Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

What do you mean by Mpunga mrefu, please state maana isijekuwa unamaanisha basic ya 3M ndio mpunga mrefu kwako.


Mk54
ndio maana nimekwambia kama una UHAKIKA na ulichokiandika ungenijibu maswali niliyokuuliza..ni jambo lakujibu tuu ili tuache blaa blaa nyingi
Na mimi nikupe evidence ya unachotaka kukisema!
Wakati mwingine kama hatuna research ya tunachokisema bora tuwe kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1.TPDC
2. TCRA
4.Ngorongoro
3.Ewura
4. WCF
5.TBS
5.TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7.SSRA
8.NSSF/PSSSF
9.BOT
9.Bunge
9.ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10.TASAC
10. TRA
11.MSD
11.TAKUKURU
11. EGA
12.NHIF
13.TPA
13. TIC
14.KADCO
15.TANESCO
16.TANROAD
17.TAA
Vizuri
 
Yaani kujadili na watu wajinga and zero brain ni kupoteza muda for sure na kujishushia heshima hapa JF. Yaani Mtu anakuita Muongo ; hakufahamu , hamjawahi kuonana. Yet anakuita muongo...... are you stupid or have we ever met before,kajifunze ethics za mawasiliano.

Utabaki kuwa maskini na akili zako.


Mk54
Ila kwa mishahara ya Makamishina naona umeweka digit ndefu sana kwenye mishahara..

Hao majamaa najua wanapokea pesa ndefu approching to 10M ila kwa kiwango ulichoandika hapo ukijumuisha na madili wanafika na kuzidi hapo...

Maana ni wazee wa fursa hasa, ndio maana wengi wao wakitumbuliwa wanakuwa kama vichaa, maana fungu wanalokunja mwisho wa mwezi si mchezo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nimesoma nikaishia tu kushangaa
Nadhani kuna namna tunaishi kwa kukaririshwa sana.
Mleta mada hajajua kuna taasisi zinalipa vizuri hizo alizozitaja hapo zinasubiri..
Mfano mdogo ni CMSA..


Sent using Jamii Forums mobile app
CMSA? taasisi nyingine hata sijawahi kuzisikia? labla ni google ndio nijue zinafanya kazi gani
 
ndio maana nimekwambia kama una UHAKIKA na ulichokiandika ungenijibu maswali niliyokuuliza..ni jambo lakujibu tuu ili tuache blaa blaa nyingi
Na mimi nikupe evidence ya unachotaka kukisema!
Wakati mwingine kama hatuna research ya tunachokisema bora tuwe kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi nina hakika ninachokiongea 100 by far!

hakuna mshahara mzuri Kwenye hizo taasisi isipokuwa marupurupu. Unless you define what do you mean by Mshahara Mzuri!

Najua mpaka mshahara wa Ma DGs wote Tanzania Kwenye taasisi za Umma, na level za mishahara ya watumishi wa Umma.

Na hapa sizungumzii marupu rupu maana hayo marupu rupu, sijui perdiems etc etc sio mshahara , vinaweza kukata muda wowote na wala bank hawakukopeshi kwa kuangalia marupurupu na pesa unazopata kwa deal fake

Ninazungumzia salary ambayo inaingia Kwenye payslip yako. Kwenye hizo taasisi manager anaweza kulipwa kati ya Mil 5- 7M inategemea na taasisisi but take home akacheza kati ya 4-5M.

Na hayo yote soon yameashaanza kubadilika kwa kuwa Utumishi wanataka ku standardize mishahara ya Umma kulingana na level zao. Changamoto mtumishi akishapanda kwenye salary huwezi kumshusha tena!

I don’t see kama unaongea chochote cha maana zaidi ya kutaka kuendeleza mjadala bila kuwa na hoja na data. Weka data zako hapa wacha songi songi........ eti una Uhakika, is that how people discuss? Mad!

Sina cha kujifunza kwako, you better shut up [emoji850] and move on if you can’t define Mpunga mrefu.


Mk54
 
Ila kwa mishahara ya Makamishina naona umeweka digit ndefu sana kwenye mishahara..

Hao majamaa najua wanapokea pesa ndefu approching to 10M ila kwa kiwango ulichoandika hapo ukijumuisha na madili wanafika na kuzidi hapo...

Maana ni wazee wa fursa hasa, ndio maana wengi wao wakitumbuliwa wanakuwa kama vichaa, maana fungu wanalokunja mwisho wa mwezi si mchezo..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sawa. Lakini marupu rupu na dili sio sehemu ya Mshahara.


Mk54
 
Ni sahihi kabisa. Nimefanya kazi taasisi ya Serikali, Mshahara wangu wa kwanza ulikuwa 1.5K. Take home ilikuwa laki 9. Miaka 3 baadae nikaenda kwenye NGO, nikawa nalipwa 3.8Mil kwa mwezi na safari kila wakati.

Baada ya miaka 3 wazungu hao hao wakatoa Post kwa wanaotaka kufanya kazi nchi za nje. Tukafanya interview tukapita wachache sana mwishowe tukabaki 3 tu.

Wakatupa shavu kufanya internship Uholanzi mwaka mmoja, baada ya hapo tukapelekwa kwenye vituo vya kazi, mimi nikapangiwa Nambia. Salary yangu niliyoanza nayo ilikuwa ni USD 9, 400 plus house and transport allowance.

Je kuna Afisa anayelipwa hivo serikalini ?

Wakurugenzi (DG)wa taasisi tajwa wengi wanacheza kati ya 15M hadi 20 M plus risk ya kutumbuliwa muda wowote kama Nehemia.

Wenzangu niliowaacha Serikali I am sure mpaka leo bado hawajafika salary ya 4M, tena sidhani kabisa maana sijasikia kupanda kwa madaraja wala salary.

Kibaya zaidi taasisi zote kwa sasa wanatakiwa kufuata sheria za Utumishi wa Umma Kwenye kupandisha salary na madaraja.

Tofauti na mwanzo; taasisi kama MSD, NHIF, TPA zilikuwa zinaajiri wenyewe na wanaviwango vyao vya mishahara na madaraja na ndio maana ukienda hizo taasisi unakuta Mkurugenzi, Manager, Afisa Wote wana Masters yaaani wapo sawa; tofauti yao ni aliyekaa muda mwingi ofisini na mwenye performance nzur.

Yaani hupaswi kuwa jeuri maana inawezekana leo nina report kwako but in few years Wewe uta report kwangu na utakuwa chini yangu.

Hakuna watu wana njaa kama watumishi wa umma; na ndio maana wakurugenzi wa hizo taasisi wanaishi kwa ku deal fake na rushwa. Unashangaa Yaani unakamatwa na Takukuru; ili akuachie Wanakuomba Rushwa lol [emoji23] .




Mk54

IMG_8129.JPG

Mkuu waeekee wanajukwaa proof kuwa unapokea hicho kitita cha 21M[emoji2][emoji2][emoji2]



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom