Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
Wanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kipya kama hiki ni almost 10millions. Kina maajabu gani zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh!Hivi TV za Hitachi chogo inch 21 zinauzwaje siku hizi?
Hiki kidubwana ndio SI unit ya durabilityWanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kifya kama hiki ni almost 10millions.Kina maajabu gani zaidi?
View attachment 2756176
Hii ikiwa nzima, wewe ni kuweka mafuta na kufanya service tu, ninayo moja mtu aliniazima naitumia daily kuendea mishemishe.Wanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kifya kama hiki ni almost 10millions.Kina maajabu gani zaidi?
View attachment 2756176
Ungeuliza habari za magari ungepata majibu mengi sana kwasababu Wana jf wote humu ni wamiliki wa magari na wajuzi wa mambo ya magari tu na sio pikipiki.
Kadude haka m10. Zinapatikana mjini au Hadi kuagizaWanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kifya kama hiki ni almost 10millions.Kina maajabu gani zaidi?
View attachment 2756176
Zipo mkuu kwenye maonyesho ya 7 7 niliona zilianzia 1.7, 2.1 na 2.4 maalum kwa ajili ya biashara ya bodabodaHivi kuna pikipiki aina yoyote brand ya Honda inayouzwa mpya kwa 2.5M sokoni?
Kwani zingine ikiwa nzima unaweka nini mkuu?Hii ikiwa nzima, wewe ni kuweka mafuta na kufanya service tu, ninayo moja mtu aliniazima naitumia daily kuendea mishemishe.
Very durable.
Wewe Mu Africa na Fikra zako ndio unafikiria hivi.Honda nawaangalia tu nasema hi!
Mchina anazidi kuteka soko la dunia kwa upumbavu kama huu. Mchina anatoa matoleo ya kisasa kwa bei chee huku makampuni ya zamani kama Honda wakibaki na zile fikra za miaka ya 90
Ungeuliza habari za magari ungepata majibu mengi sana kwasababu Wana jf wote humu ni wamiliki wa magari na wajuzi wa mambo ya magari tu na sio pikipiki.
Ninayo yangu bado mpya kabisa nlinunua 2miln kwenye mnada kuna mradi ulikuwa unafungwa nikaja kucheki mtandaoni inauzwa dola 5,400 kabla ya ushuru. Kina high na low ukiweka low gear kinawezavuta landcruser mkonga bila shidaWanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kifya kama hiki ni almost 10millions.Kina maajabu gani zaidi?
View attachment 2756176
Hicho KIDUDE tangu ENZI ya mkapa anapiga kampeni huku kushoto MREMA nae anapiga KAMPENI raisi MWINYI akimnadiWanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kifya kama hiki ni almost 10millions.Kina maajabu gani zaidi?
View attachment 2756176