Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Aaah waarab dada hawafanyi hilo labda wazungu.
Kwahiyo wewe unataka mwanamke akupe pesa, akununulie vitu na bado akupikie na akufulie si ndiyo? Wewe wakati huo unamfanyia nini?
 
Yeah kuhudumia family ni jukumu la mwanaume 100% lakini sasa punguzen matumizi yasiyo na tijaaa na kutaka vya juu mpk mwaeka watu roho zao rehan mama angu.
We kama lile lipare nimelipangishia hadi nyumba kigamboni eti" ooh nimeona wenzngu wana drive i can't wait driving na sitakuwa mvumilivu kwa hilo my"ilhali kwao baba bodaboda nyumba moja wamezaliwa tisa.
MAMA ANGU WA HIARI HAKI KWELI HIII ETI MAMA?!
Ukisema kwamba mwanamke anayetafuta pesa na asiyetafuta pesa wote sawa na wanatakiwa wafanye kazi za nyumbani kwa usawa ni sawa na kusema mwanaume tajiri na mwanaume masikini wote sawa na wote wanatakiwa wahudumie wake zao kwa usawa bila kujali kipato chao wala uwezo wao kwa sababu tu hilo ni jukumu lao si ndiyo?
 
Sasa huyo si umeamua kuchukua jukumu la wazazi wake wewe endelea tu hakuna namna mpe kila anachohitaji
Yeah kuhudumia family ni jukumu la mwanaume 100% lakini sasa punguzen matumizi yasiyo na tijaaa na kutaka vya juu mpk mwaeka watu roho zao rehan mama angu.
We kama lile lipare nimelipangishia hadi nyumba kigamboni eti" ooh nimeona wenzngu wana drive i can't wait driving na sitakuwa mvumilivu kwa hilo my"ilhali kwao baba bodaboda nyumba moja wamezaliwa tisa.
MAMA ANGU WA HIARI HAKI KWELI HIII ETI MAMA?!
 
MAMA ANGU WA HIARI.!
Iko hivi sio lazima mwanamke amsaidie mwanaume lakin kusaidiana na kuweka wepesi ktk maisha inabidi.
Na kuhusu kusaidiana kaz za ndan week end mbona mm humsaidia mama watoto japokuwa bado sijamzalisha.
Ila namsaidia every weekend na kaz haziko nyingi bcuz tuko wenyewe.
Week end humfulia na kumpikia na kumfanyia usafi.
Akiumwa mpk kumuogesha namuogesha.
Wapendanao huoneana huruma na. Kusaidiana.
MFANO RAMADAN YA MWAKA HUU HOUSE GIRL ALIONDOKA HOME MAMA AKAWA SICK BABA ALIPOTOKA KAZINI HAPO TRC AKAJA AKAPIKA FUTARI NA MIMI NA TUKAOSHA VYOMBO NA TUKAPIKA DAKU.TULIFANYA HVYO KWA MUDA WA 6 DAYS MAMA ANGU WA HIARI.
KUSAIDIANA NI MUHIMU KWA WAPENDANAO
Hebu twende taratibu kwanza umesema mnapokwama tunasaidia? Kwahiyo hadi hapo bado unamaanisha kwamba wanawake tunatakiwa kutafuta pesa ili mkikwama tuwasaidie bado tunarudi pale pale na ndo hapo tunaposema mbona ninyi hamtaki kutusaidia kazi za nyumbani?
 
Mmmh si kihivyo kwa hapo hapana hatutafika mbali.
Maana yeye anawaza mavazi,kula na kuonekna ilhali mwanamke mwenye kujielewa hutaka awezeshwe mama angu hapo ndipo mtafika mbali.
Mithili mama angu mzaz aliachishwa kaz na baba alikua mhasibu benki kuu.
Baba alichokifanya akamwezesha mama kwa kumfungulia biashara za restaurant ya middle class na duka la whole and retails sales.
Kwahyo mum kawaeka watu yeye huenda kufunga mahesabu tyuu huku anafanya baadhi ya kaz za home maisha yanaenda simple like that.
Hata baba akisunda mum hutoa chake.
Asa tatizo wadada wengi wenye akili kama hizi au km zako wachache wanataka wao upwani kubweteka ,umbea hata miswaki hawajapiga na majigambo na kutaka mambo yaliyowazid uwezo wanachosha familia haiendelei kwa hiv
Sasa huyo si umeamua kuchukua jukumu la wazazi wake wewe endelea tu hakuna namna mpe kila anachohitaji
 
Thubutuuu mambo gani yaende kwamfani!!!
Sio uvivu ila hamjielewi na hamna huruma na wenzenu.
Huruma yetu hamuionagi eeh, mtu wa kuchagua kuishi na wewe na kukuheshimisha kwenye jamii sio lolote?
Ukisema kwamba mwanamke anayetafuta pesa na asiyetafuta pesa wote sawa na wanatakiwa wafanye kazi za nyumbani kwa usawa ni sawa na kusema mwanaume tajiri na mwanaume masikini wote sawa na wote wanatakiwa wahudumie wake zao kwa usawa bila kujali kipato chao wala uwezo wao kwa sababu tu hilo ni jukumu lao si ndiyo?
Uko sahihi kabisa kwenye kuhudumia familia hamna exception ya utajiri wala maskini japo viwango vitatofautiana kulingana na level ya uchumi.

