Hapo ni reflection ya maisha ya mwanzisha uzi, kwake laki ni nyingi kuombwa na mpenzi wake apate simu. Conclude kwamba naye mlo mmoja kaamua kuwatolea uvivu wenzake. Wanaume wanajitosheleza hawaangali vitabia vya kipuuzi namna hii.Sasa simu ya laki tatu nayo ni simu ya bei.
Siyo kukaa home kwani wewe na mkeo si mnaenda kazini? Haya tuseme wote mnarudi kutoka kazini halafu mkeo anaingia jikoni kupika halafu akitoka hapo aje akulishe wewe umekaa tuAsa mama angu mwanaume ukibaki home unaonekana sawa na mwanamama.
Ndio maana tunachukia kukaa home ilhali kwa mwanaume doesn't make sense
We ni mvivu
Sasa kama ndio wasifu unaounesha hata ukikataa sikujui it doesnt sum up!Hahahaha nilijua tu ndicho utakachoishia kusema wewe njoo na hoja mimi haunijui nilivyo hata asilimia moja
Watu tunatofautiana mm siruhusu kumpa mzigo huo mama watoto indeed.Siyo kukaa home kwani wewe na mkeo si mnaenda kazini? Haya tuseme wote mnarudi kutoka kazini halafu mkeo anaingia jikoni kupika halafu akitoka hapo aje akulishe wewe umekaa tu
Haya asubuhi mkiamka wote mnatakiwa muende kazini ila mkeo ndo anasafisha nyumba halafu akitoka hapo aje akuandae na wewe wakati huo wewe umekaa tu sasa wewe haya weekend pia utakuta wote mpo nyumbani ila mkeo atapika atafua ataosha vyombo atasafisha nyumba ila wewe umekaa tu sasa unaona hiyo ni sawa kweli?
Sasa kama ndio wasifu unaounesha hata ukikataa sikujui it doesnt sum up!
Tuliambiwa tule kwa jasho letu, ili tuwe na afya, na nyie ''ke'' mzae kwa uchungu ili muwe na afya ya kuitwa mke kamili, kama mdada hajazaa ni nusu kuumwa, but for both, asiyefanya kazi na asile, including you. na tamaa yenu i juu yetu, tunatawala.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwani kuna ubaya au ajabu mwanamke kutokuwa na hela na kumuomba mpenzi au mume wake hela? Yaani wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo
Sasa nashangaa leo hii jamii inalazimisha mwanamke naye ajitegemee halafu ndo nyie nyie mnaosema hamtaki haki sawa sasa hamtaki haki sawa halafu mnataka wapenzi wenu au wake zenu wasiwaombe hela?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asiyefanya kazi na asile ndiyo ila kwani kazi za nyumbani kama kupika, kufua, kuosha vyombo, kufanya usafi kulea watoto na kutunza nyumba unazifanya wewe? Au hizo siyo kazi?Tuliambiwa tule kwa jasho letu, ili tuwe na afya, na nyie ''ke'' mzae kwa uchungu ili muwe na afya ya kuitwa mke kamili, kama mdada hajazaa ni nusu kuumwa, but for both, asiyefanya kazi na asile, including you. na tamaa yenu i juu yetu, tunatawala.
siyo tuhonge kwa jasho, nikikugegeda ntashiba kweli? sijawahi ona, zaidi mnatia njaa!
Kutoka familia maskini maana yake wewe ni maskini sababu vile jinsi ulivyo ni sababu ya familia uliyozaliwa, mazingira uliyokulia, wazazi walio kulea, shule ulizosoma...etcKutoka familia ya kimasikini haimaanishi wew ni masikini.
Kuna ubaya gani wao kupenda uliyoyataja?
Sasa simu ya laki tatu nayo ni simu ya bei.
Mkuu kwani na wewe ni msela?Kuna mmoja jana kaja kaondoka na tisheti yangu da nime mind kinoma
Mithali 31:10-31 SRUVMwanaume uliambiwa utakula kwa jasho lako ila mwanamke hakuambiwa hivyo kumhudumia mwanamke ni jukumu lako na ndo maana akaambiwa akutii na akuheshimu
Usidhani aliambiwa akutii na akuheshimu hivi hivi tu wakati haujamuumba wala haujamzaa aliambiwa akutii na akuheshimu kutokana na wewe kumhudumia kifedha kama ambavyo unahudumia watoto wako
Majukumu ya mwanamke yanajulikana ni kufanya kazi za nyumbani na kukulea wewe pamoja na watoto wenu na majukumu yako yanajulikana ni kutafuta pesa na kumhudumia mke wako na watoto wenu
Ndo maana mwanamke anaambiwa katika swala la malezi mtoto wake wa kwanza ni mume wake vivyo hivyo hata katika swala la huduma mtoto wako wa kwanza ni mke wako sasa ukitaka mkeo akusaidie kutafuta pesa ina maana na wewe utakuwa unamsaidia kufanya kazi za nyumbani si ndiyo?
🚮[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwani kuna ubaya au ajabu mwanamke kutokuwa na hela na kumuomba mpenzi au mume wake hela? Yaani wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo
Sasa nashangaa leo hii jamii inalazimisha mwanamke naye ajitegemee halafu ndo nyie nyie mnaosema hamtaki haki sawa sasa hamtaki haki sawa halafu mnataka wapenzi wenu au wake zenu wasiwaombe hela?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama mada inavyojieleza
Nimefanya kauchunguzi kidogo nimegundua mabinti wengi wanaotoka katika familia njaa/maskini mlo mmoja kwa siku wana tabia zifuatazo:-
I do remember the old days [emoji23][emoji23][emoji23].[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwani kuna ubaya au ajabu mwanamke kutokuwa na hela na kumuomba mpenzi au mume wake hela? Yaani wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo
Sasa nashangaa leo hii jamii inalazimisha mwanamke naye ajitegemee halafu ndo nyie nyie mnaosema hamtaki haki sawa sasa hamtaki haki sawa halafu mnataka wapenzi wenu au wake zenu wasiwaombe hela?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]