Russia ana ubinadamu!? Au sio!? Labda tumuulize Ukraine ubinadamu wa Russia.Russia na Iran Wana ubinadamu siyo kama wazungu, USA, UK, France, Israel hawa ni Chinja Chinja hawana huruma na mtu kama Israel anavyofanya uko Gaza, na USA alivyofanya uko Iraq, Syria n.k
Huyo jamaa uliyemjibu hata Mimi huwa namuona ni mtu ambaye Yuko well informed. Ila kwa hili naona amekuwa na ushabiki wa kijinga wa kujitoa akili kabisa. Ameshindwa kuwa impartial. Ni kama wale wafia dini walivyolewa na dini zao.Kambi sawa zitarekebishwa,F-35 zitaletwa mpya kutoka USA hilo linafahamika na makao makuu yatajengwa upya.
Ila wewe jamaa huwa hukosi sababu,si wewe juzi ulisema Iran na makombora yake yasiyo na madhara haina cha kufanya!?
Mkuu huwa napendaga kujadiliana na wewe kwasababu una accuracy kubwa ya kujadili hoja,Iran sio Hizbollah na wala sio Hamas.
Iran ni nchi kamili na ina jeshi kamili na ina kila aina ya silaha ambayo Israel anayo.
Hata katika rank ya majeshi Iran yupo juu ya Israel,je uongo!?
Pia nilichogundua Iran inapiga kulingana na makosa,Ile mwezi May alitumia drone za taratibu na makombora mepesi,ila awamu hii katuma full ballistic na hypersonic missiles zilizotembea dakika 15 kwa kilometa 2000.
Sasa tunataka ajibu huyo Israel halafu tuone Iran itachomfanya.
Hivi una habari mkuu kama jana tu Israel imepoteza askari 14 walipojaribu kuingia ndani ya Lebanon kwa kupigwa na hizbollah!??
Hamis Zungu unanichora tuChai.
Naona unasmamia site zako kidijitali Yani D'top Tower ina remote site zote full Large Surveillance camerasHamis Zungu unanichora tu
Shambulizi hili la Iran ni kulipa kisasi cha kuuliwa Haniyeh ndani ya Tehran na kuuliwa makamanda wake pale Lebanon.Shambulio alilofanya Iran sio la mwanzo ni mwendelezo. Ni jibu la shambulio alilofanya Israel dhidi ya Hamas, Hezbollah na maafisa wa Iran. Ambao walishirikiana kuishambulia Israel.
Chanzo cha yote haya ni mashambulizi ya axis of evil dhidi ya Israel. Kwahiyo mtulie kila mtu apewe dozi ya kiwango chake, ilianza Hamas, ikaja Hezbollah na sasa Iran.
Shambulizi la Israel dhidi ya Iran haiwezi kuwa uchokozi ni retaliation. Na hata mkidai hivyo bado Israel anaimudu Iran.
D'top Tower i
Oya, unam quote mtu siye sahihi mbona ? kwanza ni vitu gani ivyo ?ull Large Surveillance cameras
Tabia yako ya usaliti saa imekwisha kukomaa yaani umekuwa Kama Zitto kabwe.Oya, unam quote mtu siye sahihi mbona ? kwanza ni vitu gani ivyo ?
Mkuu mie ni shabiki mkubwa sana wa muajemi.Ulikuwepo kiwandani bila shaka wakati yanatengenezwa.
Kwamba makombora ya iran ni superior dunia nzima?
Maana umekiri hajawahi yatumia hata siku mmoja, vipi kama ni mindset game tu?
Iran ina ADs zenye nguvu za kuzuia silaha za Israel kama Jericho?Shambulio alilofanya Iran sio la mwanzo ni mwendelezo. Ni jibu la shambulio alilofanya Israel dhidi ya Hamas, Hezbollah na maafisa wa Iran. Ambao walishirikiana kuishambulia Israel.
Chanzo cha yote haya ni mashambulizi ya axis of evil dhidi ya Israel. Kwahiyo mtulie kila mtu apewe dozi ya kiwango chake, ilianza Hamas, ikaja Hezbollah na sasa Iran.
Shambulizi la Israel dhidi ya Iran haiwezi kuwa uchokozi ni retaliation. Na hata mkidai hivyo bado Israel anaimudu Iran.
nishakwambia mimi ni fundi mchundo, niko napumzika hapa na JF mkononi baada ya kazi nzito ya kutinduaTabia yako ya usaliti saa imekwisha kukomaa yaani umekuwa Kama Zitto kabwe.
Wewe ambaye uko nchini Mwako ndiyo unadai hawana kipya. Ila walioko kwenye hayo maeneo, wanaojua maumivu ya hayo makombora hawana hamu.Nini zaidi? Na yeye atarusha makombora yakimarekani akisaidiwa na mashetani wenzake wamarekani, waingereza na nato.
