Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Aaah mkuu madada wa siku hz walafiii.
Wanataka mpk matumiz yasiyo na tija.
Nilimpata dada wa kipare"kuddadaaadekiiii"niliisoma anataka mambo ya high class kupitiliza.
Lakn nimempata mtt wa kikongo yeye huwa anataka matumiZ ktk mambo yenye tija tyuu.
Umeona utofauti hapo.
Yani vyura au viswaswadu wana mashauzi mengi then nothing uozo mtupu.
Kumbuka wewe majukumu yake hauyafanyi lakini
 
Wewe,demu/binti wa kuoa hutoka kwa Mungu,ingwa Pastor Kuria anasema ukitaka mume/mke toka nje utafute,usisali na kujifungia chumbani.

Kuoa maskini au wa kishua unaweza wa kubahatisha,lakini wa kishua kama wewe ni below 50% TBS utaishia kuwaita mashemeji tu na kukojolea mitaro ya maji taka Manzese tu.

Atoke pazuri aje kuteseka kwa mnuka jasho?Hakuna asiyependa raha hata kama una kichomeo cha almasi na kupakwa gold.

Unayeweza kumpata ni Mkuu Edelyn tu maana yeye ni choka mbaya na hachagui mpini wenye tbs bora limekucha tu.
Katika kikao cha wanaume kijacho tutajili agenda ifuatayo

"umuhimu wa kuoa demu wa kishua"
 
[emoji848][emoji848]mara choka mbaya mara mtoto wa kishua
Mkuu,ili nipate jasho la kikwapwa na kwenda kuhadithia kijiweni mtoto wa kishua kanipiga kibusti??Hehehehehe
 
IMG_5780.JPG
 
Nilibadili mawazo baada ya wewe kusema "try me"nikajua kumbe totozi la kishua sio Hadija kanda mbili ndefu.

Ila mimi huwa siangalii,awe wa kishua au choka mbaya alimradi nimeridhia siachi kitu,napangusa tu.

Tutamaliza bucha zote lakini nyama ni ile ile tu.

Hahahahaha
[emoji848][emoji848]mara choka mbaya mara mtoto wa kishua
 
Nilibadili mawazo baada ya wewe kusema "try me"nikajua kumbe totozi la kishua sio Hadija kanda mbili ndefu.

Ila mimi huwa siangalii,awe wa kishua au choka mbaya alimradi nimeridhia siachi kitu,napangusa tu.

Tutamaliza bucha zote lakini nyama ni ile ile tu.

Hahahahaha
Haya
 
Wapo wazembe wapo kila mahali tunawaita bushoke .hasa nyie mnaopenda 50/50 mnapenda usawa mnawatawala sana na mnawazidi asilimia misemo yenu mkishamtawala mnadai mmewaweka kweny kiganja hafurukuti aongei kitu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwani kuna ubaya au ajabu mwanamke kutokuwa na hela na kumuomba mpenzi au mume wake hela? Yaani wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo

Sasa nashangaa leo hii jamii inalazimisha mwanamke naye ajitegemee halafu ndo nyie nyie mnaosema hamtaki haki sawa sasa hamtaki haki sawa halafu mnataka wapenzi wenu au wake zenu wasiwaombe hela?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tofautisha tabia ya kuendekeza njaa njaa, swaga za binti maskini na kumhudumia mpenzi wako tu kwa moyo.
 
Umelalamika hadi umetia huruma, Ila hayo ndio madhara ya wale wanawake wa framework kutoka Harvard mnayoyafagilia ya 50/50. Si mnataka haki sawa basi vijana wa leo wamewakomoa hata kwenye mambo hayo wanataka mjitegemee 50. Ila burudan muwape kama kawaida. Na tunakoelekea mtatoa mahali kama hutaki ndoa hakuna.
😂😂😂 Hili ndio haswa linaenda kutokea very soon. Machali wana slay tu hawataki tabu. Wanapendeza na kujikoboa na wanatembeza free za mkuyenge tu.
 
Siwezi kuwa against nyie bila sababu huwa ninapinga pale ninapoona hapa mnaongea kwa sababu tu nyie ni wanaume ila hamuongei kwa kutetea uhalisia haya tukirudi kwenye mada wanaume mnapokosea ni hapo mnapotaka wanawake wawasaidie kutafuta pesa halafu nyie hamtaki kuwasaidia kazi za ndani na ndo maana pesa ya mwanamke siku zote ni ya mwanamke kwa sababu fikiria wewe unatafuta pesa tu ila yeye anatafuta pesa na bado kazi za ndani anafanya sasa hapo nani anakuwa ana majukumu mengi?

Hakuna mwanamke anayependa kufanya majukumu mengi kuliko mume wake ukizingatia wanawake tuliumbwa wasaidizi kwa wanaume sasa inakuwaje msaidizi afanye majukumu mengi kuliko mkuu yaani eti makamu wa rais afanye majukumu mengi kuliko rais sasa hapo atakuwa msaidizi tena? Na ndo maana siku hizi malalamiko yamekuwa mengi kutoka kwa wanaume kuwa wake zao hawana heshima na utii

Hamuoni kuwa tatizo ni mizigo ya majukumu mnayowatwisha usitegemee mwanamke afanye majukumu mengi kuliko wewe halafu eti bado awe chini yako wanaume chagueni moja kati ya haya mtafute pesa wake zenu wafanye kazi za nyumbani, wote wewe na mkeo mtafute pesa na mfanye kazi za ndani kwa pamoja au wote mtafute pesa halafu muajiri mfanya kazi afanye kazi zote za nyumbani

Sema hapa kwenye kuajiri mfanyakazi wanaume inafika kipindi mnaaza kulalamika eti "oh mke wangu kajisahau sana siku hizi anamuachia kazi zote mfanyakazi hadi chakula changu anipikie mfanyakazi nguo zangu anifulie mfanyakazi" mwisho mnaishia kutembea na hao wafanyakazi kwa hicho kisingizio sasa kama ulitaka mkeo afanye hayo yote si usingetafuta mfanyakazi ukamuacha mkeo nyumbani awe anakufanyia hayo yote halafu wewe unamhudumia mahitaji yake kiuchumi? Wanaume matatizo mengine mnayatafuta tu nyie wenyewe halafu baadaye mje mtutupie lawama wanawake kama kawaida yenu
We usiongee tu kwa vile una mdomo, on a serious note. Hio kazi yako upo tayari kuiacha ili uwe mama wa nyumbani na uishi maisha ndani ya kipato changu bila kunistress na tamaa za kijinga!?
 
Back
Top Bottom