RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Walikua wanapitia utumishi, Sasha akaruhusu waajiri. Mshahara wao kwa entry 1.8M mwenye degree.Naomba kuuliza kuhusu tanesco vipi ajira zao wanaajiri wenyewe au wanapitia utumishi
Msaada tafadhali
Huu ni salary ya engineer auDAWASA wanaanza na 2.1M
Yes.Huu ni salary ya engineer au
Ukiwa na degree ya economics jeYes.
Hizo venue ni za hapo TFS Morogoro amaNdio hawa?? Maana niko nawaona wanagawana maposho tu hapa wahasibu wao wamebeba mabegi🙌🏿
Hapo siifahmu. Nafaham kwa Engineering maana baadhi tuliosoma nao wapo hapo.Ukiwa na degree ya economics je
Teaching allowance and house walimu wa nchi gani?Hawa wanalipwa 760K. Mwenye degree sema posho kama zote. Huo ni mshahara kabla ya ongezeko la Samia. Pia Samia kawaongezea teaching allowance, house allowance walimu wanakula maisha jaman🤣🤣
Ila economics atakuwa chini kidogo compared to engineeringHapo siifahmu. Nafaham kwa Engineering maana baadhi tuliosoma nao wapo hapo.
Walimu wa Aridhi ya Mwal. Kambalage Julius Nyerere.Teaching allowance and house walimu wa nchi gani?
Ndio kwanza tangazo limetangazwa😆😆.ofisi ya taifa ya ukaguzii jeeeh NAOT mwenye ABCs......kwa degreee na fursa nje ya hapo
Wakina nani haoWatu wanakula maisha
Wenye hizo TaasisiWakina nani hao
Duuuh kumbee..🤔TAA njaa kali wana scale za government isipokuwa posho za mwezi kama laki 8 haizidi hapo.... Wafanyakazi wengi wanahama ndio maana kutwa wanaajiri watu wapya.