Russia na Iran Wana ubinadamu siyo kama wazungu, USA, UK, France, Israel hawa ni Chinja Chinja hawana huruma na mtu kama Israel anavyofanya uko Gaza, na USA alivyofanya uko Iraq, Syria n.k
Kambi sawa zitarekebishwa,F-35 zitaletwa mpya kutoka USA hilo linafahamika na makao makuu yatajengwa upya.
Ila wewe jamaa huwa hukosi sababu,si wewe juzi ulisema Iran na makombora yake yasiyo na madhara haina cha kufanya!?
Mkuu huwa napendaga kujadiliana na wewe kwasababu una accuracy kubwa ya kujadili hoja,Iran sio Hizbollah na wala sio Hamas.
Iran ni nchi kamili na ina jeshi kamili na ina kila aina ya silaha ambayo Israel anayo.
Hata katika rank ya majeshi Iran yupo juu ya Israel,je uongo!?
Pia nilichogundua Iran inapiga kulingana na makosa,Ile mwezi May alitumia drone za taratibu na makombora mepesi,ila awamu hii katuma full ballistic na hypersonic missiles zilizotembea dakika 15 kwa kilometa 2000.
Sasa tunataka ajibu huyo Israel halafu tuone Iran itachomfanya.
Hivi una habari mkuu kama jana tu Israel imepoteza askari 14 walipojaribu kuingia ndani ya Lebanon kwa kupigwa na hizbollah!??
Huyo jamaa uliyemjibu hata Mimi huwa namuona ni mtu ambaye Yuko well informed. Ila kwa hili naona amekuwa na ushabiki wa kijinga wa kujitoa akili kabisa. Ameshindwa kuwa impartial. Ni kama wale wafia dini walivyolewa na dini zao.
Shambulio alilofanya Iran sio la mwanzo ni mwendelezo. Ni jibu la shambulio alilofanya Israel dhidi ya Hamas, Hezbollah na maafisa wa Iran. Ambao walishirikiana kuishambulia Israel.
Chanzo cha yote haya ni mashambulizi ya axis of evil dhidi ya Israel. Kwahiyo mtulie kila mtu apewe dozi ya kiwango chake, ilianza Hamas, ikaja Hezbollah na sasa Iran.
Shambulizi la Israel dhidi ya Iran haiwezi kuwa uchokozi ni retaliation. Na hata mkidai hivyo bado Israel anaimudu Iran.
Ulikuwepo kiwandani bila shaka wakati yanatengenezwa.
Kwamba makombora ya iran ni superior dunia nzima?
Maana umekiri hajawahi yatumia hata siku mmoja, vipi kama ni mindset game tu?
Mkuu mie ni shabiki mkubwa sana wa muajemi.
Kila anapoijaribu silaha mpya basi mie hukaa na kutizama mtandaoni japo sio live ama ana kwa ana.
Mie nimesemea middle east habari za dunia nzima umezileta wewe kaka.
Kwa middle east Iran ndio ana missile power kubwa kuliko taifa lolote mkuu.
Shambulio alilofanya Iran sio la mwanzo ni mwendelezo. Ni jibu la shambulio alilofanya Israel dhidi ya Hamas, Hezbollah na maafisa wa Iran. Ambao walishirikiana kuishambulia Israel.
Chanzo cha yote haya ni mashambulizi ya axis of evil dhidi ya Israel. Kwahiyo mtulie kila mtu apewe dozi ya kiwango chake, ilianza Hamas, ikaja Hezbollah na sasa Iran.
Shambulizi la Israel dhidi ya Iran haiwezi kuwa uchokozi ni retaliation. Na hata mkidai hivyo bado Israel anaimudu Iran.
Punguza upunguani kijana.
Palestina ina jeshi!?
Hamas imekua jeshi!?
Hamas ni wanamgambo kichaa wewe.
Syria haipigani na Israel,kama una ushahidi lete hapa,Lebanon jeshi lake halihusiki na mashambulizi ya hizbollah.hizbollah ni wanamgambo sio jeshi.Hivyo vikundi vinasaidiwa na Iran peke yake.
