Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Uuuuh huwa najua ni demu kumbe ni dume zimaLabda kajisahau.[emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uuuuh huwa najua ni demu kumbe ni dume zimaLabda kajisahau.[emoji3][emoji3][emoji3]
Vijana huwa wanajisahau mkuu, kupretend ni kazi sana sometimes.Uuuuh huwa najua ni demu kumbe ni dume zima
Acha zarau tikisa mti/chora chini kama itatokea!Sasa simu ya laki tatu nayo ni simu ya bei.
Ukajionee wakati umeuweka wewe mwenyewe! !!
Ulinzi kwako umeimarika
Nilidhani kwamba -umesha lala "?..yeah niliona nifanye hivyo '"wewe siume nitenga! ?
Namba 9 kweliKama mada inavyojieleza
Nimefanya kauchunguzi kidogo nimegundua mabinti wengi wanaotoka katika familia njaa/maskini mlo mmoja kwa siku wana tabia zifuatazo:-
1.Wanapenda sana kuigiza maisha ,yani jinsi wanavyojiweka utafikiri ni mtoto wa Dangote au Bill Gate
2.Kupenda vitu vya gharama tofauti na uhalisia wa maisha yake na ya nyumbani kwao-simu atataka amiliki ya laki 3 wakati ndugu zake wanashindia mihogo
3.Wanapenda sana starehe,yani mademu wengi ambao kwao njaa ni watu wa kupenda starehe,club kwa sana kila weekend na kutembelea maeneo mengine ya starehe
4.kuchagua baadhi ya vyakula na kubagua vingine hasa wawapo ugenini,wao wanapenda wale chips kuku,Pizza,Burger
5. Wanajifanya wajuaji na waongeaji sana,kutwa wanashinda vibarazani kuwasema wenzao
6. Wapo huru sana kutoka nyumbani kwao,yani yeye anatoka muda wowote anaojiskia iwe asubuhi,mchana,jioni au usiku
7. Ukimtoa out anakula na kunywa kama anakukomoa
8.Ukimwita ghetto lazima akuombe nauli hata kama nauli ni 400 atataka umtumie
9.Anapendelea kuvaa nguo ya aina moja hasa ile aliyoambiwa akivaa inampendeza
10.Wengi ni omba omba sana
11. Wanajifanya hawana wivu
12. Hataki upajue anapoishi ,ukimwambia nataka kupajua kwenu chenga kibao hadi unaghairisha
13.Anawajua madereva boda boda wengi na bajaji.
Nchana Mwema
Simu zao hazibaki na msg wala simu zilizoingia au kutoka,yaani kila kitu kinafutwa,slay queens banaTatizo ni;
1.omba omba sana
2.mashauzi
3.bili za kipuuzi
4.minjemba mingi/hawajatulia
5.mabwawa(wanatumika sana)
6.mashimo/mahandaki
7.wachafu/hawajijali
8.tamaa ya ulimbukeni
9.wako fasta ili wawahi kwingine kutifuliwa
10.waongo waongo kishenzi
11.wanazima simu ovyo ovyo
Kutoa hela siyo tatizo,matatizo yao ni hayo hapo juu.
Nilisha waambia humu wengi wanaigiza kuwa mademu, sijui wanamanisha nini, tutawatongoza ssSorry Mkuu mimi nilijua wewe demu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nilisha waambia humu wengi wanaigiza kuwa mademu, sijui wanamanisha nini, tutawatongoza ss
Simu zao hazibaki na msg wala simu zilizoingia au kutoka,yaani kila kitu kinafutwa,slay queens bana
Hahahaaa! Best mi mwanaume wala sio mvulana. Nnajua kila jukumu langu na kulitimiza kwa uaminifu. Mi nimeongelea hiki kizazi ambacho pia nakihurumia kama wewe unavyokishangaa. Ila sio mbaya hata hivyo tangu kuumbwa ulimwengu mi najua mwanamke hajaumbiwa taabu. Hata hiyo kazi bado naona mnanyanyasika ingawa wewe unasema hela mnayopata ni yenu. Hayo matumizi unayofanyia alipaswa kuyatimiza mwanaume kwahiyo ni kifamilia pia umemsaidia. Mf. Hela yako ukinunua nguo kuanzia ile ya ndani hadi ya nje,vipodozi, ukisuka nk... Yote haya ni yakifamilia tu. Kwa mwanaume mkamilifu siwezi kujisikia utukufu kabisa mke kupendeza wakati hata mia yangu haijatumika. Pia kumbuka wanawake mwenzio walioolewa na irresponsible men wanasomesha watoto peke yao je hili si la kifamilia? Au utamwacha mwanao kitaa wakati una uwezo wa kumlipia ada? Ni hv mimi ni Adam ninejua kumfanya Eva wangu ajihisi ni malkia wala sijajibu kwa hasira kama ulivyosema. Pamoja tuwahurumie watoto wetu kwenye kizazi chao wataishije.Nimelalamika hadi nimetia huruma? Aise nazidi kuamini kwamba wanaume ukweli unawauma na hamtaki kuukubali yaani umejibu kwa ubishi na hasira halafu ni kama umejifurahisha tu sasa unaposema mnatukomoa kwa sababu ya huo mfumo wa haki sawa unamaanisha nini? Kama mnataka tuwasaidie kutafuta pesa kwa usawa basi na nyie mtusaidie kufanya kazi za ndani kwa usawa au mnaonaje?
