Mwl Nyerere aliwahi kusema kuwa mtu anaeingiza swala la udini pale ambapo hakuna dini yoyote iliyotajwa basi ujue huyo mtu ni "MPUMBAVU".Toa Iran toa udini unakupofusha.
Hata wazungu bado wanavamiana moja kwa moja. mf. Russia vs Ukraine.Kuingia vita moja kwa moja hili bado wanalo waafrika tu
Kuna mataifa mengi wanaogopa na kuona madhara ya vita hasa ukizingatia Uchumi kuporomoka na hata soko kuwa baya kimaisha
Kuna watu wanajielewa na kauoga kamo, na kuwa muoga sio vibaya wakati mwingine kama unaangalia maslahi yako
Wanasema epuka Shari
Pakistan na India sio kama hawawezi kuzichapa ila wanajua athari za vita maana huwa haina mshindi bali hasara zinatofautiana tu
Mchina amejenga visiwa (artificial islands kibao na hakuna wa kumsemesha tena sio tu kaweka viwanda bali kapeleka na manowari za kijeshi na ndege yoyote ikipita juu inapewa warning moja tu kuwa iondoke eneo hilo au itunguliwe
Lakini hakuna taifa linathubutu kulianzisha hapo
Sisi kujenga bwawa tu mpaka vitisho halafu tunalazimisha muungano
Hebu kama ni kisiwa na sisi tutengeneze kimoja tujaze wanajeshi tu
Marekani hawezi kulianzisha na Iran wala kiduku moja kwa moja kwa sababu anajua hasara
Sio kuwa hana uwezo bali ni hasara na uchumi na watu pia kufa wengi
China walishaondoka kwenye Siasa kimataifa Siasa zimebaki ndani ya china tu sera nje ya China Kwa Sasa ni uchumi na biashara tuChina na Marekani sio maadui kihivyo, juzi kati tu hapo Xi Jinping alikuwa California anagonga mvinyo na Biden.
Bahati nzuri hakuna anae support ujinga ulioandika. Unajitekenya na kucheka mwenyewe. Hakuna like wala support ya comment kutoka kwa watu. Kwanza nikiendelea kuku quote ni kukuongezea nafasi ya kuendelea kuandika ujinga wako.Ila kwa russia kutoka siku 3 hadi miaka kashinda vita,kobazi wanafiki sana!
Oktoba 7 hamas wamevamia sio iran ndugu yangu acha kujipa umuhimu. Iran kapelekewa pakistan tu kanyosha mikono juuWewe ni mnafiki. Unasema hawakufanya retaliation zozote za maana, wakati shambulizi lilileta madhara makubwa katika kambi ya Marekani nchini Iraq!
Israel hiyo ndo inashambuliwa kila siku katika ardhi yake, so yenyewe ilibahatisha kuuwa afisa mmoja au wawili ni tofauti na yeye anaeshambuliwa kila siku katika ardhi yake na kusababisha maafa makubwa kama Oktoba 7.
China geographia yake inasababisha asikutane na changamoto hizi. Kama na yeye angeishi Mashariki ya kati kwenye misukosuko ya kila siku pengine na yeye angejaribiwa japo naamini na yeye angekuwa kama Iran asingesubiri kufanywa mnyonge.
Israel akikatiwa misaada na ufadhili wa kijeshi anaopewa na nchi za magharibi kila mwaka ni mwepesi mno. anaweza kuchakazwa hata na hezbulla kama walivyomchakaza mwaka 2006 pamoja na misaada yake ya kijeshi.
Kama siasa za nje ni ujinga na zinauwa uchumi kama unavyodanganya hapa basi uchumi wa Marekani ungeanguka, uchumi wa UK na Ulaya ungeanguka maana nchi zao zinajihusisha sana na siasa za nje. Mfano zinaifadhili Ukraine kijeshi na kiuchumi, zinaifadhili Israel kijeshi na kiuchumi.China walishaondoka kwenye Siasa kimataifa Siasa zimebaki ndani ya china tu sera nje ya China Kwa Sasa ni uchumi na biashara tu
Waliobaki kuendekeza Siasa mbovu za nje ni Korea kaskazini na Irani tu
Sema na Russia alikuwa vizuri kachemka tu kuvamia Ukraine
Lakini wakinga pekee kwenye Siasa mbovu za nje waliobaki duniani ni Iran na Korea kaskazini tu.Russia ikiisha vita kajifunza haji rudia hilo kosa atakuwa kama china kuwa Siasa ya nje ni uchumi na biashara Siasa ziishie ndani ya ncho tu
Marekani vita zake Huwa za kiuchumi tu .Mfano kuwaiti Kulijaa makampuni ya mafuta na gesi.Saddam Hussen akavamia Kuwaiti walimshukia kama mwewe na kumuondoa madarakaniKama siasa za nje ni ujinga na zinauwa uchumi kama unavyodanganya hapa basi uchumi wa Marekani ungeanguka, uchumi wa UK na Ulaya ungeanguka maana nchi zao zinajihusisha sana na siasa za nje. Mfano zinaifadhili Ukraine kijeshi na kiuchumi, zinaifadhili Israel kijeshi na kiuchumi.
