Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmetishaaKuingia vita moja kwa moja hili bado wanalo waafrika tu
Kuna mataifa mengi wanaogopa na kuona madhara ya vita hasa ukizingatia Uchumi kuporomoka na hata soko kuwa baya kimaisha
Kuna watu wanajielewa na kauoga kamo, na kuwa muoga sio vibaya wakati mwingine kama unaangalia maslahi yako
Wanasema epuka Shari
Pakistan na India sio kama hawawezi kuzichapa ila wanajua athari za vita maana huwa haina mshindi bali hasara zinatofautiana tu
Mchina amejenga visiwa (artificial islands kibao na hakuna wa kumsemesha tena sio tu kaweka viwanda bali kapeleka na manowari za kijeshi na ndege yoyote ikipata juu inapewa warning moja tu kuwa iondoke eneo hilo au itunguliwe
Lakini hakuna taifa linathubutu kulianzisha hapo
Sisi kujenga bwawa tu mpaka vitisho halafu tunalazimisha muungano
Hebu kama ni kisiwa na sisi tutengeneze kimoja tujaze wanajeshi tu
Marekani hawezi kulianzisha na Iran wala kiduku moja kwa moja kwa sababu anajua hasara
Sio kuwa hana uwezo bali ni hasara na uchumi na watu pia kufa wengi
Hoja yako ipo sahihi ila sio sahihi sanaNiaje waungwana
Hapo chini naorodhesha nchi ambazo si Marekani wala Israel itaweza kuthubutu kuingiza pua yake kuzivamia kijeshi kwa namna yoyote ile. Hii ni kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi, kiintelejensia, kiteknolojia ni kiuwezo zilizo nazo nchi hizo katika kulikalisha chini na kulihenyesha taifa lolote litakalothubutu kuvamia ardhi zao.
Hata Mmarekani anajua ndomaana akitaka ku deal nao kiaina huwa anatuma tu silaha huku yeye akiwa nje ya mapambano, au anaishia kushambulia vidagaa vilivyowekwa na hao wababe wasiopenda kuendeshwa kijinga jinga na nchi za magharibi. Kuna wazungu wa buhambwe walikuwa wanaota huku wanatembea kwamba eti Marekani itaivamia Iran kutokana na mashambulizi yaliofanywa na vijana kadhaa huko Iraq.
Wazungu hawa wa buhambwe wengi waliendeshwa na mihemko kuliko uhalisia kamili wa kile wanachokiota. Wenye akili tulipinga kwamba mbabe huyo wa mchongo hawezi kutia pua uajemi kufanya shambulizi, ila hawakutuelewa. Sasa leo wameona wenyewe jinsi mbabe wao alivyokwepa jukumu la kuthubutu kuivamia uajemi. Anachotaka kufanya ni kupambana tu na vijana waliowekwa na waajemi washughulike nae.
Nchi zenyewe ni...
1. Russia
2. Iran
3. China
4. North Korea.
Kwa rank hiyo bado tuko vizuri,tumeyapiga bao mataifa kadhaa ya magharibi,ulaya na kwingineko. Mama anaupiga mwingi ni mwendo wa kununua madrones ya kutosha, Marekani aseme fyooo! tunakula kichwa.Tanzania ni ya 7
Burundi ya 6
Na Malawi ya 5
Unaongea kwa ushabiki sana, mimi sipo kwenye ligi ya kushabikia ubabe wa upande wowoteWewe ni mnafiki. Unasema hawakufanya retaliation zozote za maana, wakati shambulizi lilileta madhara makubwa katika kambi ya Marekani nchini Iraq!
Israel hiyo ndo inashambuliwa kila siku katika ardhi yake, so yenyewe ilibahatisha kuuwa afisa mmoja au wawili ni tofauti na yeye anaeshambuliwa kila siku katika ardhi yake na kusababisha maafa makubwa kama Oktoba 7.
China geographia yake inasababisha asikutane na changamoto hizi. Kama na yeye angeishi Mashariki ya kati kwenye misukosuko ya kila siku pengine na yeye angejaribiwa japo naamini na yeye angekuwa kama Iran asingesubiri kufanywa mnyonge.
Israel akikatiwa misaada na ufadhili wa kijeshi anaopewa na nchi za magharibi kila mwaka ni mwepesi mno. anaweza kuchakazwa hata na hezbulla kama walivyomchakaza mwaka 2006 pamoja na misaada yake ya kijeshi.
Asante Mkuu, ndio ukweliUmetishaa
Hivi nyie mazombi mnaisigi taarifa mnapata nyie tu. Iran katwangwa bada nae kumkorofisha pakista. Kajibiwa kawa mpoleOna sasa ulivyo hujui taarifa.
Iran haikupeleka jeshi bali ilishambulia kwa makombora na ndege zisizo na rubani katika kambi za vikundi vya kigaidi.
