote na hii hela tayari imeshapatikana wanayo Ukrean on pocket fuatilia kwenye televisheni tayari kazi imeanza Kyiv jana naviona vijiko vinaanza kutoa vifusi na kuweka usafi wa maeneoHivi kujenga hayo magorofa ya ukraine yanayobomolewa kila siku ni dollar ngapi na uchumi uliopolomoka ukraine mwezi hamna kazi zinafanyika kweli sisi ukraine hatupotezi russia ndo anapoteza