Yani wewe unataka nchi zingine zifanye siasa za nje kwa kuleta majeshi yao pale Ukraine katika mipaka ya Russia kwa kisingizio cha NATO kwa ajili ya kujiandaa na uvamizi kwa nchi ya Russia, alafu Russia ikae tu kufunga mikono eti kwa sababu ikiingia katika siasa za nje uchumi wake utakwama. Kwahiyo uchumi una faida gani kama nchi inaweza kuwa na uwezekano wa kuvamiwa muda wowote na maadui?
Marekani apeleke majeshi yake katika nchi nyingine karibu na mpaka wa Iran alafu Iran aangalie tu eti kwa sababu ya kukwepa siasa za nje!
North Korea atulie tu kuangalia Marekani na South Korea wakifanya mazoezi yanayodhihirisha uvamizi wao muda wowote kwa North Korea alafu North Korea iangalie tu kwa kisingizio cha siasa za nje. Hii itakuwa akili au matope!
Pakistan ni nchi yenye mamlaka kamili, jeshi kamili, vifaa kamili, uchumi kamili hivyo kuingia vitani na nchi kama hiyo inahitaji umakini mkubwa, cause hata kama mtashinda bado mtaingia hasara kubwa kwa sababu mnapigana na nchi na sio vijana wawili watatu wasiokuwa na silaha kama Hamas.Oktoba 7 hamas wamevamia sio iran ndugu yangu acha kujipa umuhimu. Iran kapelekewa pakistan tu kanyosha mikono juu
Sadam na Ghadaf hawakuwa na uwezo wowote wa kufanya matukio kama yale katika ardhi ya Marekani mkuu. Ule ni mchezo uliochezwa na kupangwa na wakubwa wenyewe ili iwe rahisi kufikia malengo yao pale Mashariki ya kati.Marekani vita zake Huwa za kiuchumi tu .Mfano kuwaiti Kulijaa makampuni ya mafuta na gesi.SaddamnHussen akavamia Kuwaiti walimshukia kama mwewe na kumuondoa madarakani
Gaddafi na Saddam walkiwa wafadhili wakuu wa ugaidi wakaenda kubomoa Trade centre Yao Marekani 9/11 mmarekani aliehuka akapeleka majeshi kubomoa karibu nchi zote za kiarabu wafadhili ugaidi dhidi Yao
Ukraine makampuni mengi makubwa ya Nchi za NATO na Marekani yamewekeza kule Ukraine hivyo kuvamia ni vita dhidi ya interests zao za kiuchumi na biashara. Otherwise hawana mpango .Ndio maana mauaji ya kimbari ya Rwanda na Burundi hakuna Cha NATO Wala Marekani alijitokeza kuyazima waliacha wauane Hadi wachoke.Sababu hawakuwa na maslahi yoyote ya kiuchumi au biashara Rwanda na Burundi wakaona hakuna haja ya kupoteza pesa za walioa Kodi Wao kupeleka majeshi maeneo wasio na maslahi Yao kiuchumi
HaswaHata wazungu bado wanavamiana moja kwa moja. mf. Russia vs Ukraine.
Ni nchi gani ilishawahi kushambulia Marekani?Niaje waungwana
Hapo chini naorodhesha nchi ambazo si Marekani wala Israel itaweza kuthubutu kuingiza pua yake kuzivamia kijeshi kwa namna yoyote ile. Hii ni kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi, kiintelejensia, kiteknolojia ni kiuwezo zilizo nazo nchi hizo katika kulikalisha chini na kulihenyesha taifa lolote litakalothubutu kuvamia ardhi zao.
