Hizi ndio nchi ambazo Marekani na Israel hawawezi kuthubutu kuingiza pua zao kushambulia kijeshi

Hizi ndio nchi ambazo Marekani na Israel hawawezi kuthubutu kuingiza pua zao kushambulia kijeshi

Hata Israel inashambuliwa kila siku katika ardhi yake na panya road wa kiarab hizbulla ambao sio jeshi kamili na silaha zao za kuunga unga na bado umeaminishwa kuwa Israel ina jeshi bora na la kisasa.

So ndo uje ushangae Iran kushambulia na Pakistan!
Nazungumzia iran ilopeleka jeshi lake pakistan na ikajibiwa vizuri na vichaa wenzao wa pakistan sizungumzii vikundi vya kigaidi
 
Marekani kwa sasa haitoi tena msaada kwa Ukraine, huku Russia ikiendeleza kichapo kwa kibaraka huyo wa magharibi.
Kichapo cha siku tatu ndani ya miaka mmitatu. Europe jana wamepitisha euro bil50 kwa ukraine hii kitu ni bado mbichi tutaonyeshana makali. Marekani lini katangaza kua hatoi tena.
 
Kiboko ya Mmarekani ni Mrussia tu. Hapo USA hana jambo maana anajua kina chake si cha kitoto. Kuanzia tech kaachwa mbali sana.
Ndio mana mrusi kaichukua ukraine yote ndani ya siku tatu na kamwambia mmarekani asisogee
 
USA wanatumia AKILI kupigana vita mkuu

Vita huwa sio KUSHINDA tu


Sasa hivi Russia inapigana na USA indirectly
Wakati Russia anatumia resources zake zote kupigana na Ukraine, USA akitumia washirika wake wanachangia kidogo kidogo kumnyong’onyesha Russia kiuchumi na kijeshi...... Vita ni gharama kubwa mmno
Putin sio mpumbavu wa kutoyajua haya. Pia sio mpumbavu wakutojua yaliyoikumba USSR. Anaijua Dunia na hawa USA kuliko mtu yoyote hapa Afrika
 
Niaje waungwana

Hapo chini naorodhesha nchi ambazo si Marekani wala Israel itaweza kuthubutu kuingiza pua yake kuzivamia kijeshi kwa namna yoyote ile. Hii ni kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi, kiintelejensia, kiteknolojia ni kiuwezo zilizo nazo nchi hizo katika kulikalisha chini na kulihenyesha taifa lolote litakalothubutu kuvamia ardhi zao.

Hata Mmarekani anajua ndomaana akitaka ku deal nao kiaina huwa anatuma tu silaha huku yeye akiwa nje ya mapambano, au anaishia kushambulia vidagaa vilivyowekwa na hao wababe wasiopenda kuendeshwa kijinga jinga na nchi za magharibi. Kuna wazungu wa buhambwe walikuwa wanaota huku wanatembea kwamba eti Marekani itaivamia Iran kutokana na mashambulizi yaliofanywa na vijana kadhaa huko Iraq.

Wazungu hawa wa buhambwe wengi waliendeshwa na mihemko kuliko uhalisia kamili wa kile wanachokiota. Wenye akili tulipinga kwamba mbabe huyo wa mchongo hawezi kutia pua uajemi kufanya shambulizi, ila hawakutuelewa. Sasa leo wameona wenyewe jinsi mbabe wao alivyokwepa jukumu la kuthubutu kuivamia uajemi. Anachotaka kufanya ni kupambana tu na vijana waliowekwa na waajemi washughulike nae.

Nchi zenyewe ni...

1. Russia
2. Iran
3. China
4. North Korea.
Ndiyo ukikaakaa hauna kazi unavyojidanganya?Usiendeshwe kwa hisia.Tafuta uhalisia.Kuna muda,wakati nikiwa mdogo,nilidhani tembo hauawi na simba.
 
Iran haikuanza kushambulia kambi za Marekani jana au juzi. Amekuwa akifanya hivyo miaka na miaka na hakuna anaeweza kuthubutu kumface moja kwa moja. Labda washambulie vijana wake ambao na wao watajibu tu baada ya muda.

Hiyo sio Venezuela, Libya au iraq.

Hakuna..
Juzi tu Pakistan nao wameshambulia katika ardhi yao, acheni kuwapaisha, ata Iraq walisema haitowezekana, akapigwa, na Iran atapigwa tu. Ni suala la muda.
 
Mwaka 2021 Israel walishambulia kituo cha nuclear cha Iran cha Karaj kwa drones.

