Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Sasa simu ya laki tatu nayo ni simu ya bei.
Hapo ni reflection ya maisha ya mwanzisha uzi, kwake laki ni nyingi kuombwa na mpenzi wake apate simu. Conclude kwamba naye mlo mmoja kaamua kuwatolea uvivu wenzake. Wanaume wanajitosheleza hawaangali vitabia vya kipuuzi namna hii.
 
Asa mama angu mwanaume ukibaki home unaonekana sawa na mwanamama. Ndio maana tunachukia kukaa home ilhali kwa mwanaume doesn't make sense@Edelyn,
 
Asa mama angu mwanaume ukibaki home unaonekana sawa na mwanamama.
Ndio maana tunachukia kukaa home ilhali kwa mwanaume doesn't make sense
Siyo kukaa home kwani wewe na mkeo si mnaenda kazini? Haya tuseme wote mnarudi kutoka kazini halafu mkeo anaingia jikoni kupika halafu akitoka hapo aje akulishe wewe umekaa tu

Haya asubuhi mkiamka wote mnatakiwa muende kazini ila mkeo ndo anasafisha nyumba halafu akitoka hapo aje akuandae na wewe wakati huo wewe umekaa tu sasa wewe haya weekend pia utakuta wote mpo nyumbani ila mkeo atapika atafua ataosha vyombo atasafisha nyumba ila wewe umekaa tu sasa unaona hiyo ni sawa kweli?
 
Hahahaha nilijua tu ndicho utakachoishia kusema wewe njoo na hoja mimi haunijui nilivyo hata asilimia moja
Sasa kama ndio wasifu unaounesha hata ukikataa sikujui it doesnt sum up!
 
Siyo kukaa home kwani wewe na mkeo si mnaenda kazini? Haya tuseme wote mnarudi kutoka kazini halafu mkeo anaingia jikoni kupika halafu akitoka hapo aje akulishe wewe umekaa tu

Haya asubuhi mkiamka wote mnatakiwa muende kazini ila mkeo ndo anasafisha nyumba halafu akitoka hapo aje akuandae na wewe wakati huo wewe umekaa tu sasa wewe haya weekend pia utakuta wote mpo nyumbani ila mkeo atapika atafua ataosha vyombo atasafisha nyumba ila wewe umekaa tu sasa unaona hiyo ni sawa kweli?
Watu tunatofautiana mm siruhusu kumpa mzigo huo mama watoto indeed.
Weekend tukiwa wote tutasaidiana kama kuna utata beki tatu lazma ahusishwe.
Ila kama itakuwa mke wangu anamiliki biashara tyu yeye yupo home aaah kaz atafanya.
 
Kwani kuna haja yoyote ya kuhusisha maisha yangu ya nyuma ya keyboard na maisha yangu ya uhalisia? Labda kama ninyi mnayaonyesha maisha yenu halisi humu ila mimi maisha yangu ni tofauti kabisa na ninayoyaandika humu

Kasoro mifano ninayoitoaga ile inakuwaga ni ya ukweli ila mimi kama mimi personality yangu haiendani kabisa na ninayoaandika humu na huwa nawaacha watu wawe na perceptions wanazojisikia kuwa nazo juu yangu I don't care because you know what? I am one hell of a disminder
Sasa kama ndio wasifu unaounesha hata ukikataa sikujui it doesnt sum up!
 
Wadada umasikini ni mbaya uogopeni unaweza fanyiwa vibaya kisa umasikini uchukieni kabsaa bora uwe na mia lakini yako kulko kumtegemea mwanaume kwa kila kitu! Tutafuteni pesa kwa nguvu zote wadada mpka hawa viumbe watuheshimu kabsaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwani kuna ubaya au ajabu mwanamke kutokuwa na hela na kumuomba mpenzi au mume wake hela? Yaani wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo

Sasa nashangaa leo hii jamii inalazimisha mwanamke naye ajitegemee halafu ndo nyie nyie mnaosema hamtaki haki sawa sasa hamtaki haki sawa halafu mnataka wapenzi wenu au wake zenu wasiwaombe hela?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuliambiwa tule kwa jasho letu, ili tuwe na afya, na nyie ''ke'' mzae kwa uchungu ili muwe na afya ya kuitwa mke kamili, kama mdada hajazaa ni nusu kuumwa, but for both, asiyefanya kazi na asile, including you. na tamaa yenu i juu yetu, tunatawala.

siyo tuhonge kwa jasho, nikikugegeda ntashiba kweli? sijawahi ona, zaidi mnatia njaa!
 
Tuliambiwa tule kwa jasho letu, ili tuwe na afya, na nyie ''ke'' mzae kwa uchungu ili muwe na afya ya kuitwa mke kamili, kama mdada hajazaa ni nusu kuumwa, but for both, asiyefanya kazi na asile, including you. na tamaa yenu i juu yetu, tunatawala.

siyo tuhonge kwa jasho, nikikugegeda ntashiba kweli? sijawahi ona, zaidi mnatia njaa!
Asiyefanya kazi na asile ndiyo ila kwani kazi za nyumbani kama kupika, kufua, kuosha vyombo, kufanya usafi kulea watoto na kutunza nyumba unazifanya wewe? Au hizo siyo kazi?
 
Kutoka familia ya kimasikini haimaanishi wew ni masikini.


