Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hawa wanalipwa 760K. Mwenye degree sema posho kama zote. Huo ni mshahara kabla ya ongezeko la Samia. Pia Samia kawaongezea teaching allowance, house allowance walimu wanakula maisha jaman🤣🤣
Teaching allowance and house walimu wa nchi gani?
 
Vipi kuhusu NACP ,salary Yao ni sh ngapi? Na vipi kuhusu activities
 
Back
Top Bottom