Kama unafanya kazi kwenye taasisi ambayo haiingizi pesa serikalini kazi yake inategemea kupewa pesa kutoka serikalini kamwe haiwezi lipa wafanyakazi wake mshahara mnono ,mfano angalia
TRA
TPA
TANAPA
DAWASA
Hawa wote wanaiingizia mapato serikali ndio maana mtaani wanavimba kwa kulipwa mishahara mikubwa,sasa wewe kajichanganye ufanye kazi kwenye taasisi za kutegemea mpaka wapewe fungu kutoka serikali kuu kudadadek utabaki kulia njaa hivyo hivyo na mikopo ya kausha damu juu kama
Temesa
Halimashauri
Sido