Kuna ubaya gani wao kupenda uliyoyataja?
Kutoka familia maskini maana yake wewe ni maskini sababu vile jinsi ulivyo ni sababu ya familia uliyozaliwa, mazingira uliyokulia, wazazi walio kulea, shule ulizosoma...etc
 
@wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo"

Kwa kuwa mliamua kuwaiga wazungu kwa kudai usawa basi mkopi ns kupaste kila kitu msiwe selective kwenye pesa hamtaki usawa.
 
Mwanaume uliambiwa utakula kwa jasho lako ila mwanamke hakuambiwa hivyo kumhudumia mwanamke ni jukumu lako na ndo maana akaambiwa akutii na akuheshimu

Usidhani aliambiwa akutii na akuheshimu hivi hivi tu wakati haujamuumba wala haujamzaa aliambiwa akutii na akuheshimu kutokana na wewe kumhudumia kifedha kama ambavyo unahudumia watoto wako

Majukumu ya mwanamke yanajulikana ni kufanya kazi za nyumbani na kukulea wewe pamoja na watoto wenu na majukumu yako yanajulikana ni kutafuta pesa na kumhudumia mke wako na watoto wenu

Ndo maana mwanamke anaambiwa katika swala la malezi mtoto wake wa kwanza ni mume wake vivyo hivyo hata katika swala la huduma mtoto wako wa kwanza ni mke wako sasa ukitaka mkeo akusaidie kutafuta pesa ina maana na wewe utakuwa unamsaidia kufanya kazi za nyumbani si ndiyo?
Mithali 31:10-31 SRUV
Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato. Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake. Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake kwa moyo wote. Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali.

Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao. Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.

Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia. Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake. Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu. Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.

Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi. Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi. Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao. Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema iko katika ulimi wake.

Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu. Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema, Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote. Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa. Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwani kuna ubaya au ajabu mwanamke kutokuwa na hela na kumuomba mpenzi au mume wake hela? Yaani wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo

Sasa nashangaa leo hii jamii inalazimisha mwanamke naye ajitegemee halafu ndo nyie nyie mnaosema hamtaki haki sawa sasa hamtaki haki sawa halafu mnataka wapenzi wenu au wake zenu wasiwaombe hela?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🚮
 
Kama mada inavyojieleza

Nimefanya kauchunguzi kidogo nimegundua mabinti wengi wanaotoka katika familia njaa/maskini mlo mmoja kwa siku wana tabia zifuatazo:-

Dah sio kwel aisee mm niwakiume ila hapo napinga nimeishinao wadada maskin na wenye njaa ila sio wote wana tamaa kama hzo kipind nipo chuo kuna wadada wa wili walikua wazur na marafk na wanatoka kwenye maisha magum ila chuo walkua wanasoma vyuo tofauti na wakawa wana tembelena nikamtongoza mmoja wao akakubal huyo alie kubal alkua anasoma chuo jiran ila ilkua weekend anakuja kwa rafk ake mi kupitia rafki ake nikampata huyo dada maisha yakaendelea huyo ambae nilkua nae mwenye njaa alkua anaomba omba hela mala sijui vikoba sijui kusuka sijui nn

Ilikua sio mara kwa mara kuomba hela mi nkawa nampa hela ila sio kama anazotaka yeye ila uwezo wa kumpa nilkua nao always nilkua na act i’m broke badae yakatokea yakutolea tuka achana baada ya kuachana rafk ake ambae nipo nae chuo kimoj akaanza kunipenda coz nilikaa nae mda mrefu na akawa amesha jua mm na rafk ake tume achana nilizitambua hisia zake kwangu ila nkaona nimesha gombana na rafk ake nikitoka na huyu ntamalza urafk wao ila pasipo yeye kujal tukaanza kudate experience kwa huyu ilkua tofauti alkua haombi hela had kuna mda nahisi anashida ada zilkua za shida maisha duni ila class alikua vzr alkua akiniomba hela ni for FOOD basi akizidisha hapo basi ni vocha alkua haigiz maisha

Alikua hata hasuki ana nyoa zake low cuts basi had nkawa najiulza au anaogopa kuniambia na mm nkasema siwez kumuuliza kama ana matatzo akat najua ana matatzo nikawa najiongeza namletea sometimes nguo anafurah mwenyewe ila wala hajaomba kuna kipnd na mm nkawa na act nipo broke naenda kumuomba hela najifanya nipo vibaya sina msaada kumpima tu alikua yupo radhi anipe hela yake ya chakula yeye ashinde na njaa had jion ale mlo mmoja ili tu na mm nile nkajifunza ikawa hata asipo niomba msaada ili nikjua anashida ipo ndan ya uwezo wangu sometimes nilkua namsaidia pasipo yeye kujua nkaona sio wana wqke wote wanapenda hela mwingne anaomba umlishe tu haihitaji hata uumpe helq mkonon na kumlisha sio kila siku wala ni mara moja moja ila kiuhalisia mvulana unatakiwa kumtunza dem wako usijikute mgumu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwani kuna ubaya au ajabu mwanamke kutokuwa na hela na kumuomba mpenzi au mume wake hela? Yaani wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo

Sasa nashangaa leo hii jamii inalazimisha mwanamke naye ajitegemee halafu ndo nyie nyie mnaosema hamtaki haki sawa sasa hamtaki haki sawa halafu mnataka wapenzi wenu au wake zenu wasiwaombe hela?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I do remember the old days [emoji23][emoji23][emoji23].
 
Back
Top Bottom