Hata ulichokisema ni uongo piaHatuwezi kukosa pa kuiweka hii!
Hii inakaa kwenye ushirikina!.. cheki mfanano sasa,mlevi akilewa huanza kushirikina na wenzake katika kulewa utasikia tu uko wapi..? Njoo huku tupate mbili tatu wakimaliza wakiwa wanaenda nyumbani wanakosea nyumba sana! Huo ndo ushirikina inakaa hapo halafu hata kwenye uzinzi inakaa maana ulevi na nyege ni kulwa na doto..[emoji23]
Sisi waongo Sasa naona hatupo kwenye list..[emoji41]
Umenena mkuu, hii nmeichukua nzima nzima aiseee5.kutelekeza wazazi huko kijijini. Mtu anampigia mchepuko mara 3 kwa siku lakini mzazi ni mara moja kwa mwezi, kutuma miamala ndo usiseme.
swadakta maana watakua wamekutoa kutoka kua msukule to real humanNa vyama vya upinzani ndio husamehe hiyo dhambi ya kuwa mfuasi wa ccm.
Mleta mada ni kenge, yaani hata kiswahili hajui, eti zambi!!!!!Moderator badilisheni heading isomeke Dhambi badala ya Zambi,
Hii lugha inapotea kwa kasi sana.
Hahahah uziziUzizi na zuluma ndio dhambi gani hizo mleta mada?
We dogo kasome kiswahili ndio uje uanzishe uzi! Unatia kinyaa yani “uzizi, zuluma” ndio vitu gani hivyodunia inavozidi kuendelea kuna zambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni.
hizi zambi uwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja.
1-uzizi
2-mauaji
3-zuluma
4-ushirikina
miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
Ulevi sio dhambi kwa kua pombe ni kinywaji km juice,uji au mvinyo so iki ni chakula shida yaja kwny kuvmbiwa au kulewaHahahaha ulevi sio dhambiii
Dhambi ni nini?
when you are in Rome do like a RomanMleta mada ni kenge, yaani hata kiswahili hajui, eti zambi!!!!!
Huyo alikuwa Lucifer au Malkia Nebukadreza?
Najua najua..🤣Hata ulichokisema ni uongo pia
Kwa hiyo kwako UONGO sio dhambi? Uongo ni kama funguo malaya!!dunia inavozidi kuendelea kuna zambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni.
hizi zambi uwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja.
1-uzizi
2-mauaji
3-zuluma
4-ushirikina
miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
Safi,,, fanya fasta mcheki hapo bi mkubwa kama kuna zaga kapungukiwa mfanyie makeke,,, mie ngoja nimsomee bi mkubwa wangu japo surat ikhlass tatu kwa kuwa katangulia mbele za haki,,,Mungu nisamehe.
Ngoja nimcall maza nimuulize kapungukiwa nini
Na mkeo utamkimbia?Hii ya kwanza ndio naifanya mda huu dah
Ungeileta kabla mkuu ningefanya maamuz magumu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Dhambi ya kwanza Adamu kuifanya ni Tamaa ( Kutamani Kuwa kama MUNGU kwa kula lile tunda )
Na pili Unaposema mama wa dhambi , Basi hata leo inatakiwa ifanye kazi kanuni yako
Tamaa ni mama wa dhambi hadi leo , - ndiyo chanzo cha uzinifu , ubinafsi , wizi , uongo na dhambi nyingine
Unajua kabisa hii - ni dhambi ila kutokana na tamaa unaamua kuifanya hiyo dhambi iliyo sababishwa na tamaa