Hivi EWURA, PURA na TPDC ni watoto wa baba mmoja (NISHATI) entry level salary zipo sawa au tofauti?EWURA pazuri zaidi mkuu.Mishahara yao ipo juu bado posho kama zote na safari hasa inspectors. TPDC mishahara yao haizidi 2m kwa officers. Uzuri pekee wa TPDC ni kuwajali staff wake kwa kuwasomesha nje ya nchi. Ukumbuke pia EWURA mamlaka haizalishi bali inakusanya tu na kukata 1% kwenye maji,mafuta, gesi na umeme.TPDC wao mapato yao inategemeana na gesi wanayozalisha na kuuza.
Mfano wa hizo taasisi ni zipi?Hizi taasisi kwa nje ni tofautti na ndani, Kuna taasisi unakuta ina jina kubwa sana, na ina run mega project ila hizo scale zake na maisha ndani mmmm
Haya niambie NEC wanaiingizia serikali sh.ngapi?Kama unafanya kazi kwenye taasisi ambayo haiingizi pesa serikalini kazi yake inategemea kupewa pesa kutoka serikalini kamwe haiwezi lipa wafanyakazi wake mshahara mnono ,mfano angalia
TRA
TPA
TANAPA
DAWASA
Hawa wote wanaiingizia mapato serikali ndio maana mtaani wanavimba kwa kulipwa mishahara mikubwa,sasa wewe kajichanganye ufanye kazi kwenye taasisi za kutegemea mpaka wapewe fungu kutoka serikali kuu kudadadek utabaki kulia njaa hivyo hivyo na mikopo ya kausha damu juu kama
Temesa
Halimashauri
Sido
Mkuu huo ni mshahara kwa mwaka au mwezi huko tpdc??Kila sehemu (kasoro serikali kuu na SM) unaweza kusoma nje ukitaka na ukipata. Still bado TPDC wana rate fulani za hatari sana
Hata kama hizi rates hazikupita, unadhani kwa sasa zilikua ngapi. Chances ni kwamba zilikua labda nusu ya hizi proposed
DuuhMshahara wenyewe shilling ngapi? Mbona wengi wa hao tunakaa nao mitaani full kukopa! Maisha ya kawaida saana isipokuwa TRA na BoT
HujaulizwaAnawatengenezea mazingira muone kafulia msimpige vizinga[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada Abigail ushahamia hizo taasisi?Tajiri mapesa nna shida na wewe
Kwa anayejua mshahara wa NEMC kwa wale environmental officers na pia marupurupu yakoje?Depends na sehem mimi ndo naanza ila monthly nakunja mpk 3marooo
Nina ndugu yangu aliapa mwaka jana ameanaza na mshahata wa 1.5M kwa mchanganuo ufuataoAiseee
Sasa huo ni mshahara ukijumlisha na posho inakuja ngapi, na mshahara wa jeshi haukatwi kama uraiani, by the way huyo ndugu yako ana elimu ganiNina ndugu yangu aliapa mwaka jana ameanaza na mshahata wa 1.5M kwa mchanganuo ufuatao
1. Elimu laki 7
2. Kazi laki 6
3. Kombati laki 2
Total 1.5
Cheo cha luteni usu
Nani kakuambia hawakatwi?mnawapaga sifa ambazo hawastahili hata..Sasa huo ni mshahara ukijumlisha na posho inakuja ngapi, na mshahara wa jeshi haukatwi kama uraiani, by the way huyo ndugu yako ana elimu gani
Unaelewa kiswahili vizuri kweli "mshahara wao haukatwi kama uraiani", yani hauna makato mengi kama ya uraiani sijasema hawakatwi kabisa, halafu mbona ni kama hampendi kusikia kuwa wanajeshi wanalipwa vizuriNani kakuambia hawakatwi?mnawapaga sifa ambazo hawastahili hata..
Kwahyo captain atakuwa analipwa million 4 ?Nina ndugu yangu aliapa mwaka jana ameanaza na mshahata wa 1.5M kwa mchanganuo ufuatao
1. Elimu laki 7
2. Kazi laki 6
3. Kombati laki 2
Total 1.5
Cheo cha luteni usu
1.5m ndio mshahara mzuri brother?uko dunia gani mwenzetu?Unaelewa kiswahili vizuri kweli "mshahara wao haukatwi kama uraiani", yani hauna makato mengi kama ya uraiani sijasema hawakatwi kabisa, halafu mbona ni kama hampendi kusikia kuwa wanajeshi wanalipwa vizuri