hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Kwanza nijue kabisa --wewe ni wamlo 1 Au mboga 7 (kidding )
Usichelewe mkuu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usichelewe mkuu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimelalamika hadi nimetia huruma? Aise nazidi kuamini kwamba wanaume ukweli unawauma na hamtaki kuukubali yaani umejibu kwa ubishi na hasira halafu ni kama umejifurahisha tu sasa unaposema mnatukomoa kwa sababu ya huo mfumo wa haki sawa unamaanisha nini? Kama mnataka tuwasaidie kutafuta pesa kwa usawa basi na nyie mtusaidie kufanya kazi za ndani kwa usawa au mnaonaje?Umelalamika hadi umetia huruma, Ila hayo ndio madhara ya wale wanawake wa framework kutoka Harvard mnayoyafagilia ya 50/50. Si mnataka haki sawa basi vijana wa leo wamewakomoa hata kwenye mambo hayo wanataka mjitegemee 50. Ila burudan muwape kama kawaida. Na tunakoelekea mtatoa mahali kama hutaki ndoa hakuna.
Mlo 1 mkuu ila vizuri navipendaKwanza nijue kabisa --wewe ni wamlo 1 Au mboga 7 (kidding )
Sawa nakubali sasa ndo nauliza na wanaume nao wafikishe walau %50 ndo wapewe mahaba na wanawake chini ya hapo hawastahili au?
Siwezi kuwa against nyie bila sababu huwa ninapinga pale ninapoona hapa mnaongea kwa sababu tu nyie ni wanaume ila hamuongei kwa kutetea uhalisia haya tukirudi kwenye mada wanaume mnapokosea ni hapo mnapotaka wanawake wawasaidie kutafuta pesa halafu nyie hamtaki kuwasaidia kazi za ndani na ndo maana pesa ya mwanamke siku zote ni ya mwanamke kwa sababu fikiria wewe unatafuta pesa tu ila yeye anatafuta pesa na bado kazi za ndani anafanya sasa hapo nani anakuwa ana majukumu mengi?Hlo jina feminist sjakuita kwa sababu ya hii Mada kwa sababu ya maoni yako kwenye mada zilizopita unakuwa against us Sana unapinga ukwel.
Back to this topic akitafuta yeye sio mbaya anarahisisha mambo japo atambue nafasi yake
Sawa
Hahahaha sawa mkuu nimekuelewa.
Na nyie mkome kutuita kwenye vi ghetto vyenu kama kile cha billnenga
Na nyie mkome kutuita kwenye vi ghetto vyenu kama kile cha billnenga
Ha ha ha ngoja nkajioneeLol. .. nime kutana na ulinzi sio wa nchi hii
[emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha ngoja nkajionee
Ha ha ha ngoja nkajioneeLol. .. nime kutana na ulinzi sio wa nchi hii
[emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha ngoja nkajionee
Mimi kwa kweli mwanaume hata awe na kibamia ili mradi ananipenda ananijali hanisaliti haninyanyasi anatimiza majukumu yake yote na ananipa uhuru huyo ananifaa kabisaOhooooo,cheka tu wewe,wanaume misumari muda wote imechongoka inatafuta mbao ya kupigilia ili bati likae sawa,suruali tu zinaficha mengi,ingawa romantic men/handsome wameshughulikiwa na chips,vyakula vya kisasa na life style vimewaharibu,vitambi kama wana mimba na makalio makubwa zaidi yako Edelyn.
Kazi hawaziwezi ndio maana nyie misista duuu mnakimbilia misumari kwa hawa men below 50%.
Sawa Mkuu?
Mimi kwa kweli mwanaume hata awe na kibamia ili mradi ananipenda ananijali hanisaliti haninyanyasi anatimiza majukumu yake yote na ananipa uhuru huyo ananifaa kabisa