Hizi ndio nyayo vikanyagio vya Nabii Ibrahim, Jiwe dogo la mraba (Maqam Ibrahim) lililohusishwa na Ibrahim katika ujenzi wa Al-Kaaba

Kuna majitu yataamini hizo kweli ni nyayo za ibrahimu .waafrika tumechezewa sana
Wanaenda kupiga magoti katika masanamu hayo...wana sujudia sanamu za dhahabu...hawana tofauti na R.C.
 
Ww ni dini gani?
Hv unajuwa utofauti wa kipindi na msimu?
Hv unafahamu asset zaa yesu kristo zipo vetican kama kumbukumbu takatifu ya kanisa?
Hv unaelewa maana ya neno hijja?
Hv unafahamu kama habari za kitambaa cheupe cha yesu chenye kufuta zambi za mwanaadam kipo vetica?.
 
Wote muhimu...
 
Wakuja walifanya mpango wa kuhakikisha historian yetu INA haribiwa
Wacha fixi hizo sisi hatukuwa na ustaarabu wa kuandika taarifa zetu na ndiyo mana hatuna hata hati zetu (script) za asili. Ethiopia, Egypt, waarabu na wahindi wao wanazo hati zao na ndio maana historia zao zimeandikwa.

Hata hapa Afrika Mashariki walipoanza kujifunza tu kuandika kwa kutumia hati za kiarabu ndiyo wakaanza kuandika baadhi ya mambo, mfano wa uandishi wa karne ya 15 au 16 ni ule utenzi wa Fumo Lyongo.
 
Umewahi kukiona? Nani kwakwambia hayo? Thibitisha kama sio habari za vibanda vya kahawa ,usioende kusikiliza habari za vijiweni,tulia ujifunze,eti kipindi na msimu 🤣🤣
 
Umewahi kukiona? Nani kwakwambia hayo? Thibitisha kama sio habari za vibanda vya kahawa ,usioende kusikiliza habari za vijiweni,tulia ujifunze,eti kipindi na msimu 🤣🤣
Siwez kujadili hoja na mtu asie elewa hata utofauti wa kipindi na msimu.

Kama hujui hata historial tools za ukristo zipo vetikani kunahaja gani ya kujadili mm naww?

Ndy maana nimekuuliza wewe ni dini gani/thehebu gani?
 
Sayansi inatatua changamoto au inaleta changamoto!?..sayansi ni uelewa wa binaadam juu ya mazingira yake,vifo 51% Leo vinatokana na mtindo wa maisha,yaani ulaji etc..saratani ni matokeo ya sayansi,na mahodpitalini wamejaa wahanga wa sayansi
Uko sahihi Zamani mazao yalipandwa bila kutumia mbolea zenye kemikali ama viwatifu, baada ya mavuno, vyakula vilitunzwa kwa njia asili. sasa hivi vyakula vinatunzwa kisayansi tumebaki kula sumu tu.

Angalia zamani maji tulikua tunakunywa maji yasiyo madawa sana, ila sasa haya mimaji ya chupa midawa tupu, soda tulikua tunakunywa sikukuu, leo soda 10 anakunywa siku moja.

Kuku kwenye sherehe ni wakisayansi dawa tangia yai mpaka analiwa dawa,. na wapo wanakwenda mbali zaidi kwa kuwapa videnge vya majira, eti wanenepe.
Sayansi emepelekea kuwepo na tetesi, kuwa samaki toka mwanza wanatumia dawa ya kuhifadhia maiti, mpaka serikali imeunda tume ya kuchunguz jambo hili.

Hivyo sayansi imetatua baadhi ya changamoto, na imesabisha pia, changamoto, hivyo sayansi,i bado haina majibu yote yote tunayojiuliza, maana nayo inauliza.
 

Ile michoro ya kwenye miamba je? Siyo story kupitia picha kweli?
Nadhan hata nyayo zipo
 
Ile michoro ya kwenye miamba je? Siyo story kupitia picha kweli?
Nadhan hata nyayo zipo
Michoro ipo lakini haina maelezo tafauti na, mfano ile michoro ya Egypt ambayo waliandika historia za Mafarao mpaka wafanyakazi wa nyumbani kwa mfalme.
 
Siwez kujadili hoja na mtu asie elewa hata utofauti wa kipindi na msimu.

Kama hujui hata historial tools za ukristo zipo vetikani kunahaja gani ya kujadili mm naww?

Ndy maana nimekuuliza wewe ni dini gani/thehebu gani?
Hivyo vitu Huko vatican uliwahi kuviona hata picha tu au umesikia kwenye vibanda vya kahawa,eti kitambaa alichofutwa jasho yesu kipo vatican,na wewe ukaamini huo upuuzi,huyo kadinali aliyekwambia hivyo ulimuuliza kama aliwahi kikuona kwa macho au na yeye anasikia kama wewe.umepewa akili kidogo sio pambo la ubongo itumie kidogo kufikiria ili ikusaidie ,sio kila upuuzi unaosikia unaamini tu kama .pili hakuna msimu wala kipindi chochote ambacho wakristo huenda vatican kuhiji kama wanavyofanya waislam kwenda makka,kama na hilo pia umeambiwa ukaamini bas wewe kichwa chako kuna tatizo sehemu
 
Mle
Mletamada hili footprint,kama uliangalia ile documentary ya neil amsrong kutua mwezini mwaka 78 ndio iliacha alama kama hili.

Tufanye ni kweli Allah aliamua kuutunza,mbona saaa mguu wenyewe haueleweki hata kama ni unyayo ama udongo umewekwa na wahuni humo ndani??
 
I can hardly imagine how clever the catholic scholars were to be able to create this religious doctrine called Islam to the very extent that many people became its followers.
 

Watu wamekariri majina ya mababu wa iraq, israel, watu wanasafiri kwenda kuhiji macca au madina au jerusalemu na kule wanaenda kama watalii ndio maana hao jamaa hawana wanyama lakini mapato ya utalii yako juu sana, kila mwaka watu hupeleka pesa huko, na kwa kukomesha watu wanaanza kupandikizwa ustaraabu huo toka wadogo huko sunday school na madrassa, halafu wakikua wakubwa ukileta hoja hawajui kujibu zaidi ya vitisho tu, iko siku tutafika tu
 
Babu zetu walikuwa wachoyo, hawakuhifadhi ujuzi na historia zao kwa maandishi...walikuwa watu wa starehe tu hadi wakaja wakatawaliwa...wakati mzungu anatengeneza bunduki sijui Babu zetu walikuwa wanafanya nini..
 
Ndy maana nimekuuliza wewe ni dini gani?
Nini maana ya hijja?
Yaani unaipinga historical assets za roman katoliki?
Nimeshakwambia sifahau misimu ya miezi ya kikanisa kwenda kuhijj.
Kutokujua msimu wao wa hijja siyo kupinga kama hawaendagi hijja
Baada ya krismasi hukuona kule ethiopia wafuasi wa kiOrthrodox wakifanya hijja yao? Hili mbona unalikwepa?
 
Ushuzi mtupu. Tafuta nyayo za mababu zako uachane na hizi ngonjera za waarabu na mahayahudi mwanangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…