Wapo wataokula Dona maharage,dagaa na mchicha on a daily basis na wapo wataokula nyama choma, chips, birhani kuku n.k daily.

Wapo watakaomiliki luxuries kama magari mazuri na wengine wakawa hawana kabisa hata baiskeli.

As long as mzee anawajibika kuleta basic needs katika kiwango standard basi anastahili pongezi kwa hilo.

Same applies ambapo mwanamke ana ajira. Tofauti ni kipato tu ila majukumu yake kama mama yako palepale. Hatengamani nayo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila unanifurahisha sana sema hivi wewe ndo hauwezi kufanya hayo ila wapo wanaume wengi tu wanafanya siyo kwamba kwa sababu tunapiga kelele humu basi ndo udhani labda hatujui kuwa kuna wanaume wanafanya wapo tena wengi tu ila tunataka na wanaume wengine muige mfano wao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mambo ya kuiga aisee ila sio mambo ya kiduanzi. Huo ujinga unipitie mbali mi na kizazi changu.
 
Kweli mkuu mm nawashangaa madada blackish ama African ladies.
Wenzao Asians wakiwa na hela wanakuhudumia aisee km mm ktk ujana wangu nimelelewa sana na mitoto ya kiarabu ila ndio hvyo wana wivu sana had choon wakusindikize.
Ila kupata mparee mara chupi imetoboka mara naenda buchani kusuka yan alot of.
Embu wajifunze toka kwa whites angalau jaman
Mi huwa napenda ukweli tu.
A spade is a spade, it cant be called a big spoon in anyway!

Kijiko kitabaki kuwa kijiko na chepe ni chepe. No twisting names!
 
Extrovert, My friend you are so primitive if not conservative yaani hadi leo unaona kumuoa mwanamke ni kumheshimisha kwani wewe ukioa haupati heshima? Mitazamo kama hii ndo inafanya mnawadharau wanawake bila sababu za msingi yaani kutoa huto tumahari tu ndo mnaona kama mmewamiliki watoto wa watu? Mbona kabla hamjaoa mnahonga mademu hela nyingi kuliko hizo mahari mnazotoa kwa wake zenu?

Haya tukirudi kwenye swala la majukumu iko hivi binadamu kwa kawaida anatakiwa kula milo mitatu kwa siku sasa kuna familia zinakula milo miwili au mmoja kwa siku sasa nasema ina maana hata hivyo haitakiwi yaani mume anatakiwa ahakikishe familia inakula milo mitatu kama inavyotakiwa bila kujali kipato chake au uwezo wake si ndiyo?
 
Huruma yetu hamuionagi eeh, mtu wa kuchagua kuishi na wewe na kukuheshimisha kwenye jamii sio lolote
Oooh!! Kumbe kwa kufanya hivyo mmemaliza right?
Basi nasi kwa kukubali kuishi nanyi na kuwaheshimisha inatosha.
 
@Edelyn,
Ndio maana nimekupa concept simple, just geti it!
Mwanaume anaestrive familia inakula na barabara ya choo kuwa active means anawajibika. Hata kama milo miwili ila labda sio siku zote. Ni kwa siku anazoyumba kiuchumi.

Na yule ambae anajaza friji kwa matunda na vyakula hata watu wale mara 6 kwa siku wote wanawajibika kama washua.

Vipato havifanani ila huwezi ku justify kwamba ambae anafanikisha basic needs kwa effort sana hastahili heshima kama ambae anajaza magunia ya mchele unga na mahindi ndani ya nyumba effortlessly.
 
Oooh!! Kumbe kwa kufanya hivyo mmemaliza right?
Basi nasi kwa kukubali kuishi nanyi na kuwaheshimisha inatosha.
Hilo moja tu, kuwahudumia na kuwalisha hadi mtapodanja kitu ambacho mwanamke hata kwa week hakiwezi.
 
Extrovert, Sasa si ndo kama nyie ambavyo mnafananisha wanawake wanaohangaika kutafuta pesa na wale wanaoshinda nyumbani kusubiri mume arudi ampokee ampetipeti ampe mahaba yaani eti unataka wanawake wa aina hizo mbili tofauti wafanye kazi za nyumbani kwa usawa?
 
Kweli mkuu mm nawashangaa madada blackish ama African ladies.
Wenzao Asians wakiwa na hela wanakuhudumia aisee km mm ktk ujana wangu nimelelewa sana na mitoto ya kiarabu ila ndio hvyo wana wivu sana had choon wakusindikize.
Ila kupata mparee mara chupi imetoboka mara naenda buchani kusuka yan alot of.
Embu wajifunze toka kwa whites angalau jaman
Dume zima ulelewe nawe umetulia tu unajisifia kabisaaa[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Ama kweli sijui tunakosea wapi kuwalea.
 
Ahaaa huwez elewa mamaa nikikuonjesha tyu lazma utanilea kihakika Wallahi
Dume zima ulelewe nawe umetulia tu unajisifia kabisaaa[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Ama kweli sijui tunakosea wapi kuwalea.
 
Hilo moja tu, kuwahudumia na kuwalisha hadi mtapodanja kitu ambacho mwanamke hata kwa week hakiwezi.
Kuna wenzio wengi tu wanalelewa, na wametulia hata mshipa wa aibu hawana.
Tumechukua majukumu yenu mengi tu ila hata hamuoni kazi kulalamika tuuuu kama redio mbovu. Hamna jema nyie.
 
Back
Top Bottom