Uturuki hajawahi na hajihusishi na vita za middle east acha uzwazwa.
Russia na China hawajihusishi na hizo vita.
Russia ana yake anapambana nayo Ukraine muda huu.
Muda mwingine kama hujui kitu usiongee kijanam
Bora ukutane na jeshi kamili kuliko hao migambo kama wakule kongo,nizaid ya jeshi pia katika hao unaosema migambo wapo wanajeshi kibao,wa Irani Yemen Kuna wanajeshi wa Syria pale Kuna Kila aina unaoijua wewe,lakini bado wanachezea, na hamna vita ngumu kama yakupigana na hao magaidi maana wanakujaga tu hawaishi kama wa vetnam, lakini wamekutana na myaudi kazi nimoja tu kuwawahisha kwa Allah wakapate mabikira wanao wawaza..(afu Sina upunguan mzee.nina mizuka yangu)
Ukitumia akili na siyo mahaba, haya makombora yalileta madhara coz mbinu iliyotumika ni kuupa mzigo mkubwa huo mtambo wa kuyazuia!
Yaani ni kutumia hesabu za kawaida tu, mzigo una uwezo wa kuzuia kombora moja kwa dakika (huu ni mfano), ili kuuzidi unatuma makombora kumi kwa dakika! Hatimaye yalifanikiwa kupenya!
Israeli air bases, school and locations near Mossad HQ hit, Sky News finds
Sky News has identified at least seven locations in Israel that were hit in Iran's missile attack. These include two Israeli air bases, a school grounds and two close to the area suspected of housing Mossad's HQ.
Iron dom ni kwaajili ya short range rockets kama za hamas au kutokea lebanon na sio ballistic missiles muwe na akili bas hayo madude makubwa mno na yalikua intercepted kwa asilimia kubwa ndio maana damage ni hafifu mno ,uo mzigo ungetumwa iran saiv ingekua kama gaza vijijini
Mkuu mie ni shabiki mkubwa sana wa muajemi.
Kila anapoijaribu silaha mpya basi mie hukaa na kutizama mtandaoni japo sio live ama ana kwa ana.
Mie nimesemea middle east habari za dunia nzima umezileta wewe kaka.
Kwa middle east Iran ndio ana missile power kubwa kuliko taifa lolote mkuu.
Vipi ume conclude kwa kuangalia upande wa iran pekee.
Umewahi fatilia projects za wayahudi? Unajua kama anatengeneza defense system kwa ajili ya hypersonic missiles? Je ile iron laser beam inayoanza kazi 2025 je unaijua?.
Iran anatengeneza siraha kwa wingi maana anajua lazima awagawie washirika wake.
Israeli anatengeneza siraha kwa uchache ili ajikinge, ndio maana ana concentrate sana kwenye high tech.
Sawa hata kama Iko mingi, nilichosikia wataalamu wakisema ni kuwa anchofanya Iran ni kurusha makombora mengi kwa Wakati mmoja. Kwa hiyo hapo Kuna yatakayozuiwa na Kuna yatakayopenya. Hakuna teknolojia isiyo na udhaifu wake Mkuu. Hakuna.
Today : Israel has struck a Russian arms depot in Hmeimim Air Base on the coast of west Syria near Jableh. Both Syrian and Russian air defenses were active but failed to intercept the strikes.
Today : Israel has struck a Russian arms depot in Hmeimim Air Base on the coast of west Syria near Jableh. Both Syrian and Russian air defenses were active but failed to intercept the strikes.
😂😂😂 sasa kaka kuna bomu litakuwa na radius ya mm kweli? Balistic Missile radius zake hapo unaongelea meters tena kuanzia two digits to three digits kwenye
Ndo hapo sasa, yaan upige mtu risasi alie behind bullet proof glass kisha useme sikuwa na mpango wa kumuua nilikuwa namtisha, kama kumtisha piga hewan au ardhini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.