Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Kufanya kazi taasisi ambayo inalipa let say 3m per month kama hakuna hela za pembeni kupata still life litakua gumu.kuna taasisi nzuri wadau deal kibao zakula pesa.
 
Social Security Regulatory Authority hawa ni moto zaidi ya wote
 
Tanesco meneja analipwa 4m plus basic na hapo kwa wale wazee waliokaa job mda mrefu unazidi hapo , akipata na over time inaweza kuwa 2m ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipi ya madini au hali ya hewa?
Ni TMAA Tanzania Minerals Audit Agency sio ya hali ya hewa km ulisikia mzee baba anaiongelea leo ila nashaangaa vyombo vya habari wanaandika TMA
 
Na wewe mbona hujayataja vile vile chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…