Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kmh ?
😄😄😄Boss umeagizwa na Mganga nini😀😀
Jokes Kaka.
Hiyo kitu unaweza ukaendesha mpaka unasahau na gharama yako ni mafuta na service tu. Labda niandike hivoKwani zingine ikiwa nzima unaweka nini mkuu?
Hapa kidogo nimekupata mkuu. Ni kako durable sana. Kifupi generation ya babu akinunua anatumia mtoto wake na kisha mjukuu anamalizia.Hiyo kitu unaweza ukaendesha mpaka unasahau na gharama yako ni mafuta na service tu. Labda niandike hivo
Wakuu, hii sound au?Hiyo Honda 110 inaweza ikalima miaka ya nyuma ilikuwa watu wanafungia jembe
Asipokuelewa hapa, ndio Basi tenaHiki kidubwana ndio SI unit ya durability
Ukinunua umenunua
Haka kakitu kanafanya kazi nyingi sana, kanaweza lima ukikafungia jembe , unaweza ukakafanya lift ya kupandia ghorofani, unaweza ukakafungia tera la mizigo , hakana shida yani na sijawahi ona kamekufa, wanunuzi wanazeeka wanakufa wanakaacha kazima tuWanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kipya kama hiki ni almost 10millions. Kina maajabu gani zaidi?
View attachment 2756176
Kweli sio Sound, jembe kama zile za kuvuta na ngombe au powertiller ndogo.Wakuu, hii sound au?
hicho ninacho tumia usajili wake ni wa 1992. imagineHapa kidogo nimekupata mkuu. Ni kako durable sana. Kifupi generation ya babu akinunua anatumia mtoto wake na kisha mjukuu anamalizia.
Hay ma Tvs na boxer ukiendesha miaka 2 kwisha kazi.
Si mchezo mkuu. Jamaa sijui walitengenezaje tu. Honda za siku hizi no mayai sana japo zinadumu sio kama ma boxer na tvshicho ninacho tumia usajili wake ni wa 1992. imagine
Hii ukinunua leo mpya basi hadi wajukuu wataendesha na wao watawaachia watoto wao(Vitukuu na Vilembwe).Wanajamvi nimeshangaa kusikia kumiliki kifaa kipya kama hiki ni almost 10millions. Kina maajabu gani zaidi?
View attachment 2756176
Usifananishe uchafu wa kichina na Honda. Labda kama hujui Honda ni nini.Honda nawaangalia tu nasema hi!
Mchina anazidi kuteka soko la dunia kwa upumbavu kama huu. Mchina anatoa matoleo ya kisasa kwa bei chee huku makampuni ya zamani kama Honda wakibaki na zile fikra za miaka ya 90
Collectors wanazikimbilia sana saivi. Sababu zinapanda thamani kila siku kama vile VW Beetle.Niliziona mwaka jana hizi Honda 110 na Kawasaki zilizotumika zinauzwa bei mkasi na Madalali wa H.J Pugh Auctioneers LTD Uingereza. Moja ilikuwa ni £ 1940.
Nilimuuliza mbongo mwenzangu akasema hizo pikipiki ukinunua kizazi chako cha pili wanazikuta yaani wajukuu😁
Note: Zilizotumika miaka hiyo zikakusanywa na madalali au wenye nazo wakaziuza kwa madalali ila bado bei mkasi.