Hizi hapa timu 24 zitakazokuwa kwenye African Footbal League, Yanga haimo!

Eleza zimepatikanaje hizo 21?. Alafu 21 ukiongeza point yenu 1 ya nyuma mbona haiji 25
Daah upo sahihi Chief very sorry bhana nimekumbuka Yanga wana points 21 ukijumlisha na ile moja kipolo ya muda kama unavyosema zidisha 4 mara mechi 5 utapata 20 kama nimekosea nijulishe...simba wana 35 walibeba point 3 tatu za misimu ya nyuma na Al Ahly anaongoza akiwa na 87 huku Mamelodi wana 51...
 
Daah haujui kabisa mpira mkuu Yanga kabla hajashiriki alikua na point moja ya miaka ya nyuma msimu mmoja kakusanya point 21 vitu ni rahisi uliza Timu ikifika fainal inapata point ngapi sio makundi...
yanga points 25 walizipaaje arif.
 
hatuwezi shangaa tena hizo mambo,yupo Kolo,Raja hayupo we unaona hili kombe au mauza uza
 
Yanga wajue kabisa hii African football league ni kwa ajili ya timu kubwa tu.. waache kujisumbua kwenye mambo yasiyowahusu
 
Yanga ni timu inayowazia mafanikio makubwa! Bonanza kitu gani bhana!! 🤗
 
Mshindi klab bingwa ni point 6 na wapili ni point 5. Shirikisho mshnd point 5 na wapili point 4. Hzo point 25 yanga amezipata wapi? Acheni kudanganyana nyie
Uko sahihi ulivoelezea hizo Ila usichokijua n kua hizo point huzidishwa mara tano .. mfano Yanga alikua na poin 4 so utazidisha na 5
 
Hii mitandao ya kijamii mnaichukulia serious kuliko hata walioitengeneza. Yaani unadhani kabisa timu itachaguliwa kwa sababu tu kuna majobless wanalike post zake kwa wingi?
 
Tunawaomba TP waendelee kutumia uwanja wetu.... sisi tutaujaza hamna shida TP wana nyuzi nyeusi ya bahati kama yetu.
 
Kilicho mkuta golikipa wa Ihefu kina karibia kukukuta na wewe
Ukitaja jina la Ihefu unawachukiza sana mashabiki wa Yanga.
Siku Yanga wakiifunga Ihefu, watashangilia sana na kula wali nyama siku hiyo. Kiufupi watafanya bonge la sherehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…