Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 672
- 860
UmenenaHapo tunasoma historia ya mababu wa wenzetu na kuona ufahari na wengine kusafiri masafa kushangaa miguu ya Mababu wa Kiarabu huku sisi mababu zetu tunawaita Mizimu tena inayotisha kama hiyo haitoshi hata historia za Mababu zetu hatuzijui,
Inasikitisha
Hazikuhifadhiwanyayo za babu yako mzaa mama ziko wapi
Ni miguu ya nini?Hiyo sio miguu ya binadamu.
Ndo man mnaenda makka kaauabudi nyayo za warabuHazikuhifadhiwa
Ni miguu ya nini?
Ile ni sehem ya kihistoria na takatifu kwa mafundisho yetu sisiNdo man mnaenda makka kaauabudi nyayo za warabu
Sio rahisi πNgoja upelekwe mdomo upande [emoji855]
Tangu nizaliwe sijawahi kusikia kuna msimu kama ule wa hijja ya kiislam kwa waroma kwenda italy roma kuhiji .vp wewe unaujua huo msimu ni mwezi wa ngapi,una picha yoyote ikionyesha wakristo wote duniani wamekusanyika roma kuzunguka au kuhiji sijui kitu gani.hijja ipo kwenye nguzo za kiislam ,ebu nipe andiko kwenye biblia inayoonyesha hao wakristo wengine wanatKiwa kwenda huko ulikosema kuhijiIle ni sehem ya kihistoria na takatifu kwa mafundisho yetu sisi
Kama vile wakatoliki wanavyoenda kuhijj Roma, wazayuni kule jerusalem na waorthrodox kule ethiopia
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Hawa jamaa kila kitu wanachoambiwa wanaamini.Sasa hizo ni nyayo au matundu?Watu wa Mnyaazi ni kwere[emoji23][emoji23]
Huu ni uongoMaqam IbrΔhΔ«m ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la Hejazi la Saudi Arabia. Chapa kwenye jiwe ilitoka kwenye miguu ya Ibrahimu.
Ilionekana pale Ibrahim aliposimama juu ya jiwe alipokuwa akijenga Al-Kaaba; kuta zilipokuwa juu sana, Ibrahim alisimama juu ya maqam, ambayo iliinuka kimiujiza ili kumwacha aendelee kujenga na pia ilishuka chini kimiujiza ili kumruhusu Ismail kumpa mawe.
Nyayo hiyo ilionekana wakati mke wa Ismail alipoosha kichwa cha Ibrahim, au pale Ibrahim aliposimama juu yake ili kuwaita watu kuhiji Makka.
Nguo zilizofunikwa kwa Maqam Ibrahim, mwishoni mwa karne ya 19, zilitengenezwa huko Dar al-Kiswa huk Cairo.
Jiwe lililo ndani ya kasha lina umbo la mraba na hupima urefu na upana wa sentimita 40, na urefu wa sentimita 20. Ilikuwa imefungwa kwa muundo uitwao Maqsurat Ibrahim ambao ulifunikwa na sitara: pazia la mapambo, lililopambwa ambalo lilibadilishwa kila mwaka. Hivi sasa imewekwa ndani ya uzio wa chuma cha dhahabu.
Iliyojengewa dhahabu
Maqam
Maqam Ibrahim
View attachment 2504569
Kwa ndani
Maqam
Mqam Ibrahim
Maqam
Maqam
vichwa vibovu sana[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Hawa jamaa kila kitu wanachoambiwa wanaamini.Sasa hizo ni nyayo au matundu?
Sijui msimu ninachojua kila mwaka makadinal na wafuasi wao dunia huwa wanaenda vetican kuhijj,Tangu nizaliwe sijawahi kusikia kuna msimu kama ule wa hijja ya kiislam kwa waroma kwenda italy roma kuhiji .vp wewe unaujua huo msimu ni mwezi wa ngapi,una picha yoyote ikionyesha wakristo wote duniani wamekusanyika roma kuzunguka au kuhiji sijui kitu gani.hijja ipo kwenye nguzo za kiislam ,ebu nipe andiko kwenye biblia inayoonyesha hao wakristo wengine wanatKiwa kwenda huko ulikosema kuhiji
Acha ujuaji mkuu,ina maana ukijisikia tu kwenda umra unakurupuka unaondoka,sasa ile eid el hajji huwa inamaanisha nini,watu wanavyochinja kile kipindi kinamaainsha eti hakuna kipindi maalumu.kama huna elimu na hilo jambo sema tu sijui wajuzi watakuelekeza.halafi hiyo hijja ya italy vatican ambayo wakristo wanaenda kila mwaka nimekuuliza hujui na hao wakristo tunaishi nao mitaani lakini hatujawahi kusikia huo mwaka waroma wanaondoka kwenda hija vatican,so usiongee vitu usivyokua na uhakika navyo humuSijui msimu ninachojua kila mwaka makadinal na wafuasi wao dunia huwa wanaenda vetican kuhijj,
Viongozi na wafuasi wa orthodox wote dunia huwa wanaenda ethiopia kuhijj sasa kipi huelewi
Halafu unabidi utambue hakuna msimu wa kwenda hijj kwa waislamu
Waislam wanaenda hajj mwz Dhul hijja,waukize makadinali watakueleza vzr pia waulize viongoz wa orthdox watakueleza vzrAcha ujuaji mkuu,ina maana ukijisikia tu kwenda umra unakurupuka unaondoka,sasa ile eid el hajji huwa inamaanisha nini,watu wanavyochinja kile kipindi kinamaainsha eti hakuna kipindi maalumu.kama huna elimu na hilo jambo sema tu sijui wajuzi watakuelekeza.halafi hiyo hijja ya italy vatican ambayo wakristo wanaenda kila mwaka nimekuuliza hujui na hao wakristo tunaishi nao mitaani lakini hatujawahi kusikia huo mwaka waroma wanaondoka kwenda hija vatican,so usiongee vitu usivyokua na uhakika navyo humu
Mwanzo umesema hakuna kipindi cha hijja ,sasahivi umebadilika unasema kuna kipindi maalumu nacho ni mwezi wa dhulhijja,kwahiyo siku nyingine usikurupuke kujibu kitu usichokijua,kuhusu hiyo hija ya wakristo ambao huwa wanafunga safari kwa pamoja kwenda roma kama wanavyofanya waislam kwenda makka,hakuna wewe ndio useme kadinali gani aliyekwambia hizo habari usiniambie mimi ambaye sijasema huo uongo niende kwa makadinaliWaislam wanaenda hajj mwz Dhul hijja,waukize makadinali watakueleza vzr pia waulize viongoz wa orthdox watakueleza vzr
Lawama nyingine hata hazina mashiko, hapo ni kosa la nani ambao hawakuweka historia?Hapo tunasoma historia ya mababu wa wenzetu na kuona ufahari na wengine kusafiri masafa kushangaa miguu ya Mababu wa Kiarabu huku sisi mababu zetu tunawaita Mizimu tena inayotisha kama hiyo haitoshi hata historia za Mababu zetu hatuzijui,
Inasikitisha