Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Mkuu ngoja nikupe siri ya hayo mambo uliyoyasema...yani hizo sifa zote hapo ni za mademu au mabinti wenye umri mdogo..ACHANA NA UMASIKINI...kama unataka kuprove hilo jaribu kuwa na mahusiano na hao watoto hata kama ni tajiri kwao...lazima miongoni mwa sifa hizo uumkute nazo.
 
Ninao dada angu mpendwa.
BABA NA MAMA WOTE WAPO HAI HIYO KAULI SIKUKUKUKUSUDIA WEWE USINIELEWE VIBAYA DADA ANGU SAWA
Na katika kukulea wakakulea wakikuaminisha kuwa mtoto wa kiume unapaswa kulelewa?
 
Dada unashindwa kuielewa point muhimu.
Mwanamke bora wa kujenga nae familia ni mwenye matumizi sahihi na pia ikitokea kidume kakwama yeye husaidia.
Lakin nyie wenzetu mna matumizi yasiyo na tija wala na maana mpk mnapunguza hela ya mboga mkanunue vipodozi.
Kuhudumiwa mnahudumiwa vizury tyyyu ila nyie madada zetu ni wale msione vichaka mavi yanawabana kiasi mnataka mambo out of control hapo ndipo tunaposhindwana nanyi
Upo Sawa mkuu nawazee wetu waliwezana nabibi zetu kwasababu walikuwa hawana mambo mengi ila wasasa hivi duh aisee unaweza ukafa namadeni ukimfata anachotaka
 
Na katika kukulea wakakulea wakikuaminisha kuwa mtoto wa kiume unapaswa kulelewa?
Hapana.
WameniLea kuwa tegemezi ktk familia yangu iliyonikuza na kwa nitakayoijenga.

Anyway dada angu mpendwa,dada zetu kuna upande mnakosea.
Mm now sijaoa but natarajia mwakani nikamilishe sunna ya kuoa but naishi na mpenzi wangu ambae ndio mke mtarajiwa namsaidia vizury tuu na kumhudumia na. Kumlea km mtt mdogo.

Na haombi matumizi yasiyo na. Tija km mnavyoomba wapare.
Aliomba nimwezeshe nikamwezesha now mambo yanakua anaingiza hela japokuwa yupo home kalala.
Asa hili dada zetu hamliangalii mnataka kuongeza mizigo had isiyostahili.

KUHUSU KULELEWA NA HAO ARABIANS NI KIPINDI AMBACHO WAKAT WA KUSAKA MBUMBA NILIKWAMA THEN NIKAOGOPA KURUDI HOME KAMA LOSER NDIO NIKAMTUMIA HUYU MWANADADA KUNIPA TAFU KIDOGO KITU AMBACHO MPARE HAKIWEZ UKIANGUKA KIUCHUMI NDIO KWAANZA ANAKUKIMBIA.
THAT'S ALL MY DADA
 
Kuna wenzio wengi tu wanalelewa, na wametulia hata mshipa wa aibu hawana.
Tumechukua majukumu yenu mengi tu ila hata hamuoni kazi kulalamika tuuuu kama redio mbovu. Hamna jema nyie.
😂😂😂😂😂😂😂😂 endelea na moyo huo huo mama. Utabarikiwa sana ila umpe notice huyo mpangaji kama hajiongezi ataachwa mahala flani ambao sidhani kama atapapenda!

Kina mama cookie wapo wengi kumbe!
 
Sasa si ndo kama nyie ambavyo mnafananisha wanawake wanaohangaika kutafuta pesa na wale wanaoshinda nyumbani kusubiri mume arudi ampokee ampetipeti ampe mahaba yaani eti unataka wanawake wa aina hizo mbili tofauti wafanye kazi za nyumbani kwa usawa?
Kazi za nyumbani ni ngapi hadi ulalamike hivyo. Kufua, kupika na kuosha vyombo ndio una complain hivyo.?
 
Acha ku date na watoto wa sekondari.

Halafu umaskini ni mentality sio material possession.
 
Hapana.
WameniLea kuwa tegemezi ktk familia yangu iliyonikuza na kwa nitakayoijenga.
Aiseeee[emoji134][emoji134][emoji134]
Basi sio kosa lako, maybe dunia itakufunza in a hard way.
 
Dadaa umeisoma post nzima i think nikakupa sabab
Huko kwingine nimeona hapanihusu maana hapo nilipoquote ndio msingi wa tulichokuwa tunazungumzia, sio hiyo danganya toto ilofuata.
 
Sawa mamaa Umeshinda ila silelewi mm futa hio kauli kwa sasa ilikua ila sii sasa
Huko kwingine nimeona hapanihusu maana hapo nilipoquote ndio msingi wa tulichokuwa tunazungumzia, sio hiyo danyanya yoto ilofuata.
 
Danyanya maanake nn mama angu?!!!
Huko kwingine nimeona hapanihusu maana hapo nilipoquote ndio msingi wa tulichokuwa tunazungumzia, sio hiyo danyanya yoto ilofuata.
 
Mkuu soma vizury huenda hukuzisoma vema quotes zangu.
Na jua hilo sisi asili yetu huanza kufukuzwa nyumbani mapema sanaaa dada angu mapema sanaaa.
Ila soma quotes zangu zote then unambie wap nilikudanganya
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
 
Mkuu soma vizury huenda hukuzisoma vema quotes zangu.
Na jua hilo sisi asili yetu huanza kufukuzwa nyumbani mapema sanaaa dada angu mapema sanaaa.
Ila soma quotes zangu zote then unambie wap nilikudanganya
Dogo acha fujo basi si nimekuaga!!!

Haya.
 
Hizo kazi zinafanywa mara ngapi kwa mwaka? Si kila siku au? Zingekuwa zinafanywa hata mara moja kwa mwezi sawa ila kila siku halafu na kazini unaenda kila siku

Halafu kama mnaona hizo kazi ni nyepesi mbona wanaume mnazichukia sana? Mngekuwa mnazipenda kweli hata sisi tungeona aibu kuwalaumu ila leo hii wanaume mko radhi mtafute pesa kuliko kufanya kazi za ndani kumbe mnajua kwamba kuachiwa nyumba ni kazi ngumu enh?
kazi za nyumbani ni ngapi hadi ulalamike hivyo. Kufua, kupika na kuosha vyombo ndio una complain hivyo.?
 
Back
Top Bottom