Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Chuo cha Nelson Mandela dereva anachukua 1mil na ushee. Bado trip na overtime...!


Usiwe unaandika tu ili mradi nawe uonekane ume-comment muda mwengine uwe unajaribu kuficha ujinga wako itakusaidia kwa njia moja au nyingine mama. Ahsante.

View attachment 1506301
Hilo tangazo lako umeficha ficha sana haielezei ni position gani

Screenshot_20200721-025549.png

Screenshot_20200721-025620.png


HIYO HAPO MKUNDUGUYANGU.
 
Acha kujipa moyo binti kiziwi, ujue kuna taasisi zinazalisha pesa tena bila kutumia mtaji mfano kama TPA, EWURA, TBS n.k kwanini zisiwamwagie mishahara minono watu wake.

Actually that isn't supposed to be. All government entities are supposed to submit their revenues to the national coffer. Then the government will pass the budget to pay its workers based on their pay scales.
 
Actually that isn't supposed to be. All government entities are supposed to submit their revenues to the national coffer. Then the government will pass the budget to pay its workers based on their pay scales.
Mataasisi mengi mishahara haitofautiani sana. Tofauti inakuja kwenye posho. Wengine wana overtime, safari, training, seminars na workshops nyingi kiasi kwamba unakua hata hukumbuki kama kuna kitu chaitwa mshahara.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] kubwa ni sh ngapi yani?
 
Kwani hawa si wanalipwa kutokana na elimu na muda kazini?! kasoro ngorongoro ndo anajilipa mshahara

Ss ww unaandika unono, unono upi unaongelea ww
Tanapa na Ngorongoro walikuwa wanakusanya na kutumia sijui kwa sasa baada ya mwamba ku- centralize makusanyo yao yote kupitia tRA kuingia mfuko mkuu wa hazina!!!
 
Usiwe unaandika tu ili mradi nawe uonekane ume-comment muda mwengine uwe unajaribu kuficha ujinga wako itakusaidia kwa njia moja au nyingine mama. Ahsante.

View attachment 1506301
Sema nin mkuu, Nelson Mandela Inst. nasikia wako vizuri, ila kwa bango uliloliweka nadhan hizo ni kazi za miradi kwa maana ya ni ajira ya mradi unaopitia Nelson Mandela Inst na si ajira ya moja kwa moja Nelson Mandela Inst.

Hivyo mshahara hautoki hazina wala Nelson Mandela Inst. ila unatoka kwa donors kwa maana hiyo yawezekana kabisa mshahara wa derevea alieajiriwa na Nelson Mandela Inst. akawa na mshahara mdogo au mkubwa kuliko aliye kwenye mradi uliopo Nelson Mandela Inst.
 
Mataasisi mengi mishahara haitofautiani sana. Tofauti inakuja kwenye posho. Wengine wana overtime, safari, training, seminars na workshops nyingi kiasi kwamba unakua hata hukumbuki kama kuna kitu chaitwa mshahara.
Tra ndio maana inapendwa sana na graduates wanatangaza nafasi 7 watu wanaomba zaidi ya 3900, maana yake tra inaonyesha pengine labda kuna pesa.
 
Sema nin mkuu, Nelson Mandela Inst. nasikia wako vizuri, ila kwa bango uliloliweka nadhan hizo ni kazi za miradi kwa maana ya ni ajira ya mradi unaopitia Nelson Mandela Inst na si ajira ya moja kwa moja Nelson Mandela Inst.

Hivyo mshahara hautoki hazina wala Nelson Mandela Inst. ila unatoka kwa donors kwa maana hiyo yawezekana kabisa mshahara wa derevea alieajiriwa na Nelson Mandela Inst. akawa na mshahara mdogo au mkubwa kuliko aliye kwenye mradi uliopo Nelson Mandela Inst.

Noted kiongozi unachosema ni sahihi kabisa...!
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Mmewasahau wale wazee wa JW, wana balaa lao
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
NIMR wanalipaje?
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA


Kumbe TANESCO ni cha mtoto kwa TAA ??

Umepata wapi hizi data ?
 
Watu wanataja mishahara ya vijiweni,Fanya utafiti utajua kwamba mishahara sio constant kama mnavyodhani hizo scale za constant ni halmashauri na serikali kuu ambapo sometime unaweza kuwa na master ila mshahara usizidi m 1.2 na Taasisi za umma ambazo zinajitengenea faida mishahara ni minono utakuta Mara tatu ya halmashauri hasa kama umeajiliwa ukiwa na uzoefu wanao utaka wao ila kama ni graduate ndo unaingia unafata scale za kawaida tu.

So mkuu kama unataka kwenda usiende halmashauri Uko kuna majungu sana na kurogana we nenda taasisi zinazotengeneza na kuigawaia serikali na sio zinazopiga hodi wizara ya fedha kila mwaka zikumbukwe ili zijiendeshe,
Zipo taasisi nyingi zinatemgeza pesa nzuri na wanalipana vizuri siwezi kuzitaja maana itakuwa ni ujuaji we tafiti utazijua anzia wizara ya fedha ,then nenda kilimo,maliasili utapata majibu sahihi .
 
Back
Top Bottom