Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnavyoshabikia vita utadhani mnajua hata kurusha mshale!
Hatushabikii vita ila USA na Israel ni wapumbavu kazi kuua raia hasa wanawake na watoto.Halafu walivyokuwa wapumbavu wanauliza wamekufa raia wangapi?Sasa kama watu wameweza kupiga maeneo yenye Air defence systems watashindwa kushambulia nyumba za raia ambazo zina DISH za Dstv tu?Mnavyoshabikia vita utadhani mnajua hata kurusha mshale!
Hamisi Hamisi.
Sawa ila hujaweka sababu za utaahira au wwhu wangu..ila mimi nimeweka maelezo kama sababu ya wewe kutokua na akili.Halafu wewe ni:
taahira
mtu aliyepumbaa akili
Kisha wewe ni:
mwehu
mtu aliyechanganyikiwa, ambaye vitendo vyake vinafanana na vya mwendawazimu
achana na nyeto wewe, njoo Mvuti huku ukamate toto za kizaramo zinakata mauno hatarim, hawana gharamaHamisi Hamisi.
Ndiyo sababu hushindi humu kumbe unashindishwa na khabga ghetto.achana na nyeto wewe, njoo Mvuti huku ukamate toto za kizaramo zinakata mauno hatarim, hawana gharama
aah nashinda na UTI-less BabyCare mkononi nikiwa getoNdiyo sababu hushindi humu kumbe unashindishwa na khabga ghetto.
Kwisha habari yako Hamisi.
Israel akinyandua mtu huwa tunaona video na picha,
Nyie video na picha ziko wapi?
Hii ni iron dome au plastic dome? Mbona missile zinafumua kama hamna Air defence? Iran hawakulenga tu makazi ya watu wamelenga military Airbase wangeamua kulenga makazi ya watu wangechinja maelfu ya raia.
80% of Iran missile hit the target.Jana Israel kachapika sana halafu sijui mbeya gani akaamua kuweka mambo live maana kwenye live huwezi KU EDIT.Kitu nilichogundua Iran ana silaha zenye nguvu na kazi zaidi ya hizi,ukiangalia mashambulizi ya April na haya Iran 🇮🇷 anampiga Israel kulingana na kosa alilofanya.Nakuhakikishia kama Israel 🇮🇱 akijibu halafu mabasha zake wakajisahau Iran 🇮🇷 atamtwangwa zaidi ya jana,USA 🇺🇸 asiingilie tuone nani atapiwa.ALICHOKIFANYA IRAN JANA NI KUMWAMBIA BABA MKWE (USA) NAENDA KUMKAZA MWANAO NA KWELI MWANAE AKAKAZWA KISAWASAWA
Russia na Iran Wana ubinadamu siyo kama wazungu, USA, UK, France, Israel hawa ni Chinja Chinja hawana huruma na mtu kama Israel anavyofanya uko Gaza, na USA alivyofanya uko Iraq, Syria n.kHii ni iron dome au plastic dome? Mbona missile zinafumua kama hamna Air defence? Iran hawakulenga tu makazi ya watu wamelenga military Airbase wangeamua kulenga makazi ya watu wangechinja maelfu ya raia.
Siku siyo nyingi watapiga makazi ya watu
Kwamba Haina tofauti na baruti za mwaka mpya!Mkuu hiyo milipuko imeleta athali gani?
Mbona haina tofauti na ile ya Hezbollah na hamas?
Picha na video ..?Ukitumia akili na siyo mahaba, haya makombora yalileta madhara coz mbinu iliyotumika ni kuupa mzigo mkubwa huo mtambo wa kuyazuia!
Yaani ni kutumia hesabu za kawaida tu, mzigo una uwezo wa kuzuia kombora moja kwa dakika, ili kuuzidi unatuma makombora kumi kwa dakika! Hatimaye yalifanikiwa kupenya!
Israeli air bases, school and locations near Mossad HQ hit, Sky News finds
Sky News has identified at least seven locations in Israel that were hit in Iran's missile attack. These include two Israeli air bases, a school grounds and two close to the area suspected of housing Mossad's HQ.
The Latest News from the UK and Around the World | Sky News
Sky News delivers breaking news, headlines and top stories from business, politics, entertainment and more in the UK and worldwide.news.sky.com
Nb:Tukumbuke hii ni biashara ya watu, tegemea kuwa utaambiwa mtambo umefanya kazi yake vizuri! Propaganda!
Mkuu kuwa na akiba ya maneno.Jana Israel kachapika sana halafu sijui mbeya gani akaamua kuweka mambo live maana kwenye live huwezi KU EDIT.Kitu nilichogundua Iran ana silaha zenye nguvu na kazi zaidi ya hizi,ukiangalia mashambulizi ya April na haya Iran 🇮🇷 anampiga Israel kulingana na kosa alilofanya.Nakuhakikishia kama Israel 🇮🇱 akijibu halafu mabasha zake wakajisahau Iran 🇮🇷 atamtwangwa zaidi ya jana,USA 🇺🇸 asiingilie tuone nani atapiwa.ALICHOKIFANYA IRAN JANA NI KUMWAMBIA BABA MKWE (USA) NAENDA KUMKAZA MWANAO NA KWELI MWANAE AKAKAZWA KISAWASAWA
Mtambo unaenda kuboreshwa, sasahv hata wakituma buku kwa dakika Yana haribiwa ,myaudi kashindikanika pale mashariki kanchi kadogo lakini mziki wake mpaka huku bongo tuna usikiaUkitumia akili na siyo mahaba, haya makombora yalileta madhara coz mbinu iliyotumika ni kuupa mzigo mkubwa huo mtambo wa kuyazuia!
Yaani ni kutumia hesabu za kawaida tu, mzigo una uwezo wa kuzuia kombora moja kwa dakika, ili kuuzidi unatuma makombora kumi kwa dakika! Hatimaye yalifanikiwa kupenya!
Israeli air bases, school and locations near Mossad HQ hit, Sky News finds
Sky News has identified at least seven locations in Israel that were hit in Iran's missile attack. These include two Israeli air bases, a school grounds and two close to the area suspected of housing Mossad's HQ.
The Latest News from the UK and Around the World | Sky News
Sky News delivers breaking news, headlines and top stories from business, politics, entertainment and more in the UK and worldwide.news.sky.com
Nb:Tukumbuke hii ni biashara ya watu, tegemea kuwa utaambiwa mtambo umefanya kazi yake vizuri! Propaganda!
Kinyonge sana sio kawaidayako 🤣🤣Wala hakuna haja ya kubisha. Mnadai Israel kashambuliwa kaumizwa, mara F-35 zimeharibiwa, airbases zimepigwa, mara Mossad HQ imeshambuliwa wakati ipo intact.
Israel ikitoa majibu mtaona F-35 hizohizo zinatumika, airbases zinafanya launches and landings, Mossad HQ inahusika kazini na kilio mtakipata uko kwingine. Picha na video zitatumwa kisha tujadili kwa mlinganyo.
Ilianza Hamas kwa vifijo, ikazima. Ikaja Hezbollah na mbwembwe nyingi, sasa haina hata kiranja. Sasa hii Iran ipeni kichwa.
We kweli ni FALA aisee.Wewe huna akili kabisaaaa.
Kwahiyo unafikiri wanaposema iron dome unafikiri ni mtambo mmoja tu unaofanya kaz ya interception??
Iko mingi katika mpangilio maalum. Jielimishe kwanza kabla hujaja kwa watu wenye akil zao