Jiulize kwanini mwanamke akitafuta pesa inakuwa ni yake peke yake hafanyii chochote kinachohusiana na familia?
Ni kwa sababu ya mgawanyo wa majukumu haiwezekani wewe utafute pesa tu halafu mwanamke atafute pesa na bado afanye kazi za ndani kwa mtindo huu pesa ya mwanamke itaendelea kuwa ya mwanamke tu
Na mtaendelea kulalamika kama mnavyolalamikaga siku zote halafu unajifanya haujui chanzo cha mfumo dume si ndiyo? Mfumo dume umetokana na manyanyaso na mateso ya wanaume kwa wake zao eti kisa tu wake zao wanawategemea kwa kila kitu ndo wanawake nao wakaona isiwe shida acha waanze kujitafutia pesa zao
Kwani wanaume mngekuwa mnawahudumia tu wake zenu bila kuwanyanyasa wala kuwatesa haya mambo ya haki sawa na wanawake kutaka kujitafutia hela yangetoka wapi? Wanaume ndiyo chanzo cha mfumo wa haki sawa kwa sababu hamkutaka kutimiza majukumu yenu hata tulipokuwa katika kipindi cha mfumo dume
Mwanamke anaeandika hivi tu, Hana sifa za akuwa mke.Nimelalamika hadi nimetia huruma? Aise nazidi kuamini kwamba wanaume ukweli unawauma na hamtaki kuukubali yaani umejibu kwa ubishi na hasira halafu ni kama umejifurahisha tu sasa unaposema mnatukomoa kwa sababu ya huo mfumo wa haki sawa unamaanisha nini? Kama mnataka tuwasaidie kutafuta pesa kwa usawa basi na nyie mtusaidie kufanya kazi za ndani kwa usawa au mnaonaje?
Jiulize kwanini mwanamke akitafuta pesa inakuwa ni yake peke yake hafanyii chochote kinachohusiana na familia? Ni kwa sababu ya mgawanyo wa majukumu haiwezekani wewe utafute pesa tu halafu mwanamke atafute pesa na bado afanye kazi za ndani kwa mtindo huu pesa ya mwanamke itaendelea kuwa ya mwanamke tu
Na mtaendelea kulalamika kama mnavyolalamikaga siku zote halafu unajifanya haujui chanzo cha mfumo dume si ndiyo? Mfumo dume umetokana na manyanyaso na mateso ya wanaume kwa wake zao eti kisa tu wake zao wanawategemea kwa kila kitu ndo wanawake nao wakaona isiwe shida acha waanze kujitafutia pesa zao
Kwani wanaume mngekuwa mnawahudumia tu wake zenu bila kuwanyanyasa wala kuwatesa haya mambo ya haki sawa na wanawake kutaka kujitafutia hela yangetoka wapi? Wanaume ndiyo chanzo cha mfumo wa haki sawa kwa sababu hamkutaka kutimiza majukumu yenu hata tulipokuwa katika kipindi cha mfumo dume
Kwenye gemu utasikia kelele nyingii,mara oooh sijawahi kupata mwanaume kama wewe,mara baby usiniache,oooh unanijulia,ukiona hivyo kula chocho la hataree utaibiwa haa haaSimu zao hazibaki na msg wala simu zilizoingia au kutoka,yaani kila kitu kinafutwa,slay queens bana