Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Kama mada inavyojieleza

Nimefanya kauchunguzi kidogo nimegundua mabinti wengi wanaotoka katika familia njaa/maskini mlo mmoja kwa siku wana tabia zifuatazo:-

1.Wanapenda sana kuigiza maisha ,yani jinsi wanavyojiweka utafikiri ni mtoto wa Dangote au Bill Gate

2.Kupenda vitu vya gharama tofauti na uhalisia wa maisha yake na ya nyumbani kwao-simu atataka amiliki ya laki 3 wakati ndugu zake wanashindia mihogo

3.Wanapenda sana starehe,yani mademu wengi ambao kwao njaa ni watu wa kupenda starehe,club kwa sana kila weekend na kutembelea maeneo mengine ya starehe

4.kuchagua baadhi ya vyakula na kubagua vingine hasa wawapo ugenini,wao wanapenda wale chips kuku,Pizza,Burger

5. Wanajifanya wajuaji na waongeaji sana,kutwa wanashinda vibarazani kuwasema wenzao

6. Wapo huru sana kutoka nyumbani kwao,yani yeye anatoka muda wowote anaojiskia iwe asubuhi,mchana,jioni au usiku

7. Ukimtoa out anakula na kunywa kama anakukomoa

8.Ukimwita ghetto lazima akuombe nauli hata kama nauli ni 400 atataka umtumie

9.Anapendelea kuvaa nguo ya aina moja hasa ile aliyoambiwa akivaa inampendeza

10.Wengi ni omba omba sana

11. Wanajifanya hawana wivu

12. Hataki upajue anapoishi ,ukimwambia nataka kupajua kwenu chenga kibao hadi unaghairisha

13.Anawajua madereva boda boda wengi na bajaji.

Nchana Mwema
Namba 9 kweli
 
Tatizo ni;
1.omba omba sana
2.mashauzi
3.bili za kipuuzi
4.minjemba mingi/hawajatulia
5.mabwawa(wanatumika sana)
6.mashimo/mahandaki
7.wachafu/hawajijali
8.tamaa ya ulimbukeni
9.wako fasta ili wawahi kwingine kutifuliwa
10.waongo waongo kishenzi
11.wanazima simu ovyo ovyo

Kutoa hela siyo tatizo,matatizo yao ni hayo hapo juu.
Simu zao hazibaki na msg wala simu zilizoingia au kutoka,yaani kila kitu kinafutwa,slay queens bana
 
Nimelalamika hadi nimetia huruma? Aise nazidi kuamini kwamba wanaume ukweli unawauma na hamtaki kuukubali yaani umejibu kwa ubishi na hasira halafu ni kama umejifurahisha tu sasa unaposema mnatukomoa kwa sababu ya huo mfumo wa haki sawa unamaanisha nini? Kama mnataka tuwasaidie kutafuta pesa kwa usawa basi na nyie mtusaidie kufanya kazi za ndani kwa usawa au mnaonaje?
Jiulize kwanini mwanamke akitafuta pesa inakuwa ni yake peke yake hafanyii chochote kinachohusiana na familia?
Ni kwa sababu ya mgawanyo wa majukumu haiwezekani wewe utafute pesa tu halafu mwanamke atafute pesa na bado afanye kazi za ndani kwa mtindo huu pesa ya mwanamke itaendelea kuwa ya mwanamke tu
Na mtaendelea kulalamika kama mnavyolalamikaga siku zote halafu unajifanya haujui chanzo cha mfumo dume si ndiyo? Mfumo dume umetokana na manyanyaso na mateso ya wanaume kwa wake zao eti kisa tu wake zao wanawategemea kwa kila kitu ndo wanawake nao wakaona isiwe shida acha waanze kujitafutia pesa zao
Kwani wanaume mngekuwa mnawahudumia tu wake zenu bila kuwanyanyasa wala kuwatesa haya mambo ya haki sawa na wanawake kutaka kujitafutia hela yangetoka wapi? Wanaume ndiyo chanzo cha mfumo wa haki sawa kwa sababu hamkutaka kutimiza majukumu yenu hata tulipokuwa katika kipindi cha mfumo dume
Hahahaaa! Best mi mwanaume wala sio mvulana. Nnajua kila jukumu langu na kulitimiza kwa uaminifu. Mi nimeongelea hiki kizazi ambacho pia nakihurumia kama wewe unavyokishangaa. Ila sio mbaya hata hivyo tangu kuumbwa ulimwengu mi najua mwanamke hajaumbiwa taabu. Hata hiyo kazi bado naona mnanyanyasika ingawa wewe unasema hela mnayopata ni yenu. Hayo matumizi unayofanyia alipaswa kuyatimiza mwanaume kwahiyo ni kifamilia pia umemsaidia. Mf. Hela yako ukinunua nguo kuanzia ile ya ndani hadi ya nje,vipodozi, ukisuka nk... Yote haya ni yakifamilia tu. Kwa mwanaume mkamilifu siwezi kujisikia utukufu kabisa mke kupendeza wakati hata mia yangu haijatumika. Pia kumbuka wanawake mwenzio walioolewa na irresponsible men wanasomesha watoto peke yao je hili si la kifamilia? Au utamwacha mwanao kitaa wakati una uwezo wa kumlipia ada? Ni hv mimi ni Adam ninejua kumfanya Eva wangu ajihisi ni malkia wala sijajibu kwa hasira kama ulivyosema. Pamoja tuwahurumie watoto wetu kwenye kizazi chao wataishije.
 