China na Marekani sio maadui kihivyo, juzi kati tu hapo Xi Jinping alikuwa California anagonga mvinyo na Biden.
Achana na huyo Mlevi wa dini bwashee
 
Nazungumzia iran ilopeleka jeshi lake pakistan na ikajibiwa vizuri na vichaa wenzao wa pakistan sizungumzii vikundi vya kigaidi
Ona sasa ulivyo hujui taarifa.
Iran haikupeleka jeshi bali ilishambulia kwa makombora na ndege zisizo na rubani katika kambi za vikundi vya kigaidi.
Pakistan haikuridhishwa kwasababu Iran haikutoa taarifa kwa mamlaka.
Na hata aliposhambulia Pakistan ye mwenyewe amekiri kashambulia maeneo ya waasi hakupiga kambi wala kulenga wanajeshi wa Iran moja kwa moja.
Muwe munatizama habari.
 
Juzi tu Pakistan nao wameshambulia katika ardhi yao, acheni kuwapaisha, ata Iraq walisema haitowezekana, akapigwa, na Iran atapigwa tu. Ni suala la muda.
Juzi au wiki zilizopita?
Pakistan kashambulia katika mpaka anaochangia na Iran,Boluchistan inakaliwa na wote Iran na Pakistan.
Hakushambulia katika mpaka halisi wa Iran.
Muwe munatizama taarifa za habari.
Usifananishe Iraq ilokua inaitegemea US kwa silaha na Iran inayojiundia silaha yenyewe
 
Ona sasa ulivyo hujui taarifa.
Iran haikupeleka jeshi bali ilishambulia kwa makombora na ndege zisizo na rubani katika kambi za vikundi vya kigaidi.
Pakistan haikuridhishwa kwasababu Iran haikutoa taarifa kwa mamlaka.
Na hata aliposhambulia Pakistan ye mwenyewe amekiri kashambulia maeneo ya waasi hakupiga kambi wala kulenga wanajeshi wa Iran moja kwa moja.
Muwe munatizama habari.
Sawa sawa yani umemjibu sawa na akili yake ilipoishia.
 
Nazungumzia iran ilopeleka jeshi lake pakistan na ikajibiwa vizuri na vichaa wenzao wa pakistan sizungumzii vikundi vya kigaidi
Iran haikupeleka jeshi bali ilishambulia kwa kutumia ndege zisizokuwa na rubani huku wairan wenyewe wakiwa majumbani kwao wakiendelea na mambo yao. Hii ni tofauti na Israel ambayo imekuwa ikikusanya jeshi lote, midege yote na mivifaru yote kwenda kupambana na vijana wasiokuwa wanajeshi tena wenye silaha za kienyeji na bado Israel inatoka kapa bila kuwin vita 😂😂😂
 
Ndiyo ukikaakaa hauna kazi unavyojidanganya?Usiendeshwe kwa hisia.Tafuta uhalisia.Kuna muda,wakati nikiwa mdogo,nilidhani tembo hauawi na simba.
😂😂😂 tembo anaweza kuuwawa na simba, lakini sio kwa simba mmoja, na sio kwa tembo mkubwa.

Nafikiri umenielewa vizuri ndugu.
 
Niaje waungwana

Hapo chini naorodhesha nchi ambazo si Marekani wala Israel itaweza kuthubutu kuingiza pua yake kuzivamia kijeshi kwa namna yoyote ile. Hii ni kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi, kiintelejensia, kiteknolojia ni kiuwezo zilizo nazo nchi hizo katika kulikalisha chini na kulihenyesha taifa lolote litakalothubutu kuvamia ardhi zao.

Hata Mmarekani anajua ndomaana akitaka ku deal nao kiaina huwa anatuma tu silaha huku yeye akiwa nje ya mapambano, au anaishia kushambulia vidagaa vilivyowekwa na hao wababe wasiopenda kuendeshwa kijinga jinga na nchi za magharibi. Kuna wazungu wa buhambwe walikuwa wanaota huku wanatembea kwamba eti Marekani itaivamia Iran kutokana na mashambulizi yaliofanywa na vijana kadhaa huko Iraq.

Wazungu hawa wa buhambwe wengi waliendeshwa na mihemko kuliko uhalisia kamili wa kile wanachokiota. Wenye akili tulipinga kwamba mbabe huyo wa mchongo hawezi kutia pua uajemi kufanya shambulizi, ila hawakutuelewa. Sasa leo wameona wenyewe jinsi mbabe wao alivyokwepa jukumu la kuthubutu kuivamia uajemi. Anachotaka kufanya ni kupambana tu na vijana waliowekwa na waajemi washughulike nae.

Nchi zenyewe ni...

1. Russia
2. Iran
3. China
4. North Korea.
Iran haimo acha ushabiki
 
Back
Top Bottom