Hata Mmarekani anajua ndomaana akitaka ku deal nao kiaina huwa anatuma tu silaha huku yeye akiwa nje ya mapambano, au anaishia kushambulia vidagaa vilivyowekwa na hao wababe wasiopenda kuendeshwa kijinga jinga na nchi za magharibi. Kuna wazungu wa buhambwe walikuwa wanaota huku wanatembea kwamba eti Marekani itaivamia Iran kutokana na mashambulizi yaliofanywa na vijana kadhaa huko Iraq.
Wazungu hawa wa buhambwe wengi waliendeshwa na mihemko kuliko uhalisia kamili wa kile wanachokiota. Wenye akili tulipinga kwamba mbabe huyo wa mchongo hawezi kutia pua uajemi kufanya shambulizi, ila hawakutuelewa. Sasa leo wameona wenyewe jinsi mbabe wao alivyokwepa jukumu la kuthubutu kuivamia uajemi. Anachotaka kufanya ni kupambana tu na vijana waliowekwa na waajemi washughulike nae.
Nchi zenyewe ni...
1. Russia
2. Iran
3. China
4. North Korea.
Atapigwa tu. Mark my words.Nafikiri unajua utofauti wa Iran na Iraq. Toka lini ushawahi kusikia Iraq inatengeneza silaha zake yenyewe, za Iran ndo hizo zinazofanya maangamizi hata katika kambi za Marekani ambazo sio rahisi kuingilika wala kushambulika, Silaha za Iran ndo zilizobadilisha hali ya vita kule Ukraine hadi magharibi wakawa wanalaumu Iran kwa kumpatia silaha Mrusi ambazo zimesabisha madhara makubwa kwa majeshi ya Ukraine. Yani zimepenya hata pale ambapo hapakutarajiwa kupenywa.
Iraq hakuwa hata na kifaru cha maana achilia mbali ndege za kijeshi, Iran ina ndege hatari zisizokuwa na ruban ambazo zimekuwa msaada kwa vita vya Russia na Ukraine, vimekuwa msaada kwa serikali ya Syria ambayo mpaka leo ipo madarakani kutokana na msaada wa Iran pamoja na Russia. We haujiulizi ilikuwa Marekani akaivamia Iraq au Libya ambazo hakuwahi kurusha hata jiwe kwa Marekani, lakini wanashindwa kuthubutu kufanya hivyo kwa Iran ambayo imekuwa ikifanya mashambulizi ya wazi na ya mara kwa mara kwa jeshi na kambi za Marekani bila kuhofia chochote na mpaka leo hawana ujanja wa uwezo wa kuthubutu kuivamia kijeshi. So tumia akili kufikiri. Kwa sababu wanaijua uajemi kuwa ndio taifa lililokuwa na nguvu toka miaka zaidi ya 3000 iliyopita before Christ, hao hawakuanza leo.
Hizo hapo chini ni miongoni mwa empire kongwe duniani.
1. Persia (Iran) empire
2. Roma empire
3. Ottoman empire
Ndio hivyo sasa juzi amepiga ndani ya Iran mpaka ikabidi Iran aombe wayamalize kidiplomasiaPakistan hii hii ambayo haina uwezo wa kutengeneza hata risasi, inayotegemea kununua silaha kutoka katika nchi zingine ndo iwe na uwezo wa kupambana na nchi inayounda silaha zake yenyewe na haitegemei badget ya kijeshi itoke Marekani na Ulaya kila mwaka kama Israel!
Pakistan ishukuru Iran haikutaka kuingia vitani na Pakistan kwa sababu ya mazingira ya vita katika eneo. Kwa sababu kulikuwa na mazingira ya kuchangiwa na nchi tatu zikiwemo Israel, Marekani na Pakistani yenyewe.
But hata hivyo Pakistan ni nchi, tofauti na Israel inashambuliwa kila siku na wanamgambo tu wa hezbulla ambao hawana silaha za maana, hawana jeshi wala mamlaka yoyote ya nchi na bado hajaweza kuwadhibiti kwa chochote.
Yaani Israel hata silaha za kupigana na Hamas anapewa na US, sasa hiyo vita si itakuwa ni ugomvi wa Antony Joshua na Mandonga mtu kaziPia nchi hizo haziwezi kuivamia israel na marekani ujue. By the way wababe wa kivita duniani ni israel na marekani usiombe vita itokee kati ya nchi hizo dunia itatikisika na kuharibika pakubwa
JapanNi nchi gani ilishawahi kushambulia Marekani?
Hata hivyo wote hao hawana ugomvi wa kufikia kuingia vitani