Millifire69
Senior Member
- Jul 8, 2021
- 145
- 149
Utadhani iron dome zipo nyingi.. iron dome ipo moja tu, tena inazuia makombora madogo sio hizo ballistic missilesSimple arithmetic unashindwa kuing'amua bro!?
Juzi Iran alirusha makombora mangapi katika kila!?
Alirusha ballistic na hypersonic kwa wakati mmoja katika duru 3+ za mashambulizi.
Iron dome zipo ngapi!?
Pia inachukua muda gani hadi ku reload missile interceptors ndani ya iron dome!?
Iran alirusha ballistics kwaajili ya kuzi overwhelm iron dome kesha akafyatua na strategic hypersonic missiles kulenga target.
Iron dome haihusiki kabisa kwenye kuzuia ballistic missiles 😅Iran ana BMs nyingi Middle East, Israel analijua hilo ndiyo maana hawezi jibu
anajua Iron Dome haifui dafu tena kwa Fattah, anajua akijibu, Tel Aviv inakuwa Gaza-2
Inaonesha walitarget maeneo flan
Kiongozi, kwenye vita hakuna cha arrow wala iron dome wala s400 wala Patriot...Ngoja nieke kitu sawa, Anga la israel linalindwa na safu tatu, Arrow systems(1,2,3), David's sling na ya mwisho ndio hio "iron dome". Makombora ya masafa marefu yanayopita umbali wa juu sana yanazuiwa na arrow system, ya saizi ya kati na David's sling, na makombora madogo short range yanazuiwa na iron dome. Iron dome haiwezi kuzuia ballistics missile hivo yanazuiwa na arrow system. Makombora yaliorushwa na iran yalikuwa ni hypersonic ballistic missiles kwahiyo mengi yalizuiwa na arrow system na sio iron dome, teknolojia ya arrow system itaruhusu bomu lipite kama litaenda kutua sehemu ambayo haina shida, bomu kama linaenda kutua katikati ya jangwa haina haja ya kulizuia. Mabomu mengi ya iran yalitua jangwani, mengine kwenye open space tu, yaliolenga kwenye makazi yalizuiwa
Sinoni..uta nona tu round hii..Acha kujidhalilisha
Shule uoni hapo?Kumbe hawakupiga maeneo ya raia
Mnajua kujipendekeza sana.Russia siyo mzungu?. Ubinadamu gani anafanya kwa Ukraine?.Russia na Iran Wana ubinadamu siyo kama wazungu, USA, UK, France, Israel hawa ni Chinja Chinja hawana huruma na mtu kama Israel anavyofanya uko Gaza, na USA alivyofanya uko Iraq, Syria n.k
Unasifia ujinga now. Mbona vimondo vilitua shule. Sema Israel wakisikia tahadhali yoyote wamejifunza kujilinda na hiyo wanafundishwa tona wanaanza kutembea.kama watoto wa kuku tu wakisikia mama kalia mlio wa hatari fasta wanajifichaIran hailengi raia. Huo ndio ukweli.
Iran ikitaka kumaliza raia Israel inaweza shambulia masaa ya kazi watu wapo kwenye towers, ghorofani au vituo vya usafiri kama airport, bus stations n.k
Halafu mashambulizi yakawa ya kushtukiza, kumbuka wana missiles zinafika Israel ndani ya dkk chache.
Mtu yupo ghorofa ya 20, atakimbia sa ngapi kwenye basement? Hospitalini , viwandani n.k...
Hakuna zoezi rahisi kama kulenga raia, usije kujidanganya eti mahandaki.
Mnaweza hata kushabuliwa night clubs, bar n.k...
Huelewi mengi.Unasifia ujinga now. Mbona vimondo vilitua shule. Sema Israel wakisikia tahadhali yoyote wamejifunza kujilinda na hiyo wanafundishwa tona wanaanza kutembea.kama watoto wa kuku tu wakisikia mama kalia mlio wa hatari fasta wanajificha
Halafu wewe ni:
taahira
mtu aliyepumbaa akili
Kisha wewe ni:
mwehu
mtu aliyechanganyikiwa, ambaye vitendo vyake vinafanana na vya mwendawazimu
Huu uongo kombora likishaingia kwenye anga lako linatakiwa litunguliwe sababu hujui litaenda kuangukia wapiNimeona video. Makombora yalioanguka hayakutengeneza second explosions hii inamaana yalianguka katika mchanga na sio katika millitary target.
