Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Ukisikia roho ya paka ndiyo hiyoWanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kifya kama hiki ni almost 10millions.Kina maajabu gani zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia roho ya paka ndiyo hiyoWanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kifya kama hiki ni almost 10millions.Kina maajabu gani zaidi?
Ni tangu enzi za Nyerere, walikuwa wanatumia Makatibu TarafaHicho KIDUDE tangu ENZI ya mkapa anapiga kampeni huku kushoto MREMA nae anapiga KAMPENI raisi MWINYI akimnadi
jirani yetu Mwarabu alikuwa nacho na mpk kesho anacho kazeeka yeye hawezi kuendesha kwa mikogo km zamanj lkn pikipiki ipo tu
Sawa tajiriWewe Mu Africa na Fikra zako ndio unafikiria hivi.
Pato la Honda ni kubwa kuliko Bajaj, boxer, Tvs, San LG, na takataka zote ukijumlisha pamoja...
Hawatengenezi hivyo vitu kutarget masikini wana masoko yao.
Congo zipo nyingi tu mkuu ndugu yangu alinunua congo akatska kuipima chuma chakavu ikabidi niiokoteHONDA CT 90/110 au Trail zilianza kuundwa mwaka 1964 toleo la CT90 na mwaka 1970-1984 ndio toleo CT110 au Honda 110 Trail ziliundwa
Nchi zilizo nunua kwa wingi sana haya matole ni Australia zilitumika mashambani, New Zealand zilinunuliwa na shirika la posta kusambazia barua na kwa Africa ni Tanzania ziliingizwa na Danida shirika la misaada la Danish ili kusaidia miradi ya maji toka miaka ya 1970 mpaka 1980 na ndio nchi pekee Africa yenye aina hii ya pikipiki kwa wingi zinazoendelea kufanya kazi hii ni kwa mujibu wa Honda Japan.
Mwaka 2009 wachina walinunua leseni na kuunda Honda CT110 AG wakilenga soko la Tanzania lakini hawakufaulu sana kimauzo kutokana na ujio wa matoleo ya India na uchina kuwa na teknolojia rahisi na nafuu.
Ila mpaka sasa ni toleo linalotumika zaidi Australia kwenye kilimo.
Mil. 7,123,969/-Hivi TV za Hitachi chogo inch 21 zinauzwaje siku hizi?
Siyo kama zile nyingine ambazo ukinunua umeuzaHiki kidubwana ndio SI unit ya durability
Ukinunua umenunua
Kuna chimbo la Honda used kinondoni. Hiyo unapata kwa 1.5mWanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kifya kama hiki ni almost 10millions.Kina maajabu gani zaidi?
View attachment 2756176
900 itapendeza.Mil. 7,123,969/-
Sasa ndo utoe 10M kwa pikipiki ??? Hata TVS 150 litre moja inapiga kilomita hata 10 au zaidi , efficiency zaidi ya hii unataka ya niniNi pikipiki imara sana, Honda 110. Ulaji mzuri wa mafuta, nguvu na uimara ilipofika sokoni ikaipa umaarufu.
Mchina alitoa copy ya Honda 110 haikufanya vizuri sokoni akaachana nazo
Duh Lita 10 au zaidi?Mbona hio TVS Ina ulaji mbovu kuliko maelezo?Sasa ndo utoe 10M kwa pikipiki ??? Hata TVS 150 litre moja inapiga kilomita hata 10 au zaidi , efficiency zaidi ya hii unataka ya nini
Soma vizuri utamuelewa.☝️Duh Lita 10 au zaidi?Mbona hio TVS Ina ulaji mbovu kuliko maelezo?
Haieleweki.Soma vizuri utamuelewa.☝️
Boss umeagizwa na Mganga nini😀😀Hivi TV za Hitachi chogo inch 21 zinauzwaje siku hizi?
Feki za india zipoHivi kuna pikipiki aina yoyote brand ya Honda inayouzwa mpya kwa 2.5M sokoni?
Kmh ?Hio mjapani katulia hapo ni multipurpose hicho hata mashine unafunga kinasukuma vizur tu,
Hicho hadi jembe unavunga kinalima fresh tu heka moja kwa siku unamaliza