Nimelalamika hadi nimetia huruma? Aise nazidi kuamini kwamba wanaume ukweli unawauma na hamtaki kuukubali yaani umejibu kwa ubishi na hasira halafu ni kama umejifurahisha tu sasa unaposema mnatukomoa kwa sababu ya huo mfumo wa haki sawa unamaanisha nini? Kama mnataka tuwasaidie kutafuta pesa kwa usawa basi na nyie mtusaidie kufanya kazi za ndani kwa usawa au mnaonaje?

Jiulize kwanini mwanamke akitafuta pesa inakuwa ni yake peke yake hafanyii chochote kinachohusiana na familia? Ni kwa sababu ya mgawanyo wa majukumu haiwezekani wewe utafute pesa tu halafu mwanamke atafute pesa na bado afanye kazi za ndani kwa mtindo huu pesa ya mwanamke itaendelea kuwa ya mwanamke tu

Na mtaendelea kulalamika kama mnavyolalamikaga siku zote halafu unajifanya haujui chanzo cha mfumo dume si ndiyo? Mfumo dume umetokana na manyanyaso na mateso ya wanaume kwa wake zao eti kisa tu wake zao wanawategemea kwa kila kitu ndo wanawake nao wakaona isiwe shida acha waanze kujitafutia pesa zao

Kwani wanaume mngekuwa mnawahudumia tu wake zenu bila kuwanyanyasa wala kuwatesa haya mambo ya haki sawa na wanawake kutaka kujitafutia hela yangetoka wapi? Wanaume ndiyo chanzo cha mfumo wa haki sawa kwa sababu hamkutaka kutimiza majukumu yenu hata tulipokuwa katika kipindi cha mfumo dume
Mwanamke anaeandika hivi tu, Hana sifa za akuwa mke.
 
Hongera we kwenu tajiri ila hatuwezi kufanana maisha eti wote tuwe matajiri mkuu.
Umasikini sio kilema
 
Simu zao hazibaki na msg wala simu zilizoingia au kutoka,yaani kila kitu kinafutwa,slay queens bana
Kwenye gemu utasikia kelele nyingii,mara oooh sijawahi kupata mwanaume kama wewe,mara baby usiniache,oooh unanijulia,ukiona hivyo kula chocho la hataree utaibiwa haa haa
 
Mwanamke masikini hata salamu yangu hapati. Pendelea kwenda Hoteli kubwa kubwa Huwezi kutana na upuuzi wa namna hiyo.

Pia tembelea Mbuga kama Saadani, Mafia Island, Na baadhi ya beach zenye kiingilio kikubwa. Huwezi kutana na huo upuuzi.

Usioe mwanamke asiye na bikra.
Usioe mwanamke masikini.

Kama hana bikra basi awe na pesa au ametokea familia ya kati au yenye pesa. Kama hana vyote piga chini.

Hii ni kwa watu wanaopenda kuishi maisha mazuri.

Kumbuka; Mwanaume unatakiwa ufanye kazi haswa
 
Mambo ya Mungu, Sawa wewe ni kati ya wale ambao mnaamini kwamba mwanaume anatakiwa atafute pesa na mwanamke afanye kazi za nyumbani haya vipi kwa wale ambao wanaamini kwamba mwanaume na mwanamke wote wanatakiwa watafute pesa hizo kazi za nyumbani atafanya nani?

Usiniambia eti kuna wanawake wanafanya hizo kazi wakitoka kwenye mihangaiko ndiyo najua wapo lakini hatuoni kwamba tunawabebesha mizigo mingi na kuwafanya wafanye majukumu mengi kuliko wanaume? Sababu hebu fikiria mwanaume atafute pesa tu ila mwanamke atafute pesa halafu tena afanye na kazi za ndani inakuja hiyo?

Na ninakwambia hizo ndoa ndo ambazo zinaongoza kwa malalamiko kutoka kwa wanaume kuwa wake zao hawana heshima na ni kweli kwa sababu tusitegemee mwanamke afanye majukumu mengi kuliko mumewe halafu bado awe chini ya mumewe hilo ni gumu

Mwanamke siku zote aliumbwa kuwa msaidizi wa mwanaume sasa inapotokea msaidizi anafanya majukumu mengi kuliko mkuu unategemea nini yaani makamu wa rais afanye majukumu mengi kuliko rais unategemea nini?
 
Back
Top Bottom