Israel hua hadungui kila kombora wakilifatilia kombora wakiona litaenda kuangukia katika eneo lisilo la kiraia au eneo la wazi huwa wanayaacha hayo makombora yaanguke. Mfumo unatumia gharama kubwa ku intercept. Ndo maana unaona makombora yaliachwa..
Ubinadamu upi huo?! Kufadhili makundi ya kigaidi kama Hamas na Hezbollah ndio ubinadamu?Russia na Iran Wana ubinadamu siyo kama wazungu, USA, UK, France, Israel hawa ni Chinja Chinja hawana huruma na mtu kama Israel anavyofanya uko Gaza, na USA alivyofanya uko Iraq, Syria n.k
Ngoja tu nikaushe maana naona mahaba yamekujaa.Yali hit,nilitizama habari kuna hadi shule mbili zilibutuka nusu na nusu zikapona,na bahati mbaya kumbe kulikua kuna wanafunzi wa bweni.
Hawaamini kama walipona aisee Mungu wa ajabu.
Arushe hizo jericho sijui jejicho wahuni tumletee makombora ya zalzalat.
Kwamba wewe ulikuwepo ukaona hayajapiga sehemu nyeti? Speed ya Iron Dome na Hypersonic missiles ni mbingu na ardhi.Iron Dome- Makombora ambayo itaona kuwa yatadondoka kwenye majengo au sehemu zenyewe watu na mali ndo huyadondosha- na Pia Israel GPS/Google Map sehem sensitives azisomi na Makombora ya Iran ni GPS Guided. So Yamepotea Mengi(Kwa kukosa GPS directives) na yale yaliofanikiwa kupiga sehemu nyeti Iron Dome aliyawai.
Dunia hii ambayo mpo nyie wanywa al kasus 🤣Upo dunia gani na unajichekesha kabisa[emoji1]
Target zipi tuambie hapa tuzione na kwa ushahidi wa picha 🤣Kwamba wewe ulikuwepo ukaona hayajapiga sehemu nyeti? Speed ya Iron Dome na Hypersonic missiles ni mbingu na ardhi.
Ndio maana huwa inapelekewa dummy missiles, wakati inahangaika na dummy huku vyuma vyenyewe vinamwaga maji😂 na hicho ndicho kilichotokea na 80% zime hit targets. Ingekuwa hamna maafa Nyetanyau asingepiga mkwala.
Bro usitudanganye hapa hauongei na watoto.Ngoja nieke kitu sawa, Anga la israel linalindwa na safu tatu, Arrow systems(1,2,3), David's sling na ya mwisho ndio hio "iron dome". Makombora ya masafa marefu yanayopita umbali wa juu sana yanazuiwa na arrow system, ya saizi ya kati na David's sling, na makombora madogo short range yanazuiwa na iron dome. Iron dome haiwezi kuzuia ballistics missile hivo yanazuiwa na arrow system. Makombora yaliorushwa na iran yalikuwa ni hypersonic ballistic missiles kwahiyo mengi yalizuiwa na arrow system na sio iron dome, teknolojia ya arrow system itaruhusu bomu lipite kama litaenda kutua sehemu ambayo haina shida, bomu kama linaenda kutua katikati ya jangwa haina haja ya kulizuia. Mabomu mengi ya iran yalitua jangwani, mengine kwenye open space tu, yaliolenga kwenye makazi yalizuiwa
Shida ni mahali ilipotokea ndio habari.Mkuu hiyo milipuko imeleta athali gani?
Mbona haina tofauti na ile ya Hezbollah na hamas?
nani alyevaa vest na akapigwa risasiUnanipiga risasi nikiwa nimevaa bulletproof vest, vest inazuia alafu unasema una roho nzuri?
Aisee aya mkuu.Ngoja tu nikaushe maana naona mahaba yamekujaa.