Hizi ndizo sehemu zilizopigwa na makombora ya Iran huko Israel siku ya jana!

Mnavyoshabikia vita utadhani mnajua hata kurusha mshale!
Mnavyoshabikia vita utadhani mnajua hata kurusha mshale!
Hatushabikii vita ila USA na Israel ni wapumbavu kazi kuua raia hasa wanawake na watoto.Halafu walivyokuwa wapumbavu wanauliza wamekufa raia wangapi?Sasa kama watu wameweza kupiga maeneo yenye Air defence systems watashindwa kushambulia nyumba za raia ambazo zina DISH za Dstv tu?
 

Attachments

  • Screenshot_20241002-093842.png
    427.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241002-093458.png
    193.7 KB · Views: 6
  • VID-20241001-WA0071.mp4
    685 KB
  • VID-20241001-WA0072.mp4
    4.9 MB
  • VID-20241001-WA0073.mp4
    866.2 KB
80% of Iran missile hit the target.


View: https://youtu.be/LNmeQgv4ECE?si=sIhwi0iKbEOla1Du
80-90% ya makombola yalipita na kupiga sehemu husika.
 

Attachments

  • Screenshot_20241002-112711.png
    125.2 KB · Views: 4
Hii ni iron dome au plastic dome? Mbona missile zinafumua kama hamna Air defence? Iran hawakulenga tu makazi ya watu wamelenga military Airbase wangeamua kulenga makazi ya watu wangechinja maelfu ya raia.

Siku siyo nyingi watapiga makazi ya watu
Russia na Iran Wana ubinadamu siyo kama wazungu, USA, UK, France, Israel hawa ni Chinja Chinja hawana huruma na mtu kama Israel anavyofanya uko Gaza, na USA alivyofanya uko Iraq, Syria n.k
 
Picha na video ..?
 
Netanyahu kazimiwa simu na Putin inaonekana alitaka kujua tu ayo mauwa kutoka Iran aletewiyeye baada ya kuona simu aipokelewi machale yakamcheza akaona mauwa yatakuwa yake zawadi yake ujibu mauwa aliowapelekea wenzie uko Lebanon aona asepe kwa mjomba wake w India kwanini alichagua India alaka alaka alitaka kuongea na Putin so India lengo lake lingetimia mana sim moja ya vaj w India Putin lazima apokee mshilkawake muimu akaungia Netanyahu juu kwajuu naomba kukusalimia mzee Putin shikamooo et ayo mauwa yalikuwa yangu 🤪🤪🤪🤪
 
Mkuu kuwa na akiba ya maneno.
 
Wala hakuna haja ya kubisha. Mnadai Israel kashambuliwa kaumizwa, mara F-35 zimeharibiwa, airbases zimepigwa, mara Mossad HQ imeshambuliwa wakati ipo intact.

Israel ikitoa majibu mtaona F-35 hizohizo zinatumika, airbases zinafanya launches and landings, Mossad HQ inahusika kazini na kilio mtakipata uko kwingine. Picha na video zitatumwa kisha tujadili kwa mlinganyo.

Ilianza Hamas kwa vifijo, ikazima. Ikaja Hezbollah na mbwembwe nyingi, sasa haina hata kiranja. Sasa hii Iran ipeni kichwa.
 
Mtambo unaenda kuboreshwa, sasahv hata wakituma buku kwa dakika Yana haribiwa ,myaudi kashindikanika pale mashariki kanchi kadogo lakini mziki wake mpaka huku bongo tuna usikia
 
Kinyonge sana sio kawaidayako 🤣🤣
 
Wewe huna akili kabisaaaa.
Kwahiyo unafikiri wanaposema iron dome unafikiri ni mtambo mmoja tu unaofanya kaz ya interception??
Iko mingi katika mpangilio maalum. Jielimishe kwanza kabla hujaja kwa watu wenye akil zao
We kweli ni FALA aisee.
Kwahiyo mitambo ya iron dome inafanya kazi kwa wakati tofauti!??
Mitambo ya iron dome hain ufanisi wa kuzuia hypersonic missiles.
Na jana Iran ametumia makombora mengi ya hypersonic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…