Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah jamaa anafaidi aseee🥲Sie ndo wale wake wema hata wakituudhi tutawapa walicholipia wajilie, hakuna kuwakimbiza
Akikukuta yeye ndo kakosea kwa nn apite sehem ulipo na mchepuko?Sawasawa hamfumaniwi ila mnakutwa
K sio kitu ya kumnyima mume, wafungwe maisha wanaofanya hivyo, kuna watakaosema utampa na atachepuka, lakini ile ni starehe we mpe kwa kutafuta raha yako hayo ya kuchepuka ni mengineyoKwanza u naanzaje kumnyima mume haki yake wakat hata huumwi?
Huu ni unyanyasji wa kijinsia unaofumbiwa macho na wana harakati
😅😅😅mi nakunyongaAkikukuta yeye ndo kakosea kwa nn apite sehem ulipo na mchepuko?
Akili za usiku tu hizi 😅😅Dah jamaa anafaidi aseee🥲
😂😂😂😅😅😅mi nakunyonga
Hahahahha ni kweli.Akili za usiku tu hizi 😅😅
KanichokozaKwann tena
Ukaanza kutema checheKanichokoza
Muhuni yule katutamanisha na demu wake wa Dom wiki ijayo anajilia mema ya nchi sie tuko hapa tunakomaa na keyboardUkaanza kutema cheche
Tutaftane Kapeace keyboard tuache zipumue 😊Muhuni yule katutamanisha na demu wake wa Dom wiki ijayo anajilia mema ya nchi sie tuko hapa tunakomaa na keyboard
Kusema kweli nimepatikana leo 😄Naona umepatwa km mtoa mada,
Pelekeni moto vijana huko mbele hakujulikani ukiipata ipelekee moto, msirembe wala kutegeaKusema kweli nimepatikana leo 😄
Mziachie sasa na nyie msizi bane bane vijana tuteleze 😊Pelekeni moto vijana huko mbele hakujulikani ukiipata ipelekee moto, msirembe wala kutegea
Mpenda chiu wewe kumbe unajibanzaga kwenye likes tu,,, leo nimekubambaMziachie sasa na nyie msizi bane bane vijana tuteleze 😊
Nipe ramani 😄Mpenda chiu wewe kumbe unajibanzaga kwenye likes tu,,, leo nimekubamba
Telezi zipo za kutosha mpk watu wanaangukiana we unakwama wapi raraa?
Utakufa we mtoto😅😅Nipe ramani 😄