Hata ulichokisema ni uongo piaHatuwezi kukosa pa kuiweka hii!
Hii inakaa kwenye ushirikina!.. cheki mfanano sasa,mlevi akilewa huanza kushirikina na wenzake katika kulewa utasikia tu uko wapi..? Njoo huku tupate mbili tatu wakimaliza wakiwa wanaenda nyumbani wanakosea nyumba sana! Huo ndo ushirikina inakaa hapo halafu hata kwenye uzinzi inakaa maana ulevi na nyege ni kulwa na doto..[emoji23]
Sisi waongo Sasa naona hatupo kwenye list..[emoji41]