Pakistan haikuridhishwa kwasababu Iran haikutoa taarifa kwa mamlaka.
Na hata aliposhambulia Pakistan ye mwenyewe amekiri kashambulia maeneo ya waasi hakupiga kambi wala kulenga wanajeshi wa Iran moja kwa moja.
Muwe munatizama habari.
Hata marekani si wameshambuliwa kambi zao huko iraq juzi hapa wamepigwa kambi zao huko JordanMtoe Iran, Iran ni mnyonge tu, aliuawa yule Jenerali wake Qassimm Suleiman kwa drone za Usa ila hawakufanya retaliation zozote za maana, Israel pia anaua na kushambulia maafisa wa juu wa Iran na wanasayansi wake, kitu ambacho hawawezi kufanya kwa nchi kama China
Siungi mkono wala sipendi uchokozi wa Marekani wala wa Israel, ila Iran hana ubabe wa kiasi hicho na anaweza kuvamiwa tu kama wakiona mazingira yanaruhusu
Kama alivyokua mpole Americant baada ya magaidi wake kufyekwa kule Jordan wakiwa wanafanya ugaidiHivi nyie mazombi mnaisigi taarifa mnapata nyie tu. Iran katwangwa bada nae kumkorofisha pakista. Kajibiwa kawa mpole
Wanakimbiliaga kuishutumu Iran ktk kila jambo lakini hawawezi kuchukua hatua yoyote.
Kaka kuwa mtu mzima kidogo.Hivi nyie mazombi mnaisigi taarifa mnapata nyie tu. Iran katwangwa bada nae kumkorofisha pakista. Kajibiwa kawa mpole
Mkuu Pakistan yenyewe imetoa kauli kuwa imepiga armed group site in Boluchistan.Iran juzi amepigwa na Pakistani tena ndani ya ardhi yake, akakimbilia kuomba msamaha.
Mkuu si Iran inataka kuifuta Israel kwenye Ramani ya dunia. Nini kimemshinda?Kushambulia ukiwa mbali hiyo hata Israel inafanyika kwa kushambuliwa na hezbullah, au Marekani kushambuliwa na vikundi vya itikadi kali.
Nazungumzia kuingia kabisa katika ardhi kijeshi kama ilivyofanyika Ukraine, Iraq, Libya nk.
Nimejikuta nacheka tu peke yangu 😂😂Kwa rank hiyo bado tuko vizuri,tumeyapiga bao mataifa kadhaa ya magharibi,ulaya na kwingineko. Mama anaupiga mwingi ni mwendo wa kununua madrones ya kutosha, Marekani aseme fyooo! tunakula kichwa.
Hakuna ushabiki hata chembe. Labda wewe ndo unaandika bila kuangalia uhalisia unaosababisha Israel ionekane ina kiburi cha kuchokoza wenzake.Unaongea kwa ushabiki sana, mimi sipo kwenye ligi ya kushabikia ubabe wa upande wowote
Nachukia uonevu unaofanywa na nchi nyingine kwa taifa lolote.... Na ukweli ni kuwa Israel na Marekani zimefanya uonevu mwingi sana ambao siushabikii, ila kama wewe unaamini wao ndio wahanga wanaoonewa basi ni sawa
Nimejikuta nacheka tu peke yangu
Marekani hasingefanya kitu zaidi ya Marekani na mashoga zake wangeiwekea China vikwazo vya kiuchumiNazungumzia kuingia kabisa katika ardhi kijeshi kama ilivyofanyika Ukraine, Iraq, Libya nk.
Pia Vice versa is true.kwa taarifa yako katika nchi ulizozitaja hakuna hata moja inayotamani kuingia vitani na Marekani.
Hili hata mimi silipingi mkuu, japo kuna wale wenzangu na mimi walipoona kambi za Marekani zinashambuliwa kule Iraq na Syria wakaanza kufikiri kwamba jibu la Marekani itakuwa ni kuivamia Iran kijeshi kitu ambacho ni dhahiri kuwa wanaota mchana kweupe huku wanatembea.Asante Mkuu, ndio ukweli
Watu wanafikiri vita ni piga ua yameisha ila kuna athari kubwa sana
Ni Iran pekee pale Mashariki ya kati ndo vijana wake wana uwezo wa kushambulia kambi za jeshi za Marekani na wakati huo huo wakashambulia ardhi ya Israel. Nchi moja tu ambayo haina backup yoyote ya badget ya kijeshi kutoka popote ila inadhibiti ujinga wote unaoendelea pale Mashariki ya kati.Hata marekani si wameshambuliwa kambi zao huko iraq juzi hapa wamepigwa kambi zao huko Jordan
Ni iran pekee anaeweza kufanya haya kuliko mwengine yeyote