Hawana kipya.
Bora ukutane na jeshi kamili kuliko hao migambo kama wakule kongo,nizaid ya jeshi pia katika hao unaosema migambo wapo wanajeshi kibao,wa Irani Yemen Kuna wanajeshi wa Syria pale Kuna Kila aina unaoijua wewe,lakini bado wanachezea, na hamna vita ngumu kama yakupigana na hao magaidi maana wanakujaga tu hawaishi kama wa vetnam, lakini wamekutana na myaudi kazi nimoja tu kuwawahisha kwa Allah wakapate mabikira wanao wawaza..(afu Sina upunguan mzee.nina mizuka yangu)Punguza upunguani kijana.
Palestina ina jeshi!?
Hamas imekua jeshi!?
Hamas ni wanamgambo kichaa wewe.
Syria haipigani na Israel,kama una ushahidi lete hapa,Lebanon jeshi lake halihusiki na mashambulizi ya hizbollah.hizbollah ni wanamgambo sio jeshi.Hivyo vikundi vinasaidiwa na Iran peke yake.
Uturuki hajawahi na hajihusishi na vita za middle east acha uzwazwa.
Russia na China hawajihusishi na hizo vita.
Russia ana yake anapambana nayo Ukraine muda huu.
Muda mwingine kama hujui kitu usiongee kijanam
Iron dom ni kwaajili ya short range rockets kama za hamas au kutokea lebanon na sio ballistic missiles muwe na akili bas hayo madude makubwa mno na yalikua intercepted kwa asilimia kubwa ndio maana damage ni hafifu mno ,uo mzigo ungetumwa iran saiv ingekua kama gaza vijijiniUkitumia akili na siyo mahaba, haya makombora yalileta madhara coz mbinu iliyotumika ni kuupa mzigo mkubwa huo mtambo wa kuyazuia!
Yaani ni kutumia hesabu za kawaida tu, mzigo una uwezo wa kuzuia kombora moja kwa dakika (huu ni mfano), ili kuuzidi unatuma makombora kumi kwa dakika! Hatimaye yalifanikiwa kupenya!
Israeli air bases, school and locations near Mossad HQ hit, Sky News finds
Sky News has identified at least seven locations in Israel that were hit in Iran's missile attack. These include two Israeli air bases, a school grounds and two close to the area suspected of housing Mossad's HQ.
The Latest News from the UK and Around the World | Sky News
Sky News delivers breaking news, headlines and top stories from business, politics, entertainment and more in the UK and worldwide.news.sky.com
Nb:Tukumbuke hii ni biashara ya watu, tegemea kuwa utaambiwa mtambo umefanya kazi yake vizuri! Propaganda!
Vipi ume conclude kwa kuangalia upande wa iran pekee.Mkuu mie ni shabiki mkubwa sana wa muajemi.
Kila anapoijaribu silaha mpya basi mie hukaa na kutizama mtandaoni japo sio live ama ana kwa ana.
Mie nimesemea middle east habari za dunia nzima umezileta wewe kaka.
Kwa middle east Iran ndio ana missile power kubwa kuliko taifa lolote mkuu.
Kwenye hili wala sipingani na wewe chief uko sahihi kabisaa. Nilikua napingana na mleta uzi maana ali exaggerateSawa hata kama Iko mingi, nilichosikia wataalamu wakisema ni kuwa anchofanya Iran ni kurusha makombora mengi kwa Wakati mmoja. Kwa hiyo hapo Kuna yatakayozuiwa na Kuna yatakayopenya. Hakuna teknolojia isiyo na udhaifu wake Mkuu. Hakuna.
Ahahahaha mkuu kwahiyo unamaanisha yale machuma chuma ya s400 ya mrusi yasinge perform?,uo mzigo ungetumwa iran saiv ingekua kama gaza vijijini
Today : Israel has struck a Russian arms depot in Hmeimim Air Base on the coast of west Syria near Jableh. Both Syrian and Russian air defenses were active but failed to intercept the strikes.Ahahahaha mkuu kwahiyo unamaanisha yale machuma chuma ya s400 ya mrusi yasinge perform?
Mrusi kawekeza sana Syria na Iran ndio maana Putin alionya. Sasa sijui nin kitafuatiaToday : Israel has struck a Russian arms depot in Hmeimim Air Base on the coast of west Syria near Jableh. Both Syrian and Russian air defenses were active but failed to intercept the strikes.
Itadepend na unit ya hiyo radius. Kama ni mm, cm au in hata ft si rahisi kufa raia.
Uwezo wa Israel kujilinda Iran anataka kuchukua credit kwamba ameepuka kuua raia.