Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Unajua kama mwanaume ni tofauti na mwanamke? Na hii elimu ya wazungu waliyotuletea ya 50 50 ni ya uongo wanataka tusielewane. Hivi leo ni ngumu kupata mahusiano imara! Nahii inaletwa na hiyo 50 50 kwa sababu wote tunakuwa tumepoteza lengo la mahusiano yetu, mwanaume akiwa nakipato kikubwa ni shida! Mwanamke akipata ndiyo balaa zaidi.
Basi naomba unijibu hili swali je kwako wewe unaamini kwamba mahusiano bora ni yale ambayo mwanamke anafanya majukumu mengi kuliko mwanaume?
 
Ngoja tuone... kama unazo unampaa tuu...

Shida inakuja pale kama huna, kila kitu unachoombwa au kuambiwa utaona kama anasa...


Cc: mahondaw
 
Basi naomba unijibu hili swali je kwako wewe unaamini kwamba mahusiano bora ni yale ambayo mwanamke anafanya majukumu mengi kuliko mwanaume?
Kwangu hapana! But kila mmoja ayajue majukum yake! mimi japokua sijaoa lakini naona kama kila mmoja atasimama kwenye nafasi yake basi mahusiano yatakuwa kama paradiso 🤣🤣
 
Wapi hapo wanawake wameamrishwa kuwa tegemezi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwani kuna ubaya au ajabu mwanamke kutokuwa na hela na kumuomba mpenzi au mume wake hela? Yaani wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo

Sasa nashangaa leo hii jamii inalazimisha mwanamke naye ajitegemee halafu ndo nyie nyie mnaosema hamtaki haki sawa sasa hamtaki haki sawa halafu mnataka wapenzi wenu au wake zenu wasiwaombe hela?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwenye kupajua kwao sasa kuna demu nilidumu nae kwenye nahusiano miez 7 sikuwahi kupajua kwao na nilikuwa nabandua kila wikend niliuliza wenzake anapokaa nikaambiwa kwa mtogole yeye ananiambia kwao makumbusho nikimwambia nioneshe chenga kibao
 
Kwangu hapana! But kila mmoja ayajue majukum yake! mimi japokua sijaoa lakini naona kama kila mmoja atasimama kwenye nafasi yake basi mahusiano yatakuwa kama paradiso [emoji1787][emoji1787]
Hebu nitajie wewe majukumu ya kila mmoja unayoyajua maana mimi hayo niliyotaja umeyakataa
 
Hebu nitajie wewe majukumu ya kila mmoja unayoyajua maana mimi hayo niliyotaja umeyakataa
Kwangu mwanamke anae jitambua ambae anahakikisha watu wa nyumbani wameshiba huyo nampa heshima sana! Kuhusu kumsaidia majukumu kwanini ni simsaidie? Ikiwa Kweli naona kabisa hapa kunahitajika masaada!!
 
Kwangu mwanamke anae jitambua ambae anahakikisha watu wa nyumbani wameshiba huyo nampa heshima sana! Kuhusu kumsaidia majukumu kwanini ni simsaidie? Ikiwa Kweli naona kabisa hapa kunahitajika masaada!!
Kwahiyo anayefanya hivyo tu basi tayari anafaa kuwa mke mengine hata asipofanya haina shida na pia hata asipotafuta pesa haina shida?
 
@Edelyn, Ha ha ha naona unawaelimisha wanaume hawa...tatizo wagumu kuelewa
 
Mbona wanaume mnafanya vitu kutegemeana na tabia za wake zenu basi acheni na wanawake wafanye vitu kutegemeana na matendo ya waume zao yaani hautaki kumhudumia mkeo halafu unataka yeye akutii?

Basi ndo maana ndoa nyingi siku hizi wanaume wanalalamika kuwa wake zako hawana utii na kwa mtazamo huo wataendelea kulalamika kila siku hakuna mwanamke anayependa kufanya majukumu mengi kuliko mume wake halafu bado akaendelea kuwa chini ya mume wake

Mtu kutokumtii na kumheshimu mtu mwingine ni tabia tu wala haina uhusiano na kuhudumiwa (mtazamo wangu).

Tabia na makuzi ya watu yanachangia mienendo yao kwenye jamii. Na mimi huwa sijihusishi na wanawake wa tabaka fulani fulani kwenye kamii.

Honestly huwa nakuwa mbaguzi likija hili swala.
 
We uliambiwa utakula kwa jasho lako ila mwanamke hakuambiwa hivyo
niliambiwa na nani? Hivi unajua wachina wako zaidi ya bilioni moja, na hawaamini katika hicho unachoamini wewe? Eti umeambiwa, eti mwanamke hakuambiwa!! Unaleta imani kwenye maswala serious,, ndo maana tutabaki maskini daima
 
Sigara Kali, Ahahahahahahahaha hiyo kuwajua boda boda wengi na kuvaa nguo anayoambiwa anapendeza ni kweli mkuu daah hujakosea kaka hususan madem wa kipare wapo hiviii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwani kuna ubaya au ajabu mwanamke kutokuwa na hela na kumuomba mpenzi au mume wake hela? Yaani wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo

Sasa nashangaa leo hii jamii inalazimisha mwanamke naye ajitegemee halafu ndo nyie nyie mnaosema hamtaki haki sawa sasa hamtaki haki sawa halafu mnataka wapenzi wenu au wake zenu wasiwaombe hela?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna kuomba pesa na kufanyana vitega uchumi.
Madada wa nowadays mmezid
 
niliambiwa na nani? Hivi unajua wachina wako zaidi ya bilioni moja, na hawaamini katika hicho unachoamini wewe? Eti umeambiwa, eti mwanamke hakuambiwa!! Unaleta imani kwenye maswala serious,, ndo maana tutabaki maskini daima
Kwani mchina ni nani? Kama wewe ni mtu usiye na imani basi naomba tufunge huu mjadala maana mabishano ya kiimani hayajawahi kuisha baki na unachoamini na mimi nibaki na ninachoamini.
 
Back
Top Bottom