Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

Nionyeshe hata 1 hapo ambayo mwajiriwa analipwa 200M kwa Mwezi maana hio kwangu ndio Pesa kubwa ambayo kuna wasanii fulani wanaweza kusaini deal kwa siku 1 ikajaa zaidi ya hio nazungumzia siku 1 sio Mwezi 1
Basi jisomee uzi unamaana gan !!
Nadhan hatujaelewana.
Unajiwekea vipimo na mizani yako
 
Naomba nifike hata oficini kwako nifanye hata usafi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…